Ukifumania, hangaika na mumeo sio mchepuko

Acha kutembea na waume za watu kwa hoja za kijinga..kama unapenda mgegedo olewa na wewe..na kama unahongwa fanya kazi tafuta hela zako
 
Tatizo wanawake mnajisahau...na ufeminist wenu ndio maana tunaenda kwa michepuko sababu kule ni raha,unaoga,unakula msosi balance diet na unamla na mpishi!!
 
Ndiwooooo dear C, navokupenda hapo tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…