Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.

Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.

Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.

Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]

Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?

Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.

Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?

Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi


Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi

Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!

Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.

Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
Tembelea Kila Kaya uchagani Kila Kaya kumi 8,9 zina umeme na Maji
Umesema upo Kilimanjaro,Sasa hebu ni prove wrong,niambie ni eneo lipi uchagan Kaya hazina umeme na maji Safi ya bomba
 
Si bora hata hiyo dar wanayosema mpaka ufanye kazi ndo ule, means misosi ipo hadi ya jero (kula usife).

Lakini kuna vijiji huo msosi haupo, hizo kazi za kufanya ule hazipo. Wanategemea kilimo. Miaka ambayo jua limepiga kisawasawa kama ile mwaka jana msosi maeneo mengine ilikua changamoto lakini sio kwenye miji mikubwa.
Kanda ya ziwa mnatia aibu kwa utapiamlo poleni
 
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.

Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.

Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.

Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]

Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?

Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.

Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?

Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi


Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi

Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!

Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.

Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
Hahahaha mkuu unachekesha mno
1: Zahanati za kikatoliki zipo vijijn kote ni Kweli si ndio mãendeleo ? Ulidhani maendleo lazma yaletwe n'a serikali ? Private sector ni main stimulator WA économique. Zahanati za private zipo vijijn uchagan kwakuwa Wana uwezo WA kutibiwa huko,ungetaka wakaweke huko kwa watu ambao hâta bati la kuezeka nÿumba ni shida je ataweza kumudu matibabu ya private?
2:Nimezungumzia pia hospital Kila wilaya ina hospital zaidi ya tatu(elewa Neno hospital) ,vituo vya afya siwezi hâta kuhesabu
3:barabara za lami zipo maeneo mengi ambayo hâta SIO highway
Mfano barabara za bomangombe-machame,Moshi -kibosho,moshi_ old Moshi,himo -marangu-mwika, bomangombe-sanya juu NK(HIZO SIO BARABARA KUU NI LOCAL)
4-:Hujui maana ya uchumi,Sisi Wachaga popote penye fursa tunapatumia wakati mkiwa mmelala fofofo,kama wazungu,wahindi,waarabu wanavyokuja huku Africa je kwao ni maskini au kubaya? Wamekuja kuongeza fursa Zaid SIO uridhike na kitu kimoja haishangazi kukuta maeneo yote Tanzania jina MANGI sio geni
5: mwaka 2017 WANANCHI Wa vunjo walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo HII haiwezi kutokea popote Tanzania,ndio maana jiwe alikuwa na chuki kali sana na jamii HII,enzi za vyuma kukaza Kilimanjaro tulikuwa tunakula kwa mrija,desemba alishangaa mwenyewe misafara ya ma V8 yanayoenda migombni
6:Kuna Mahali pazuri kwa mfanyakazi kama Kilimanjaro? Hko kwenu usukumani hâta nÿumba ya kupanga ni shida unakuta za nyasi tu,NENDA nyangwale uone,Imani za kishirikina zimetawala hko watu wanapanda mafisi,nÿumba za watumishi wanawasumbua kishirikina mara wanye kwenye vyombo vya kulia,mara wawatoe nje usiku(réjea tukio lililowakumba waalimu Hko bukombe) Hadi afisa Elimu akatishia kuwahamisha waalimu wote.hko ndiko kugumu, Kilimanjaro ushasikia vitu vya kijinga kama hivyo kwa watumishi ? Kilimanjaro nÿumba mtumishi unaweza pewa nÿumba kubwa nzuriii Kila kitu na gate ukaambiwa Lipa 20000 tu manake unakuwa kama mwangalizi(kule watu wengi wanaajiri watu kwa ajili ya kuangalia nyumbani na usafi tu) Sasa utoke Kilimanjaro yenye asali na maziwa ukanywe maji na ngombe?[emoji3][emoji3][emoji3].
7:Kuhusu supermarkets
Hizo zipo Vijijin NENDA marangu,mamba,kilema,rombo zipo kibao
Kuhusu ghorofa: unasema ghorofa sio kitu chá ajabu,niambie ni wapi vijijin Tanzanie hii utakuta maghorofa ? Nyie si mnaenda furahisha pale kushangaa mkishavuna mpunga huko kwenu ngudu?[emoji3][emoji3]
 
