Yes,Apo ndio rohoni mkuu
Kuyaishi hayo,Bado ni propaganda tuu!!cha msingi ni kuheshimu,,kuzitambua na kuwa tayari kupambana Nyakati mbalimbali zipitazo kila siku katika maisha yetu ya kila siku ziwe ni Nyakati za huzuni,,furaha,,kilio,,kicheko,,magonjwa,,uzima nk nk!!
ππ mi nikikutag, we nawe ndio unisaidie kumtagipo wifi au sio? PDF nikitulia nitakufowadiaβ¦..Nakupenda leo, kesho na kesho kutwa ππβ€οΈπMwl mwema kichwa kimejaa madeni nitasahau tu..ni vyema uwe unamtag na wifi ako tuwe tunapata darasa wote.. Au niwekee kwenye PDF kule. Nakupenda sana...
Unasema kweli? Nipe na mahaba deko yote yaliobaki...ππππ mi nikikutag, we nawe ndio unisaidie kumtagipo wifi au sio? PDF nikitulia nitakufowadiaβ¦..Nakupenda leo, kesho na kesho kutwa ππβ€οΈπ
kuzungumzia ladha ya kiroho ni parefu kidogo. Bila kujali ni wa msikitini au kanisani ufanano wa ratiba na tamaa za maombi, kuombeana na kubarkiana huwa mkubwa sana. Kukumbushana kusali na kusali pamoja. Mara zote nia na maombi yenu kwa Mungu ni mamoja mathalani mwenzi ke anatamani kupata mtoto automatically mwenzi me nae ana nia hiyo hiyo basi Mungu kutekeleza ombi lenu ni mapema sana kwa wakati wake. Hata katika mambo mengine pia.Nimekuja mbio nione ulivyoelezea kiroho ila sijaona...
Ukimjua mwenza wako kiroho inafurahisha ila inaweza ikakuhuzunisha...
Maana unaweza ona mabaya yake au mazuri yake ..
NB: Macho ya Rohoni sio mchezo ni lazima uwe na hekima
ππππnimeapia, na ninayapack nakutumia na kibus cha alfajiri hapo baadae ππUnasema kweli? Nipe na mahaba deko yote yaliobaki...ππ
Mwl Utaniua...ππππnimeapia, na ninayapack nakutumia na kibus cha alfajiri hapo baadae ππ
Kufa hufi mwalβ¦ ila bado hujasema ππππMwl Utaniua...
Ndio nyakati zenyewe hizo!!Kktiuyaishi hayo,
Ni muhimu wahusika kupewa ufahamu na uelewa mpana wa masuala ya uchumba na ndoa.
Hayo mambo si mujiza ni halisi. Ni vema kujifunza, kuelewa then kuyaishi inakua rahisi.
Propaganda ya kupiga vita uchepukaji ipo pale pale tu..