Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hawana mitaji kabisa hata ya kuanzia, hawana maeneo, afya mbovu n.kMkuu kwanini hawana uwezo wa kulima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana mitaji kabisa hata ya kuanzia, hawana maeneo, afya mbovu n.kMkuu kwanini hawana uwezo wa kulima?
Mitaji na Afya mbovu sawa.Hawana mitaji kabisa hata ya kuanzia, hawana maeneo, afya mbovu n.k
Upo utaratibu wa kupata ardhi ulime hata kwa mkoa mkubwa kama Tabora ambao utahitaji utoe kitu kidogo mfukoni, wengine mifukoni mwak ni 0 kabisa na hawana wa kuwasaidia.Mitaji na Afya mbovu sawa.
Tabora ni miongoni mwa mikoa mikubwa Tanzania, kama sio wa kwanza basi wapili! Au unamaanisha maeneo yapi mkuu?