Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Mlivyo hamziwezi nyeeege, mnatufata vizuri, mnabembeleza na magoti mnapiga.


😊😊😊

Labda Kama wanawake wameisha na kutongoza tumesahau.

Yaani watoto wazuri kila siku wanazaliwa umsumbue mwanaume kweli, naye akasumbulikaπŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna mmoja hapo Demi kawaita wanaume wa hivyo wapumbavu.
 
Heshima ya Mwanaume mwaijua Ni uchumi na uguvu za kiume . Ya kwenu Ni yapi?
 
Ukiwa zuzu fala lazima ndoa na familia iwe poa sana.wanaume kuwa zuzu kuna faida yake et wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…