Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Umekariri wahaya kwakuwa Wana sifa kitu kidogo Wana ki overate Lkn uhalisia mhaya hamfikii mchaga kwa Elimu
Imagine Hadi Mangi mareale mwaka 1942 alikuwa na masters degree kutoka Cambridge
Hadi Sasa hivi sekta nyeti Wachaga ndio wame base uhandisi, bank, biashara,kilimo na mifugo,afya,
Kwa mujibu wa bodi ya wahandisi, Makampuni mengi ya uhandisi yanamilikiwa na watu WA Kilimanjaro je ushawahi sikia wakitamba? Maprofesa kibao Lkn Wala hatutambi ukienda ardhi,sua,udsm ifm,mzumbe,kcmc,udom utadhibitisha nayosema
Kuna kozi ngumu ya afya ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina watu 9 tu kati yao 4 ni Wachaga tena wanawake(Dr happiness rabiel,Dr Aingaya kaale,Dr costansia Bureta) je ushasikia tukitamba? Mhaya yéyé amekalia kusoma kiswahili na English (hkl) ataweza Hizo nondo?
Sekta ya uhasibu tumeikamata vilivyo ndio maana nchi nzima wachumi,maafisa mpango na ma treasurers wengi ni WA kwetu haijaja bahati mbaya
Alafu Wachaga ngazi zote za Elimu wapo sio tu Elimu ya juu Bali hâta Elimu ya kati
Mhaya hamfikii mchaga kielimu
Hakuna aliyekuwa na masters degree mwaka huu toa uongo wako hapa sema alikuwa anajua kingereza cheo cha kupewa,😂😂😂.

Hakuwa na degree mlidanganywa...


Huku safi watu hawanaga stress na wapo peace ,hakuna vibaka ,walevi wala matapeli .
 
Sisi l'ami Hadi vijijini sio barabara kuu tu kama nyie
Mwaka juzi vunjo walichanga zaidi ya bilion 7 kukárabati barabara zote za jimbo je napo ni mramba? Nyie Huko kwenu mna huo ubavu?
Nionyesha barabara yenu bora ya kimataifa moja huko Kijijini ,Nimefika ni barabara za kawaida hzina maajabu zipo local sana.😂😂
 
Wachaga hao wa longido tunamjua[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe hujui chochote maskini ,chuki zimekutawala Hadi palangyo amekuwa mchaga [emoji2][emoji2][emoji2] fazili hebu ñjoo uvunje mbavu hapa ati palangyo Léo ni Wachaga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hakuna aliyekuwa na masters degree mwaka huu toa uongo wako hapa sema alikuwa anajua kingereza cheo cha kupewa,[emoji23][emoji23][emoji23].

Hakuwa na degree mlidanganywa...


Huku safi watu hawanaga stress na wapo peace ,hakuna vibaka ,walevi wala matapeli .
Jaribu Ku tafiti kabla hujaongea,Mangi mareale alisoma Cambridge Hadi Masters,wakati huo kule kwa wahaya kwa kina instanbul kina omukama walikuwa Bize kuvuta kokoro[emoji44][emoji44][emoji44] ,pichani ni miaka ya 1950's Mangi akiwa ikulu ya Moshi akipokea ugeni kutoka UK
FB_IMG_16367842291359083.jpg
 
Jaribu Ku tafiti kabla hujaongea,Mangi mareale alisoma Cambridge Hadi Masters,wakati huo kule kwa wahaya kwa kina instanbul kina omukama walikuwa Bize kuvuta kokoro[emoji44][emoji44][emoji44] ,pichani ni miaka ya 1950's Mangi akiwa ikulu ya Moshi akipokea ugeni kutoka UK View attachment 2591146
sio kweli😂😂😂Eti mpaka masters achana na uongo.
 
