Ukiijua ladha ya mwenzi wako kiroho na kimwili utafurahia sana maisha ya ndoa na uchumba

Ukiijua ladha ya mwenzi wako kiroho na kimwili utafurahia sana maisha ya ndoa na uchumba

Wapendwa,
Kumeibuka kasumba na tabia isiyo ya kiungwana ya kuchepuka nje ya ndoa au uchumba hivi sasa.

Na inaonekana sasa jambo hili ni kama la kawaida tu. Hapana. Si sawa hata kidogo.

Tabia hii inahatarisha sana na kulegeza uhai na afya ya ndoa na uchumba katika jamii. Ndoa kadhaa zimeshasambaratishwa na zimwi hili.

Ni fedheha na aibu kwa watoto kushuhudia au kuskia wazazi wao wanachepuka upande ule au upande huu na wazazi wa familia nyingine, pisi kali mtaani au viBen 10.

Ni fedheha watoto, na majirani kushuudia mafarakano na mapigano yasioyoisha ya wazazi wana ndoa au wachumba, kudhihakiana na kudhalilishana hadharani kwa lugha kali za matusi na zisizo na staha, kisa kutuhumiana kuchepuka.

Gentlamans,
Baki njia kuu michepuko sio deal.
Tafuta kwa bidii na maarifa sana, ladha kamili ya mwenzi wako kimwili na kiroho, na ukisha ijua na kubaini iliko utaenjoy sana maisha ya ndoa na uchumba.

Nakuhakikishia, hutachelewa kurudi nyumbani mapema, wala hutaweza kuvumilia kukaa masaa kadhaa bila kumsabahi au kutaka kuja yuko wapi mwenzi wako, anafanya nini, anajiskiaje au amekula nini.

Kunywa soda au gambe pekeyako mtaani itakua ni ngumu na karaha.
Utatamani sana unywe soda au gambe mkiwa pamoja na mwenzi wako.
Ndugu, hebu jitahidi sana ubaini ladha na utamu halisi wa mwenzi wako kimwili na kiriho, utainjoy mno nakuhakikishia..
Ukiijua ladha ya mwenzia wako kimwili na kiroho, hutaona ndoa au uchumba ni mzigo, adhabu, au karaha bali ni marashi adhimu matamu yasiyo koma kutoa harufu nzuuurii, laini na isiyochosha puani, rohoni, akilini wala moyoni...

Nakuombea Baraka na neema za Mungu, kwa maarifa na ubunifu ulojaaliwa na Mungu uweze kuibaini ladha mujarabu ya kimwili na kiroho ya mwenzi wako mahali iliko, Ili hatimae ndoa na uchumba wenu ukawe wa upendo furaha na amani daima.
Asante.
Positive mind always wins
 
Wapendwa,
Kumeibuka kasumba na tabia isiyo ya kiungwana ya kuchepuka nje ya ndoa au uchumba hivi sasa.

Na inaonekana sasa jambo hili ni kama la kawaida tu. Hapana. Si sawa hata kidogo.

Tabia hii inahatarisha sana na kulegeza uhai na afya ya ndoa na uchumba katika jamii. Ndoa kadhaa zimeshasambaratishwa na zimwi hili.

Ni fedheha na aibu kwa watoto kushuhudia au kuskia wazazi wao wanachepuka upande ule au upande huu na wazazi wa familia nyingine, pisi kali mtaani au viBen 10.

Ni fedheha watoto, na majirani kushuudia mafarakano na mapigano yasioyoisha ya wazazi wana ndoa au wachumba, kudhihakiana na kudhalilishana hadharani kwa lugha kali za matusi na zisizo na staha, kisa kutuhumiana kuchepuka.

Gentlamans,
Baki njia kuu michepuko sio deal.
Tafuta kwa bidii na maarifa sana, ladha kamili ya mwenzi wako kimwili na kiroho, na ukisha ijua na kubaini iliko utaenjoy sana maisha ya ndoa na uchumba.

