Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Nafikikiri kutangaza mkoa flani masikini siyo sifa, wakati wewe ndeye unapaswa kujibu ni kwanini umeshindwa kuondoa umaskini ilihali hao maskini ndiowaliokuweka hapo.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Huo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.

Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.

Asante.
 
Kwahyo wachina walivyotapakaa Africa ina maanisha china hakuna kitu? Una Elimu gan?
Hujui kuwa watu hutafuta fursa Zaid popote,ndio tunachofanya haturiziki na fursa Moja , nyie mtaendelea kupanua madomo Sisi tunaendelea kutanua nchi nzima
Tutazidi kununua maeneo Kila mahali mkija kushtuka kushakucha
Wachina wanatoka China wanakuja Africa kuleta bidhaa, huduma na teknolojia yao.



Wachagga wanakimbia Kilimanjaro, kwenda kwenye Mikoa ya watu kufanya Nini, zaidi ya kuuza bar na kitimoto??
 
Huo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.

Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.

Asante.
Mimi kwetu Kanda ya Ziwa. Nimekaa Bukoba miaka 3.


Kwasasa Niko Kilimanjaro.

Ukiambiwa uchague Kati ya Kagera na Kilimanjaro, ni Bora uishi Kagera.

Kilimanjaro ni takataka.
 
Moshi yenyew sasa...full slums...eti wameendelea....mbege hiz sio aisee
JamiiForums-1345514952.jpg
 
Huo mkoa ni mdogo sana, ukiupeleka Tabora, Lindi au Morogoro unaweza kuwa Halmashauri.

Mkoa mdogo ni mwepesi kupima maendeleo & unaweza kuonekana unamaendeleo kumbe ofisi na miundombinu mingine ipo karibu karibu.

Asante.
Hâta mkoa MKUBWA una rasilimali kubwa
Kilimanjaro ingekuwa Tabora tungeongoza África
Ishu ni ubunifu na akili
Hushangai Kilimanjaro pamoja na udogo wote ndio mkoa unaoongoza kwa idadi ya shule nyingi za sekondar ?
Shule zote za tabora zinaingia kwa Kilimanjaro mara 2[emoji3][emoji3]
 
Wachina wanatoka China wanakuja Africa kuleta bidhaa, huduma na teknolojia yao.



Wachagga wanakimbia Kilimanjaro, kwenda kwenye Mikoa ya watu kufanya Nini, zaidi ya kuuza bar na kitimoto??
Wachina wanakuja África kutafuta fursa Sawa na waarabu,wahindi
Na Sisi Wachaga ni kama Waarabu WA Tanzania tunatafuta fursa popote haturidhiki na kitu kimoja ndio Siri ya wachaga kuwa na maisha bora
Wewe endelea kuridhika na Ka IST kako ka milion 8 [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi kwetu Kanda ya Ziwa. Nimekaa Bukoba miaka 3.


Kwasasa Niko Kilimanjaro.

Ukiambiwa uchague Kati ya Kagera na Kilimanjaro, ni Bora uishi Kagera.

Kilimanjaro ni takataka.
Hahaha
Kanda ya ziwa wanakokunywa maji pamoja na ngombe kwenye malambo?
Kilimanjaro 95% ya nÿumba zote zina maji na umeme, barabara Safi, supermarkets Hadi vijijin,huduma zote za kijamii zinapatikana wilayan hkohko MTU Hana haja ya kwenda mjini
Maghorofa, mahotel yapo vijijin hkohko
Haishangazi kukuta Hadi zahanati za private Vijijin,haishangazi kukuta wilaya Moja Ina hospital 5
Haishangazi kukuta shule hakuna msongamano WA wanafnz kama hko kanda ya ziwa
Uthibitisho WA ubora WA kuishi Kilimanjaro unao maana Hadi MDA Huu unaishi Kilimanjaro means ni kuzuri sana,tembelea maeneo ya machame,marangu,rombo,kilema NK ukasafishe macho kwa makazi Safi,mazingira Safi na Hali ya hewa Safi kule watu hawanywi maji ya malambo, kule huduma zote zipo Karibu na mwananchi sio kama kwenu MTU kwenda wilayani anatumia masaa 8
 
Salaam kabla ya habari.

Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.

Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.

Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.

Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Saw COPA CABANA Tumekusoma Mkuu
 
Hahaha
Kanda ya ziwa wanakokunywa maji pamoja na ngombe kwenye malambo?
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.
Kilimanjaro 95% ya nÿumba zote zina maji na umeme,
Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.
barabara Safi,
Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.
supermarkets Hadi vijijin,
Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket 😥
huduma zote za kijamii zinapatikana wilayan hkohko MTU Hana haja ya kwenda mjin
Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?
Maghorofa,
Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.
mahotel yapo vijijin hkohko
Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?
Haishangazi kukuta Hadi zahanati za private Vijijin,
Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi
haishangazi kukuta wilaya Moja Ina hospital 5

Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi
Haishangazi kukuta shule hakuna msongamano WA wanafnz kama hko kanda ya ziwa
Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!
Uthibitisho WA ubora WA kuishi Kilimanjaro unao maana Hadi MDA Huu unaishi Kilimanjaro means ni kuzuri sana,
Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.
tembelea maeneo ya machame,marangu,rombo,kilema NK ukasafishe macho kwa makazi Safi,mazingira Safi na Hali ya hewa Safi kule watu hawanywi maji ya malambo, kule huduma zote zipo Karibu na mwananchi sio kama kwenu MTU kwenda wilayani anatumia masaa 8
Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
 
Sio kweli mzee na umaskini wa lishe sio kiivyo jaribu kuwa mdadisi ile mikoa ambayo ina vyakula kibao wanakuwa na udumavu untaka useme hawana chakula ...Vijijini wanalima vyakula ni bwerere na Kusema dar kuna umaskini ni uongo hata siku moja ni uongo hata wanaishi kweny zile slams huko mbagala ,manzese ,Tandale kupata pesa kwao ni rahisi sema matumizi ni makubwa vyakula kibao ni cheap kwa uchumi wa dar watu hata maskini wanakula.

ishu ni malazi kama nyumba ni tatizo la wabongo na umaskini huwezi kudefine kwa majengo sijui malazi kutokana na mila za watu tofauti Mfano wamasai hawana shida ya kula na pesa wanazo ila wanaishi kweny nyumba za tope.

Nimeenda mtwara vijijini kabisa yaani nyumba choka mbaya nimekaa wiki ila msosi wake ni mzuri kwanza samaki wakubwa ,Kisamvu cha nazi na usiku wali wana magunia kibao ya mpunga ila wanatangwa kwa kinu ndo wapate mchele hawa swala la kula kwao sio shida maana hata mafuta hawatumii kwa sana ni nazi ..Ukiwaaangalia hao watoto wao ni majitu yamshiba watu wa kazi miili mikubwa kuliko mimi
Si bora hata hiyo dar wanayosema mpaka ufanye kazi ndo ule, means misosi ipo hadi ya jero (kula usife).

Lakini kuna vijiji huo msosi haupo, hizo kazi za kufanya ule hazipo. Wanategemea kilimo. Miaka ambayo jua limepiga kisawasawa kama ile mwaka jana msosi maeneo mengine ilikua changamoto lakini sio kwenye miji mikubwa.
 
Cha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.

Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.

Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.

Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.

Kilimanjaro mjini ni wapi??

Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.

Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]

Kwenda mjini wapi?

Huduma gani?

Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.

Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.

Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.

Hotel za Nini?

Kila, guest house au Nini?

Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi


Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi

Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!

Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.

Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.

Labda Kama unajua sehemu nyingine
Wewe hujui kwann wazungu hupigana vikumbo hku África? Je África ni nzuri kuliko ulaya? Kwanza una Elimu gani? Nisije kuwa nabishana na TABULARASA
 
Back
Top Bottom