Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Jaribu Ku tafiti kabla hujaongea,Mangi mareale alisoma Cambridge Hadi Masters,wakati huo kule kwa wahaya kwa kina instanbul kina omukama walikuwa Bize kuvuta kokoro[emoji44][emoji44][emoji44] ,pichani ni miaka ya 1950's Mangi akiwa ikulu ya Moshi akipokea ugeni kutoka UK View attachment 2591146
Unatuonyesha wafalme tu[emoji23]...

Wakati wahaya wanajaza vyuo kama Makelele Nyinyi mlikuwa hiv
JamiiForums309589418.jpg
 
Jaribu Ku tafiti kabla hujaongea,Mangi mareale alisoma Cambridge Hadi Masters,wakati huo kule kwa wahaya kwa kina instanbul kina omukama walikuwa Bize kuvuta kokoro[emoji44][emoji44][emoji44] ,pichani ni miaka ya 1950's Mangi akiwa ikulu ya Moshi akipokea ugeni kutoka UK View attachment 2591146
Imagine hapa ni 1917....wahaya washakuwa mapadre...na wote walisoma Bukoba...

Wew unatuletea habari za 1940? Tena machief?

Kule kagera miaka hiyo koo nyingi zilishaanza kuwa na wasomi kibao...ndo maana kimsingi Bukoba haikuwa colonized na waliwaacha wananchi wafanye mambo yao walikuwa treated kama normal citizens tu...

Hakuwepo mambo ya manamba sijui mashamba Bukoba....

Hata biashara ya utumwa iliikwepa Bukoba...kimsingi watu wengi waliwaogopa wahaya...

Screenshot_20230417-195337.jpg
 
Wewe ndio jitu hivyo lililojaa chuki kali ambalo kinabishana na takwimu na uhalisia,kitu kipo wazi Bado unabisha?Wewe hapo rombo umewahi ona MTU analala nyumba ya nyasi hâta mmoja kama kule kwenu? Huwezi hâta Ku appreciate kitu kilicho wazi? Peleka Elimu Yako ya memkwa huko
Check huyo, nimeoita hapo analala kwenye jumba la kutisha🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_20230417_150653.jpg
    IMG_20230417_150653.jpg
    49.8 KB · Views: 9
Unaongelea 1942?....kwenye elimu hapo utachekwa Tanzania nzima
Wahaya wamekuwa na wasomi ukitrace back 1917...hata mapadre wa kwanza wazalendo walikuwa wahaya...

Kuna shule kama Rubya Seminary zimekuweko toka 1903...
Hiyo 1942 nimesema ni local rulers wetu
Nime emphasize Hoja Yangu kuwa Elimu uchagan ni kipaumbele that's why hâta mtawala WA jadi alikuwa na masters
 
Unaongelea 1942?....kwenye elimu hapo utachekwa Tanzania nzima
Wahaya wamekuwa na wasomi ukitrace back 1917...hata mapadre wa kwanza wazalendo walikuwa wahaya...

Kuna shule kama Rubya Seminary zimekuweko toka 1903...
Hiyo 1942 nimesema ni local rulers wetu
Nime emphasize Hoja Yangu kuwa Elimu uchagan ni kipaumbele that's why hâta mtawala WA jadi alikuwa na masters
Kuhusu mapadre wazawa uchagan ndio top
Umesahau kibosho seminary ndio seminári kongwe kuliko zote Tanzania?
 
Imagine hapa ni 1917....wahaya washakuwa mapadre...na wote walisoma Bukoba...

Wew unatuletea habari za 1940? Tena machief?

Kule kagera miaka hiyo koo nyingi zilishaanza kuwa na wasomi kibao...ndo maana kimsingi Bukoba haikuwa colonized na waliwaacha wananchi wafanye mambo yao walikuwa treated kama normal citizens tu...

Hakuwepo mambo ya manamba sijui mashamba Bukoba....

Hata biashara ya utumwa iliikwepa Bukoba...kimsingi watu wengi waliwaogopa wahaya...