Tajiri yupi ?[emoji23][emoji23]mbona ndugu zako wanakosa pesa za matababu mpaka wanakufa ,mbona ninao hapa wananikopa pesa .!
Hâta marekan Kuna wanaolala Hadi mtaroni haiwezi kuondoa sifa ya kuwa marekan ni nchi tajiri,Hao wasio Nacho ni Wachache kuliko wenye nacho
 
sio kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Eti mpaka masters achana na uongo.
Huwez kuamn kwakuwa unaona ni ajabu,umesahau hâta kina Dr nsilo swai,dr Wilbert kleruu ,prof Gabriel mmari,prof Isaria Kimamb walisoma nje ya nchi Huko kabla hâta ya uhuru? Napokwambia mchaga kaishika Elimu ujue Nina data
 
Nkuchukie wewe wakati ndugu zako nawaonea huruma wanakosa pesa ya matibabu mpaka wanakufa wengine wanachoma nyuma kwa vibatali.
Ila hâta wakiwa maskini vipi hawalali nyumba ya nyasi kama kwenu,hakuna mchaga yoyote anaelala nyumba ya nyasi, appreciate hiyo
 
Huwez kuamn kwakuwa unaona ni ajabu,umesahau hâta kina Dr nsilo swai,dr Wilbert kleruu ,prof Gabriel mmari,prof Isaria Kimamb walisoma nje ya nchi Huko kabla hâta ya uhuru? Napokwambia mchaga kaishika Elimu ujue Nina data
Screenshot_20230417-184316.png


soma hapo shaban robert unamjua sio masters za mchongo😂😂😂
 
Ila hâta wakiwa maskini vipi hawalali nyumba ya nyasi kama kwenu,hakuna mchaga yoyote anaelala nyumba ya nyasi, appreciate hiyo
kachoma nyumba ya nyasi na kufa kwa njaa.

Maajabu ya kwetu hata ukute maskini anakula biryan ,anavaa vizuri sip manguo ya mtumba machafu na pombe za kupima kweny vikombe kama kwenu ...Mnavaa manguo maachafu tena mitumba kama walevi wote.
 
Umekariri wahaya kwakuwa Wana sifa kitu kidogo Wana ki overate Lkn uhalisia mhaya hamfikii mchaga kwa Elimu
Imagine Hadi Mangi mareale mwaka 1942 alikuwa na masters degree kutoka Cambridge
Hadi Sasa hivi sekta nyeti Wachaga ndio wame base uhandisi, bank, biashara,kilimo na mifugo,afya,
Kwa mujibu wa bodi ya wahandisi, Makampuni mengi ya uhandisi yanamilikiwa na watu WA Kilimanjaro je ushawahi sikia wakitamba? Maprofesa kibao Lkn Wala hatutambi ukienda ardhi,sua,udsm ifm,mzumbe,kcmc,udom utadhibitisha nayosema
Kuna kozi ngumu ya afya ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina watu 9 tu kati yao 4 ni Wachaga tena wanawake(Dr happiness rabiel,Dr Aingaya kaale,Dr costansia Bureta) je ushasikia tukitamba? Mhaya yéyé amekalia kusoma kiswahili na English (hkl) ataweza Hizo nondo?
Sekta ya uhasibu tumeikamata vilivyo ndio maana nchi nzima wachumi,maafisa mpango na ma treasurers wengi ni WA kwetu haijaja bahati mbaya
Alafu Wachaga ngazi zote za Elimu wapo sio tu Elimu ya juu Bali hâta Elimu ya kati
Mhaya hamfikii mchaga kielimu
Unaongelea 1942?....kwenye elimu hapo utachekwa Tanzania nzima
Wahaya wamekuwa na wasomi ukitrace back 1917...hata mapadre wa kwanza wazalendo walikuwa wahaya...

Kuna shule kama Rubya Seminary zimekuweko toka 1903...
 
Jaribu Ku tafiti kabla hujaongea,Mangi mareale alisoma Cambridge Hadi Masters,wakati huo kule kwa wahaya kwa kina instanbul kina omukama walikuwa Bize kuvuta kokoro[emoji44][emoji44][emoji44] ,pichani ni miaka ya 1950's Mangi akiwa ikulu ya Moshi akipokea ugeni kutoka UK View attachment 2591146
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]
Yupo kuwasema wahaya mkuu...wahaya wamekuwa civilized toka wakiwa bunyoro kingdom...eti unasema miaka ya 1940 sijui 1950...
Wahaya washakuwa na wasomi toka miaka ya 1900 huko...
Kwanza ni moja ya jamii za kwanza kuwa technology ya kufua vyuma zaidi ya miaka 2000 iliyopita..



Nyinyi mlikuwa hiv[emoji23][emoji23]...
JamiiForums309589418.jpg
 
Back
Top Bottom