Nakuhakikishia, hutachelewa kurudi nyumbani mapema, wala hutaweza kuvumilia kukaa masaa kadhaa bila kumsabahi au kutaka kuja yuko wapi mwenzi wako, anafanya nini, anajiskiaje au amekula nini.

Kunywa soda au gambe pekeyako mtaani itakua ni ngumu na karaha.
Utatamani sana unywe soda au gambe mkiwa pamoja na mwenzi wako.
Ndugu, hebu jitahidi sana ubaini ladha na utamu halisi wa mwenzi wako kimwili na kiriho, utainjoy mno nakuhakikishia..
Ukiijua ladha ya mwenzia wako kimwili na kiroho, hutaona ndoa au uchumba ni mzigo, adhabu, au karaha bali ni marashi adhimu matamu yasiyo koma kutoa harufu nzuuurii, laini na isiyochosha puani, rohoni, akilini wala moyoni...

Nakuombea Baraka na neema za Mungu, kwa maarifa na ubunifu ulojaaliwa na Mungu uweze kuibaini ladha mujarabu ya kimwili na kiroho ya mwenzi wako mahali iliko, Ili hatimae ndoa na uchumba wenu ukawe wa upendo furaha na amani daima.
Asante.
Hakika mkuu, mapenzi ni utii wekeni pembeni mabishano na mifarakano, utajiona ni wa bahati sana, mapungufu hayakosekani kwenye mahusiano maana wote hamjakamilika ila we mpende tu utambadilisha vile unavyotaka
 
Hii inafanya kazi ndoa changa na uchumba mpya.
kotekote kamanda ukiingundua na kuipata ilipo mapema basi utaanza kuinjoy mapema@alubati

ukichelewa kuibani mapema ndio yale ya kujisemea moyoni tena,
dah kwanini sikujua au hatukujuana mapema,
kwanini sikugundua hiki mapema nimechelewa kuanza kuinjoy
 
Huwa unaandika vitu vya msingi sana Mkuu.

Ulichosema hapo, ndivyo nilivyo mimi na mwenzi wangu.
Je, ndio tumeshaijua ladha yetu ya kiroho na kimwili?


Ukitaka kujua hilo angalia je mmefikia malengo mnayojiwekea kiuchumi yani pesa huwa hazikauki kwenye ndoa ya namna hii mtafanya mengi ya mafanikio si hakuna mifarakano maana shetani hatapata nafasi , kiroho kwenye penzi la kweli mnachipua sana kiroho na Mungu atawapa vibali machoni mwa watu na ulinzi, je mmekua msaada kwenye jamii kusaidia kwa pamoja watu wenye uhitaji maalumu,

Basi hayo ndiyo mahusiano mazuri
 
kotekote kamanda ukiingundua na kuipata ilipo mapema basi utaanza kuinjoy mapema@alubati

ukichelewa kuibani mapema ndio yale ya kujisemea moyoni tena,
dah kwanini sikujua au hatukujuana mapema,
kwanini sikugundua hiki mapema nimechelewa kuanza kuinjoy
Sasa na yeye aigundue na ladha yako, we unagundua yake lakini mwenzio walaa hajali ladha yako . Hapo ni kazi bure na mara nyingi mahusiano mengi na ndoa nyingi huwa hivi
 
Sasa na yeye aigundue na ladha yako, we unagundua yake lakini mwenzio walaa hajali ladha yako . Hapo ni kazi bure na mara nyingi mahusiano mengi na ndoa nyingi huwa hivi
Mathalani wewe umebaini ladha yake very good, Lakini mwenzi wako unahisi bado hajabaini yako.

Cha kufanya, ni wewe sasa uliobaini ladha yake mapema, kuwa sababu ya mwenzi wako nae kubaini ladha yako, unaweza kuanza ya kiroho then ya kimwili and vaisivesa is true na akafanikiwa kubaini ladha yako.