Hahahaha mkuu unachekesha mno
1: Zahanati za kikatoliki zipo vijijn kote ni Kweli si ndio mãendeleo ? Ulidhani maendleo lazma yaletwe n'a serikali ? Private sector ni main stimulator WA économique. Zahanati za private zipo vijijn uchagan kwakuwa Wana uwezo WA kutibiwa huko,ungetaka wakaweke huko kwa watu ambao hâta bati la kuezeka nÿumba ni shida je ataweza kumudu matibabu ya private?
2:Nimezungumzia pia hospital Kila wilaya ina hospital zaidi ya tatu(elewa Neno hospital) ,vituo vya afya siwezi hâta kuhesabu
3:barabara za lami zipo maeneo mengi ambayo hâta SIO highway
Mfano barabara za bomangombe-machame,Moshi -kibosho,moshi_ old Moshi,himo -marangu-mwika, bomangombe-sanya juu NK(HIZO SIO BARABARA KUU NI LOCAL)
4-:Hujui maana ya uchumi,Sisi Wachaga popote penye fursa tunapatumia wakati mkiwa mmelala fofofo,kama wazungu,wahindi,waarabu wanavyokuja huku Africa je kwao ni maskini au kubaya? Wamekuja kuongeza fursa Zaid SIO uridhike na kitu kimoja haishangazi kukuta maeneo yote Tanzania jina MANGI sio geni
5: mwaka 2017 WANANCHI Wa vunjo walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo HII haiwezi kutokea popote Tanzania,ndio maana jiwe alikuwa na chuki kali sana na jamii HII,enzi za vyuma kukaza Kilimanjaro tulikuwa tunakula kwa mrija,desemba alishangaa mwenyewe misafara ya ma V8 yanayoenda migombni
6:Kuna Mahali pazuri kwa mfanyakazi kama Kilimanjaro? Hko kwenu usukumani hâta nÿumba ya kupanga ni shida unakuta za nyasi tu,NENDA nyangwale uone,Imani za kishirikina zimetawala hko watu wanapanda mafisi,nÿumba za watumishi wanawasumbua kishirikina mara wanye kwenye vyombo vya kulia,mara wawatoe nje usiku(réjea tukio lililowakumba waalimu Hko bukombe) Hadi afisa Elimu akatishia kuwahamisha waalimu wote.hko ndiko kugumu, Kilimanjaro ushasikia vitu vya kijinga kama hivyo kwa watumishi ? Kilimanjaro nÿumba mtumishi unaweza pewa nÿumba kubwa nzuriii Kila kitu na gate ukaambiwa Lipa 20000 tu manake unakuwa kama mwangalizi(kule watu wengi wanaajiri watu kwa ajili ya kuangalia nyumbani na usafi tu) Sasa utoke Kilimanjaro yenye asali na maziwa ukanywe maji na ngombe?[emoji3][emoji3][emoji3].
7:Kuhusu supermarkets
Hizo zipo Vijijin NENDA marangu,mamba,kilema,rombo zipo kibao
Kuhusu ghorofa: unasema ghorofa sio kitu chá ajabu,niambie ni wapi vijijin Tanzanie hii utakuta maghorofa ? Nyie si mnaenda furahisha pale kushangaa mkishavuna mpunga huko kwenu ngudu?[emoji3][emoji3]
Kilimanjaro maisha Bora, umeme, maji na barabara 😂😂😂


Ndoto ya watu 😂😂
 

Attachments

  • VID_20230728_145326.mp4
    18.3 MB
Kweli kabisa mkoa wa Kilimanjaro wana waangalia wachanga wachache wenye hela lakini huko kwao kuna Wachagga wananuka shida mafadhari ya .mkoa tabora unaweza fika kwa mtu mwenye nyumba ya nyasi ukala ukalala mwezi mzima kisha ukenda zako kitu hicho moshi hakuna
Mkoa una afadhali maana watu wake wako vibrant, inlflow ya cash kwenda Kilimanjaro kutoka mikoa mingine ni kubwa, ulitaka kujua uafadhali WA .koa nnda kwenye vijiji vyake
 
Kweli kabisa mkoa wa Kilimanjaro wana waangalia wachanga wachache wenye hela lakini huko kwao kuna Wachagga wananuka shida mafadhari ya .mkoa tabora unaweza fika kwa mtu mwenye nyumba ya nyasi ukala ukalala mwezi mzima kisha ukenda zako kitu hicho moshi hakuna
Hebu acha vituko
Yani tabora watu wanaolala nÿumba za nyasi na Ku Share maji na mifugo uulinganishe na Kilimanjaro yenye maji na umeme Karibu Kila Kaya?
 