View attachment 2591279
Umesahau kuwa sera ya ujamaa ya Nyerere uchagan haikufua dafu maana Wachaga walkuwa civilized tangu zamani ,na vijiji vyao vlikuwa na mpangilio
Wachaga tangu kitambo Elimu ilikuwa chaguo lao
Chama chá kahawa kncu kilikuwa na mchango mkubwa Ktk Elimu kilijenga mashule kama lyamungo,kilijenga majumba ,mabarabara,Hadi serikali ilikuwa ikikopa Hela kutoka kncu, serikali kwa maksud walividhoofisha vyama hivi kwa kuona jamii HII itazd kupaa
Kuna miaka mwafunz kutok Kilimanjaro walkuwa na passmark tofauti na WA mikoa mingine Hadi wengine wakaamua kubadili majina Ili wasiikose elimu
 
Umesahau kuwa sera ya ujamaa ya Nyerere uchagan haikufua dafu maana Wachaga walkuwa civilized tangu zamani ,na vijiji vyao vlikuwa na mpangilio
Wachaga tangu kitambo Elimu ilikuwa chaguo lao
Chama chá kahawa kncu kilikuwa na mchango mkubwa Ktk Elimu kilijenga mashule kama lyamungo,kilijenga majumba ,mabarabara,Hadi serikali ilikuwa ikikopa Hela kutoka kncu, serikali kwa maksud walividhoofisha vyama hivi kwa kuona jamii HII itazd kupaa
Kuna miaka mwafunz kutok Kilimanjaro walkuwa na passmark tofauti na WA mikoa mingine Hadi wengine wakaamua kubadili majina Ili wasiikose elimu
Toka zamani wap?[emoji23]

Nyinyi mlikuwa hiv
JamiiForums309589418.jpg
 
Umesahau kuwa sera ya ujamaa ya Nyerere uchagan haikufua dafu maana Wachaga walkuwa civilized tangu zamani ,na vijiji vyao vlikuwa na mpangilio
Wachaga tangu kitambo Elimu ilikuwa chaguo lao
Chama chá kahawa kncu kilikuwa na mchango mkubwa Ktk Elimu kilijenga mashule kama lyamungo,kilijenga majumba ,mabarabara,Hadi serikali ilikuwa ikikopa Hela kutoka kncu, serikali kwa maksud walividhoofisha vyama hivi kwa kuona jamii HII itazd kupaa
Kuna miaka mwafunz kutok Kilimanjaro walkuwa na passmark tofauti na WA mikoa mingine Hadi wengine wakaamua kubadili majina Ili wasiikose elimu
Hayo mambo uliyoyataja yalifanyika kagera tena ile intensively
 
Ametaja mikoa yenye umaskini akitumia takwimu za mwaka 2016 akiwa Waziri wa Fedha, hakutajua mikoa yenye kipato kikubwa Kwa mtu mmoja mmoja. Hwezi kufananisha Dar es salaam na huo mkoa wa Kilimanjaro ambao kila kijana anakimbia huo umaskini uliopo huko. Usifananishe Dar na kimkoa kisicho na fursa yoyoye. Ondoa Dar es salaam hapo umeipachika bila kuwa na source ya uhakika.

Infact maskini wengi Dar wanatoka mikoani kuja kutafuta maisha.


View attachment 2577656
Pia maskini wa dar yaani wazawa kama wazaramo wanabaki dar wapate maisha ,but zaidi ya asilimia 90 ya wakazi wa dar asili yao sio dar walikuja kutafuta
 
Ukweli ni kuwa K’Njaro walishafika level nyingine tangu zamani. Mkoa kwasasa hasa maeneo ya milimani hapaeleweki ni kijijini au mjini ndio maana wataalamu wa makazi wanasema hayo ni moja ya rur-urbs (rural-Urban) au semi-urban kubwa Afrika na kwingineko. Ni viongozi wetu kukataa tu kufanya chochote kizuri Kilimanjaro maeneo mengi yangalikwishs kuwa miji.

Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa sasa a vacation region au mkoa wa mapumziko na pia nyumba nyingi nzuri zimekuwa vacation houses, kwani wenyeji wengi wapo nje ya mkoa.