Na ikiwa kabaini tayari na kwahivyo kila moja amejua ladha ya mwenzake, the 🔥 and chemistry of love amongs you, erupt massively. lake linakua lako, lako linakua lake in everything you are doing....
 
Wapendwa,

Kumeibuka kasumba na tabia isiyo ya kiungwana ya kuchepuka nje ya ndoa au uchumba hivi sasa.

Na inaonekana sasa jambo hili ni kama la kawaida tu. Hapana. Si sawa hata kidogo.

Tabia hii inahatarisha sana na kulegeza uhai na afya ya ndoa na uchumba katika jamii. Ndoa kadhaa zimeshasambaratishwa na zimwi hili.

Ni fedheha na aibu kwa watoto kushuhudia au kuskia wazazi wao wanachepuka upande ule au upande huu na wazazi wa familia nyingine, pisi kali mtaani au viBen 10.

Ni fedheha watoto, na majirani kushuudia mafarakano na mapigano yasioyoisha ya wazazi wana ndoa au wachumba, kudhihakiana na kudhalilishana hadharani kwa lugha kali za matusi na zisizo na staha, kisa kutuhumiana kuchepuka.

Gentlamans,
Baki njia kuu michepuko sio deal. Tafuta kwa bidii na maarifa sana, ladha kamili ya mwenzi wako kimwili na kiroho, na ukisha ijua na kubaini iliko utaenjoy sana maisha ya ndoa na uchumba.

Nakuhakikishia, hutachelewa kurudi nyumbani mapema, wala hutaweza kuvumilia kukaa masaa kadhaa bila kumsabahi au kutaka kuja yuko wapi mwenzi wako, anafanya nini, anajiskiaje au amekula nini.

Kunywa soda au gambe pekeyako mtaani itakua ni ngumu na karaha.

Utatamani sana unywe soda au gambe mkiwa pamoja na mwenzi wako.

Ndugu, hebu jitahidi sana ubaini ladha na utamu halisi wa mwenzi wako kimwili na kiriho, utainjoy mno nakuhakikishia.

Ukiijua ladha ya mwenzia wako kimwili na kiroho, hutaona ndoa au uchumba ni mzigo, adhabu, au karaha bali ni marashi adhimu matamu yasiyo koma kutoa harufu nzuuurii, laini na isiyochosha puani, rohoni, akilini wala moyoni...

Nakuombea Baraka na neema za Mungu, kwa maarifa na ubunifu ulojaaliwa na Mungu uweze kuibaini ladha mujarabu ya kimwili na kiroho ya mwenzi wako mahali iliko, Ili hatimae ndoa na uchumba wenu ukawe wa upendo furaha na amani daima.

Asante.
Asante mkuu,umenena vyema sana
 
Hiyo ladha ya K kiroho ndo ikoje[emoji848]
Mnato,joto na maji maji Sana au vipi[emoji848]
 
Rohoni ndio kivp na kukoje
Mathalani kukiri kukosea, kujutia makosa kwa uwazi na ukweli, kuomba msamaha au kutoa msamaha wa kweli na kusahau n.k

ukijua ladha ya mwenzi wako kiroho huwezi kushupaza shingo dhidi ya haya kwa uchache.

Hakunaga ile nimekusamehe Lakini sintosakusahau
 
Mathalani kukiri kukosea, kujutia makosa kwa uwazi na ukweli, kuomba msamaha au kutoa msamaha wa kweli na kusahau n.k

ukijua ladha ya mwenzi wako kiroho huwezi kushupaza shingo dhidi ya haya kwa uchache.

Hakunaga ile nimekusamehe Lakini sintosakusahau
Apo ndio rohoni mkuu
 
Bado ni propaganda tuu!!cha msingi ni kuheshimu,,kuzitambua na kuwa tayari kupambana Nyakati mbalimbali zipitazo kila siku katika maisha yetu ya kila siku ziwe ni Nyakati za huzuni,,furaha,,kilio,,kicheko,,magonjwa,,uzima nk nk!!
 
Back
Top Bottom