Huo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.

Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.

Asante.
Kwani mkuu ukiwa Kilimanjaro unaweza kusafiri ndani ya mkoa ukatumia masaa manne au ukatumia nauli ya Elf 10 au Elf 5?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kilimanjaro imeendelea kuliko Dar na Mwanza ? Acheni ujinga wachaga
Tatizo lenu watu hamtembei hii nchi,ukifika kilimanjaro tofauti ya mjini na vijijini ni idadi ya watu sio maendeleo yao...makazi ya vijijini ni ya kisasa sana na huduma kama maji safi shule hospital na barabara ni tangu zamani...mikoa mingine bado hata makao makuu ya mkoa ni aibu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ametaja mikoa yenye umaskini akitumia takwimu za mwaka 2016 akiwa Waziri wa Fedha, hakutajua mikoa yenye kipato kikubwa Kwa mtu mmoja mmoja. Hwezi kufananisha Dar es salaam na huo mkoa wa Kilimanjaro ambao kila kijana anakimbia huo umaskini uliopo huko. Usifananishe Dar na kimkoa kisicho na fursa yoyoye. Ondoa Dar es salaam hapo umeipachika bila kuwa na source ya uhakika.

Infact maskini wengi Dar wanatoka mikoani kuja kutafuta maisha.


View attachment 2577656
Kwa hali hii mleta Uzi kachapia. Dodoma haipo katika orodha hii na pia Kigoma imetajwa na Mheshimiwa MR siyo kwamba hakuitaja kama alivyodai.
 
Hahaha
Kanda ya ziwa wanakokunywa maji pamoja na ngombe kwenye malambo?
Kilimanjaro 95% ya nÿumba zote zina maji na umeme, barabara Safi, supermarkets Hadi vijijin,huduma zote za kijamii zinapatikana wilayan hkohko MTU Hana haja ya kwenda mjini
Maghorofa, mahotel yapo vijijin hkohko
Haishangazi kukuta Hadi zahanati za private Vijijin,haishangazi kukuta wilaya Moja Ina hospital 5
Haishangazi kukuta shule hakuna msongamano WA wanafnz kama hko kanda ya ziwa
Uthibitisho WA ubora WA kuishi Kilimanjaro unao maana Hadi MDA Huu unaishi Kilimanjaro means ni kuzuri sana,tembelea maeneo ya machame,marangu,rombo,kilema NK ukasafishe macho kwa makazi Safi,mazingira Safi na Hali ya hewa Safi kule watu hawanywi maji ya malambo, kule huduma zote zipo Karibu na mwananchi sio kama kwenu MTU kwenda wilayani anatumia masaa 8
Hahaa kilimanjaro upo overrated sana,umesema maghorofa na mahoteli yapo hukohuko vijijini je ni vijiji vipi hivyo?, umesema 95% nyumba zina maji je umeshawahi kuishi same au unaongelea uchagani tu
 
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.

Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.

Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.

Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]

Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?

Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.

Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?

Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi


Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi

Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!

Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.

Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
Yah kuna mtu mmoja wa kilimanjaro niliongeaga nae alikiri kilimanjaro hasa moshi vijijini pamoja na mazingira mazuri ya walimu kuna uhaba wa walimu sababu wengi wanahama,ni ngumu kufanya maendeleo eneo ambalo hata kiwanja ni ngumu kuuziwa
 
Vitambi na viribatumbo sio matatizo ?

