Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Wewe kadanganye nyumbu wenzio
Kilimanjaro pori ulikute wapi? Labda liwe eneo la serikali
Maeneo yote Yameendelezwa
Kilimanjaro ardhi haikai bure,usidhani ni maporini kama hko kwenu meatu
Kuanzia hatua chache kupita buiko kuelekea moshi huku njiani kuna maeneo mengi yapo empty na ni jangwa hapavutii kuishi
 
Nimetolea mfano same
Ni Sawa Lkn ujue same ni asilimia ndogo mno ya population ktk Kilimanjaro
NENDA uchagan kwenye population kubwa almost 80% ya Kilimanjaro ni uchagani
Uchagan yote makazi bora ni 90% huku huduma za maji na umeme Kila nÿumba ni kwa wastani WA 95%
 
Kuanzia hatua chache kupita buiko kuelekea moshi huku njiani kuna maeneo mengi yapo empty na ni jangwa hapavutii kuishi
Yale ni maeneo ya serikali sio ya watu binafsi mkuu
Tembelea vijijin uchagani usiangalie pembeni ya l'ami[emoji3][emoji3][emoji3]
NENDA machame,rombo, mwika,kilema,marangu,NK alafu urudi hapa
 
Kweli kabisa mkoa wa Kilimanjaro wana waangalia wachanga wachache wenye hela lakini huko kwao kuna Wachagga wananuka shida mafadhari ya .mkoa tabora unaweza fika kwa mtu mwenye nyumba ya nyasi ukala ukalala mwezi mzima kisha ukenda zako kitu hicho moshi hakuna
ukisema moshi unakosea Moshi na pale mjini tu sema kilimanjaro vijijini
 
umeshafika marekani? marekani kuna masikini wengi kama tz? kiwango cha watu wenye uhakika na milo mitatu marekani utalinganisha na hapa?
Huo ni mfano,Sawa n'a Kilimanjaro maskini WA Kilimanjaro huwezi mfananisha na WA kaliua ambaye hâta maji ya kunywa ni. Shida
Pia idadi ya maskini Kilimanjaro ni 10% kwa mujibu WA NBS
 
Mtoto wa kichaga ni borned entrepreneur kwa mujibu wa taarifa za utafiti wa kisayansi.


Ndiyo maana hata ukimchukua Mtoto Mdogo toka Rombo pale ukamuweka Dar dukani hawezi kutia short hata senti moja [emoji108]

Hawahadaiki na mademu kwa kuacha kudai chenji au kugawa chochote bure [emoji108]

Wanajua kuwa serious na kazi.

Sasa weka mswahili dukani uone!
 
Once they are borned they are Enterprenurs.

Utafiti hupingwa kwa tafiti.

Unaweza kwenda kuuliza Prof. Mbura pale UDBS Kwa maelezo zaidi.
 
Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa hawa jamaa badala ya kuwahusudu na kuwachukia maana haisaidii,

Wa moja havai mbili [emoji108]

Akilazimisha inashika miguuni na kubaki moja!
 
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.

Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.

Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.

Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]

Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?

Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.

Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?

Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi


Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi

Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!

Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.

Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
Ulikua na basha wa kichaga akakutelekeza nin[emoji2] manake sio kwa pobu hili
 
Mimi ukiniuliza mambo yanayowafanya hawa jamaa kuwa na afadhali kuliko maeneo mengine ni kama ifuatavyo:

1. Kutokuwepo Kwa Uchawi miongoni mwao
Na hivyo kutoangushana ktk kutafuta kufanikiwa.

2. Kufanya kazi Kwa bidii sana.

Hizo nguzo 2 mimi naona zimewasaidia sana.


Uchagani alfajiri wameanka , ukitaka kifungua kinywa unapata.

Nenda mikoa mingine wanalala weee hakuna hatakujiongeza kwa kufikiri na kutenda.
 
Back
Top Bottom