Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tangu lini Nnko akawa mmasai acha wiziNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini Nnko akawa mmasai acha wiziNajivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
[emoji38][emoji38]Tangu lini Nnko akawa mmasai acha wizi
Ni difficult people na hupenda kununa nuna pia sio responsible kivile ukiwa naye ujue utalea familia mwenyeweShida ilikuwa nini? Hebu toa uzoefu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sawa tuma salaam kwa wamasai watatu, uwambie umenunua nguo shuka umetupa.
Hahaha wanasema..nsero akiruaMmeruu nare ndu?
Mmasai wa porini hana wivu hata umletee mwanamke mwingine kitandani mwake hatagomba.Wana nini cha zaidi...mada imepwaya...ipe nyama......
Mbona dada zenu tunasikia hawana viantena....
Nafikiri zaidi ni upande wa ke.Mnajipigia promo tu, na je ni jinsia yoyote awe mmasai ke au me ? Unahisi ni kwanini hawaachi?
Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Kuna ukweli na uongo pamojaNafikiri zaidi ni upande wa ke.
Wao wamekuzwa kwenye mfumo kandamizi, hawana sauti, kila kitu ndio.
Chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika ni Wivu wa kimapenzi hasa mwenza akicheat.
Sasa wanawake wa kimasai wamekuzwa kwenye jamii inayooa wanawake wengi, tena wao wakifikia umri flani ndio huenda kuwatafutia waume zao mabinti wa kuoa kabisa.
So mmasai hata mume akitembeze vipi kwa sio habari kamwa.
Huu ni uzoefu wangu mdogo.
Nimesema ni uzoefu wanguKuna ukweli na uongo pamoja
Ushamba, kushangaa kila kitu[emoji1][emoji16]Hivi Ni kwanini wamasai wengi hawafungagi midomi,wengi ninaowaina wakubwa kwa wadogo huwa wanaacha midomi wazi sielewagi shida Nini.
Hahahaha mkuu unasema kweli??Ushamba, kushangaa kila kitu[emoji1][emoji16]
Kweli, hao wanashangaa maisha yao yote[emoji38]Hahahaha mkuu unasema kweli??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1] inawezekana ndio sababu maana ukikuta watoto midomi wazi,vijana wazee ndo kabisaaa Yani nabaki kutowaelewa tuKweli, hao wanashangaa maisha yao yote[emoji38]
Kimsingi ulichemka sana zaidi watakuachia "kovu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asomaye na aelewe.Ni difficult people na hupenda kununa nuna pia sio responsible kivile ukiwa naye ujue utalea familia mwenyewe
Elewa leo sasa[emoji1][emoji1][emoji1] inawezekana ndio sababu maana ukikuta watoto midomi wazi,vijana wazee ndo kabisaaa Yani nabaki kutowaelewa tu
Hata pozi la kimasai Masai[emoji1787]!Najivunia kuwa mmasaiView attachment 2033423
Best hukunitonya mapema, uzuri nilikuwa na observe tu, hafu wanapenda kweli watu wa kabila letu bana na huwa wanatesa vibaya ndoa nyingi za Hawa watu huwa ni shiida huishia tu kwa talaka na machungu.Kimsingi ulichemka sana zaidi watakuachia "kovu"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asomaye na aelewe.
Wamasai/waarusha ni jamii ngumu isiyopenda kubadilika.
Wanafaa kukulana na kuoana wao.
Wanamfumo dume uliopitiliza.
1. Wamasai wako kama simba...jike hutafuta chakula na kufanya kazi ngumu
2. Midume kazi yao kubeba fimbo/ kukaa vjiweni kunywa chai na vitumbua tu
3. Midume inapenda kazi nyepesi tu.
4. Wanawake ndio wanajenga, kusomesha na kulisha familia.
Hii ni jamii itawezana wao kwa wao.
Wewe mchaga ukijiingiza huko ujue mnakulana kwa muda na uchape lapa kwani mmejaa usongo wa maendeleo.