Ukiijua ladha ya mwenzi wako kiroho na kimwili utafurahia sana maisha ya ndoa na uchumba

Apo ndio rohoni mkuu
Yes,
Ni kwa uchache sana.
Ya kiroho ni mengi mno. Bila kujali ni wa kanisani au msikitini mkijuana ladha kiroho mnaombea sana Kheri, maombi yenu kwa Mungu yanakua mamoja mathalani mnataka mtoto au watoto kadiri ya maombi yenu basi mnasikilizwa haraka na kutimiziwa kwa wakati wa Mungu.

Mnakua si wepesi wa hasira bali Mungu anawajalia Rehema wakati wote
 
Bado ni propaganda tuu!!cha msingi ni kuheshimu,,kuzitambua na kuwa tayari kupambana Nyakati mbalimbali zipitazo kila siku katika maisha yetu ya kila siku ziwe ni Nyakati za huzuni,,furaha,,kilio,,kicheko,,magonjwa,,uzima nk nk!!
Kuyaishi hayo,
Ni muhimu wahusika kupewa ufahamu na uelewa mpana wa masuala ya uchumba na ndoa.

Hayo mambo si mujiza ni halisi. Ni vema kujifunza, kuelewa then kuyaishi inakua rahisi.

Propaganda ya kupiga vita uchepukaji ipo pale pale tu..
 
Bro sitaki kukuchafulia thread yako bn, npo huku bondeni napita pita naenda Kwa majamaa zangu wa KATAAA NDOA
kataeni tu, siku ikija kukubali ndio inakataa sasa, na wewe ndio unaitaka sana wakati huo πŸ˜…
 
Mwl mwema kichwa kimejaa madeni nitasahau tu..ni vyema uwe unamtag na wifi ako tuwe tunapata darasa wote.. Au niwekee kwenye PDF kule. Nakupenda sana...
πŸ˜‚πŸ˜‚ mi nikikutag, we nawe ndio unisaidie kumtagipo wifi au sio? PDF nikitulia nitakufowadia…..Nakupenda leo, kesho na kesho kutwa πŸ˜‚πŸ˜‚β€οΈπŸ˜˜
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ mi nikikutag, we nawe ndio unisaidie kumtagipo wifi au sio? PDF nikitulia nitakufowadia…..Nakupenda leo, kesho na kesho kutwa πŸ˜‚πŸ˜‚β€οΈπŸ˜˜
Unasema kweli? Nipe na mahaba deko yote yaliobaki...😘😘
 
Nimekuja mbio nione ulivyoelezea kiroho ila sijaona...

Ukimjua mwenza wako kiroho inafurahisha ila inaweza ikakuhuzunisha...

Maana unaweza ona mabaya yake au mazuri yake ..

NB: Macho ya Rohoni sio mchezo ni lazima uwe na hekima
kuzungumzia ladha ya kiroho ni parefu kidogo. Bila kujali ni wa msikitini au kanisani ufanano wa ratiba na tamaa za maombi, kuombeana na kubarkiana huwa mkubwa sana. Kukumbushana kusali na kusali pamoja. Mara zote nia na maombi yenu kwa Mungu ni mamoja mathalani mwenzi ke anatamani kupata mtoto automatically mwenzi me nae ana nia hiyo hiyo basi Mungu kutekeleza ombi lenu ni mapema sana kwa wakati wake. Hata katika mambo mengine pia.
Mnakua si wepesi wa hasira,
Mnasameheana na kusahau kabisa n.k
 
Kktiuyaishi hayo,
Ni muhimu wahusika kupewa ufahamu na uelewa mpana wa masuala ya uchumba na ndoa.

Hayo mambo si mujiza ni halisi. Ni vema kujifunza, kuelewa then kuyaishi inakua rahisi.

Propaganda ya kupiga vita uchepukaji ipo pale pale tu..
Ndio nyakati zenyewe hizo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…