Moja ya matatizo ambayo yatakuwa kusababisha vifo vingi na uzito mkubwa miaka ya mbele kwa bongo mkoa wenu ndo kinara na Dar mwaka huu fuatilia...

life expectancy yenu kwa wanaume ni ndogo sana uliza ukienda nyumba hazina watu kabisa unakuta wamama kwa sana.
According to sensa ya 2022 kilimanjaro ndo mkoa unaoongoza kwa kua na wazee wengi kuliko yote Tanzania tuweni tunasoma report za sensa
 
Yah kuna mtu mmoja wa kilimanjaro niliongeaga nae alikiri kilimanjaro hasa moshi vijijini pamoja na mazingira mazuri ya walimu kuna uhaba wa walimu sababu wengi wanahama,ni ngumu kufanya maendeleo eneo ambalo hata kiwanja ni ngumu kuuziwa
Shule zao hazina hata waalimu wako wanajisifia Tu hapa
Screenshot_20230708-160313.jpg
 
Hahahaha mkuu unachekesha mno
1: Zahanati za kikatoliki zipo vijijn kote ni Kweli si ndio mãendeleo ? Ulidhani maendleo lazma yaletwe n'a serikali ? Private sector ni main stimulator WA économique. Zahanati za private zipo vijijn uchagan kwakuwa Wana uwezo WA kutibiwa huko,ungetaka wakaweke huko kwa watu ambao hâta bati la kuezeka nÿumba ni shida je ataweza kumudu matibabu ya private?
2:Nimezungumzia pia hospital Kila wilaya ina hospital zaidi ya tatu(elewa Neno hospital) ,vituo vya afya siwezi hâta kuhesabu
3:barabara za lami zipo maeneo mengi ambayo hâta SIO highway
Mfano barabara za bomangombe-machame,Moshi -kibosho,moshi_ old Moshi,himo -marangu-mwika, bomangombe-sanya juu NK(HIZO SIO BARABARA KUU NI LOCAL)
4-:Hujui maana ya uchumi,Sisi Wachaga popote penye fursa tunapatumia wakati mkiwa mmelala fofofo,kama wazungu,wahindi,waarabu wanavyokuja huku Africa je kwao ni maskini au kubaya? Wamekuja kuongeza fursa Zaid SIO uridhike na kitu kimoja haishangazi kukuta maeneo yote Tanzania jina MANGI sio geni
5: mwaka 2017 WANANCHI Wa vunjo walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za Jimbo HII haiwezi kutokea popote Tanzania,ndio maana jiwe alikuwa na chuki kali sana na jamii HII,enzi za vyuma kukaza Kilimanjaro tulikuwa tunakula kwa mrija,desemba alishangaa mwenyewe misafara ya ma V8 yanayoenda migombni
6:Kuna Mahali pazuri kwa mfanyakazi kama Kilimanjaro? Hko kwenu usukumani hâta nÿumba ya kupanga ni shida unakuta za nyasi tu,NENDA nyangwale uone,Imani za kishirikina zimetawala hko watu wanapanda mafisi,nÿumba za watumishi wanawasumbua kishirikina mara wanye kwenye vyombo vya kulia,mara wawatoe nje usiku(réjea tukio lililowakumba waalimu Hko bukombe) Hadi afisa Elimu akatishia kuwahamisha waalimu wote.hko ndiko kugumu, Kilimanjaro ushasikia vitu vya kijinga kama hivyo kwa watumishi ? Kilimanjaro nÿumba mtumishi unaweza pewa nÿumba kubwa nzuriii Kila kitu na gate ukaambiwa Lipa 20000 tu manake unakuwa kama mwangalizi(kule watu wengi wanaajiri watu kwa ajili ya kuangalia nyumbani na usafi tu) Sasa utoke Kilimanjaro yenye asali na maziwa ukanywe maji na ngombe?[emoji3][emoji3][emoji3].
7:Kuhusu supermarkets
Hizo zipo Vijijin NENDA marangu,mamba,kilema,rombo zipo kibao
Kuhusu ghorofa: unasema ghorofa sio kitu chá ajabu,niambie ni wapi vijijin Tanzanie hii utakuta maghorofa ? Nyie si mnaenda furahisha pale kushangaa mkishavuna mpunga huko kwenu ngudu?[emoji3][emoji3]
Kaka basi inatosha , umetaja Nyang'hwale nimekumbuka kuna kipind tulikua na kazi kule aisee kule bado sana
 
Back
Top Bottom