Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Mimi walikuja kumchukua walidhani nitamfuata. Kilichofuata ni talaka nikaletewa niliwagomea mpaka BAKWATA. Yaani mke achukuliwe kwa sababu za kijinga halafu niende kumbembeleza nikasema hapa lazima nilinde heshima yangu.
 
Mimi ni mfano hai wa mtu ambaye mwanamke alinikimbia Akaenda kwao, na mimi ndio nilikosea.
Nikamwambia hata kama nimekosa nenda kwa baba yangu kanishtaki ila kwenu siji kwenye kikao.
Can you believe tulikaa mwaka mzima, mpaka akarudi home nikamwomba msamaha nyumbani kwangu na maisha yakaendelea.
Niliitwa na mchungaji, marafiki, mpaka mama mzazi alitaka niende ukweni nikakataa katakata, nakumbuka baba, mama ,na shangazi mkubwa walienda ukweni ila mimi nilikataa katakata, ilifikia hatua mama yangu alikonda nikamuuliza mama mbona unapungua, mama akaniambia ndoa yako inanipa sana mawazo, nikamwambia mama SIWEZI KUMFUATA MWANAMKE, NEVER EVER.
Sasa mama, mama mkwe na mke wangu wanaelewana sana, tatizo mimi ndio nimekataa kumfuata mwanamke aliyekimbia home kwao.
Wazazi wangu na wazazi wa mke wangu wote wanaishi DSM.
Ila hii tabia, mama yangu alisema nimemuaga babu mzaa baba, alikimbiwa na bibi mzaa baba, akarudi nyumbani sababu babu amezaa nje, ila babu aligoma kumfuata na on top of that akaoa mke mwingine.
Mama yangu akasema wewe ukioa mke mwingine nakupa radhi[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Umeongea pumba bro,,, msome vzr tena mleta uzi
 
Kukusaidia Wanawake wanapenda kukaa na wanaume aliowaongelea mleta uzi,

angalia ndoa zinazopelekwa kifilipino nyingi zimevunjika
 
Nilioa ka mwalimu siku moja kakanizingua nikakuta kamejifanyia mgao wa vitu vya ndani kakaenda kupanga! Sjawahi kukatafuta jopo tupo eneo moja kanaomba msamaha.
Unatumia bia gani mkuu, pita hapo grocery ushushie afu nipe namba ya wakala aliyepo karibu
 

Kwa statement Hii andiko lako ni la kipumbavu kabisa!

“ndiyo maana Baba bora ni rahisi kufukuza mke na watoto pale anapoona heshima yake IPO hatarini”
 
Ndoa haina uzoefu mkuu,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu mwaka mzima si alikua anachakatwa huko aisee .
Anakuletea ngoma kizembe kabisa.
 
Wosia wangu Kwa wanaume wote, akili za kuambiwa changanya na zako.
Ukizima data, ukitoka kijiweni unakuwa wapi? Sasa endekeza ushauri Kama huu halafu ujikute unazeeka mpweke, wenzio wanapiga magoti mafichoni wanazeeka na wake zao.
Umwamba huu ni kwa hisani ya kitoko vodka, baada ya kuzima data ndio watajua hawajui....
 
Yan wife uliendelea kupiga ? Alikua akisikia nyege lazima akutafute? Hahah kama Ni hvo ulitisha mkuu
Ndugu zake wakiongozwa na mashangazi zake ndio walikomaa hakuna kutoka mpaka nimfuate. Mimi nikakataa.
Achana na wamama wa kichaga, ila wale wachaga wahatanisahau.
Ila huwezi amini tukaja tukawa marafiki kiasi kwangu kwenye sherehe zao wananiweka kwenye kamati
 
Inakupasa kutumia akili kubwa ili uweze kuelewa ana maanisha nini,
Ukikulupuka utabadiri sana wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…