Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Kwahiyo na sisi tunao soma comments tu ni pumbavuWanawake ni noma tizama mibaba inavyojiliza kama mitoto, kujadiliana tu humu imeondoa uanaume wenu maana yake mnatuogopa[emoji28][emoji28][emoji28] walio wanaume hawana hizi kelele Ni vitendo tu, pumbavu zenu
Mi jirani yangu wanagombana sana na mke wake sema jamaa sio muhongeaji basi mke anaongea wee jamaa kimya baadaye akitoka mke anatoka anaenda kwao [emoji1787]Huo ndio Uanaume.
Mimi hawawezi thubutu kufanya hivyo,ndio ukweni tuu hata wazazi wangu.
Lazima watu wakutambue jinsi ulivyo. Lakini yakupasa utoe mifano michache ili iwe funzo Kwa wengine
Hapa bongo pagumu san!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nasoma hizi comments nacheka sana!! Yaan nacheka mno hata uzi umenichekesha pia.Inategemea na coincidence ya tukio na watoto nyumbani otherwise kitu ambacho siwezi kufanya ni kupiga magoti kumvisha pete, kupiga magoti kumuomba msamaha au kumuomba msamaha wife kwa ujumla wake nitazungumza maneno yore ila sio neno samahani
Baba j ni mimi huyu unaniambia hivo?? Majeraha ya mapenzi yameanza kupona eeh umeanza kejeli 😂😂😂Wanawake wa hivi hua mnaishia kwenye usingle mother
Bora uwaambie waache ukolo na umama 😁Teh teh mikwara ya mende kuangusha kabati hii! Mambo kwa ground ni tofauti mazee!
Na vile uko responsible wallah, Mimi nimechoka jambo langu nafanya kujiondokea ka tulikutana wawili tumalizane wawiliHajadanganya,amesema ukweli.Ndoa yangu ina miaka 15.Mwanzoni kabisa mwa ndoa nilimwambia mke kuwa katika vitu ambavyo asitarajie Mimi kufanya ni kuhudhuria kikao cha usuluhishi ukweni na kumfata kwa lengo la kumrudisha nyumbani iwapo ataenda kwao.Sijawahi kufanya hayo na imenisaidia sana.
Teh teh mikwara ya mende kuangusha kabati hii! Mambo kwa ground ni tofauti mazee!
Popote pale ukikosea kujishusha na kukubali kosa ni aina mojawapo ya ustaarabu[emoji23][emoji23][emoji23] Yaani ajishushe kwako. Duniani kunavituko sana
Yes tena kwa machozi na kamasi juuNijishushe kuathiri heshima yangu kisa mke au mtoto, you can't be serious kabisa.
Labda hao wanaume wa siku hizi.
Umeondoka usirudi full stop.
Popote pale ukikosea kujishusha na kukubali kosa ni aina mojawapo ya ustaarabu
Yes tena kwa machozi na kamasi juu
AlifanyejeUzi Safi kabisa kwa wanaume tu.
Kuna mmoja alileta ufara na dharau Tena kwenye nyumba ya Kupanga sikutaka maneno Mengi Nilifanya maamuzi magum na sijawahi kujutia saa hvi anaisoma namba.
Nyie hamuhusiki wanaohusika Ni hao wavulana waliokaa kwenye ubaraza kujadili wanawake wanasahau heshima ya mwanaume ipo katika jasho lake (uchumi) na nguvu za kiume,, halafu mwanaume si mtu wa maneno meengi Ni vitendo tu, kiufupi hawa Ni wanawake wenzetu wenye mbupu tuKwahiyo na sisi tunao soma comments tu ni pumbavu