Shule zimeanza kuwa nyingi kuliko wanafunzi. Anyway kuna jambo kubwa la kufanya kwani kutokana na kufikia hatua hii kama hatua inayofuata (complete urbanization) haitafanywa kuna hatari ya mkoa kurudi nyuma na kuporomoka kabisa!
Acha kuchanganya mambo ,hivi ukiondoa miji ya same,hedaru,mwanga,himo,moshi,bomang'ombe,mkuu rombo,na moshi kuna mji gani mwingine? mbona kila mkoa kuna miji kama hiyo
 
Unachekesha Wewe Mzee
Kilimanjaro hasa uchagan majumba ni mapya mapya,heshima ya mchaga yeyote ni nyumba
90% ya nyumba za uchagan ni za kisasa kabisa
Uchagan ukijengea bâti jeupe unachekwa nenda MDA huu pítia maeneo yote uchagan uangalie hali za makazi alafu urudi hapa
Kwenye suala la makaz bora vijijini mchaga ni nambari one ,sio ajabu kukuta ghorofa Kijijin ndani ndaniView attachment 2580980View attachment 2580983View attachment 2580985
Mkitaja kilimanjaro mnataja uchagani tu why ?,kuna upareni pia
 
Una wivu ukiwa wapi? Ni uongo kwani?
Kilimanjaro vijijini huduma zote zipo Hadi supermarket
MTU aliye Kijijin Hana haja ya kwenda mjini Kila kitu kipo,nyie WA mikoan MTU akitaka ka huduma kadogo Hadi asafiri km180 kwenda kufuata huduma
Sisi wilaya zote makao makuu mwananchi hatumii Zaid ya 2000 au 3000 kufk headquarters
Suala la kutumia nauli ndogo kwenda wilayani linatokana na udogo wa mkoa wa kilimanjaro, mfano morogoro mkoa ni mkubwa watu husafiri umbali mrefu,mbona hata tanga kutoka vijijini kufika wilayani nauli sio kubwa
 
Suala la kutumia nauli ndogo kwenda wilayani linatokana na udogo wa mkoa wa kilimanjaro, mfano morogoro mkoa ni mkubwa watu husafiri umbali mrefu,mbona hata tanga kutoka vijijini kufika wilayani nauli sio kubwa
Naam Sasa tufanyeje? Mungu alishaumba hivyo Kilimanjaro
Hushangai Kilimanjaro Licha ya udogo huo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania ? Pia Moshi DC ni wilaya ya kwanza kuwa na shule nyingi za msingi Tanzania amazing
 
Acha kuchanganya mambo ,hivi ukiondoa miji ya same,hedaru,mwanga,himo,moshi,bomang'ombe,mkuu rombo,na moshi kuna mji gani mwingine? mbona kila mkoa kuna miji kama hiyo
Unafahamu mashati,tarakea,holili? Ni miji kabisa ina Kila kitu Ila kiutawala ni Kijijin [emoji2][emoji2][emoji2] inaonekana huijui Kilimanjaro ndugu raval omanana wasalimie hapo Antananarivo
 
Pia maskini wa dar yaani wazawa kama wazaramo wanabaki dar wapate maisha ,but zaidi ya asilimia 90 ya wakazi wa dar asili yao sio dar walikuja kutafuta
Hii takwimu ya asilimia 90 umeipata wapi? Au Kwa sababu Wadar es salaam hawaongei vilugha kama mikoani kwenu? Bado wenyeji Wana account asilimia zaidi ya 60%. Ila huwezi tambua mapema Kwa kuwa wanaongeza Lugha ya KISWAHILI.

Maskini wa Dar ni sawa tajiri wa mkoani
 
Unafahamu mashati,tarakea,holili? Ni miji kabisa ina Kila kitu Ila kiutawala ni Kijijin [emoji2][emoji2][emoji2] inaonekana huijui Kilimanjaro ndugu raval omanana wasalimie hapo Antananarivo
Hata huku Tanga segera ,hale,kabuku,mkata kiutawala ni vijijini ingawaje ni miji midogo
 
Back
Top Bottom