Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Nyie hamuhusiki wanaohusika Ni hao wavulana waliokaa kwenye ubaraza kujadili wanawake wanasahau heshima ya mwanaume ipo katika jasho lake (uchumi) na nguvu za kiume,, halafu mwanaume si mtu wa maneno meengi Ni vitendo tu, kiufupi hawa Ni wanawake wenzetu wenye mbupu tu
Heshima ya Mwanaume mwaijua Ni uchumi na uguvu za kiume . Ya kwenu Ni yapi?
 
Mkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.

Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
2. Aibu
3. Kudharaulika hata akifariki

Kweli kuishi na mke kunahitaji akili na busara, ila sio ubabe. Nitakuonesha jambo lakujifunza.

Tuseme mfano Magu ni baba sisi ni watoto na Samia ndio alikuwa mama yetu. Kwa mambo yalivyo sasa hali ya familia na historia ya baba yetu ipoje?

Hii dhana yako ndio ile ile ya marehemu baba yetu Magu. Na ukweli mchungu hii dhana haifai kuongozea familia.

Utashangaa wale wanaowacheka na kuwaita wanaume wenzio dhaifu ndoa na familia zao zinateketea alafu wale wanaoitwa dhaifu ndoa na familia zao zinastawi.

Ni hayo tu Mkuu.
Ukiwa zuzu fala lazima ndoa na familia iwe poa sana.wanaume kuwa zuzu kuna faida yake et wakuu
 
Back
Top Bottom