Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Na old Moshi ...Hao ni kawaida sana kuwafanya watoto wao machizi wanafanana na wahindi kabisa.


kuna ticha wetu alikuwa anaitwa pallangyo ana mtoto wa kwanza kama chizi ila bado analisomesha shule za gharama...Kuna mwingine anaitwa kikore mwanae wa kwamba chizi nae hivyo hivyo ..

Deliberately wanwafanya watoto wao machzi kisa mali jamaa yao alishawahi niambia huko kwao Machame hawatakiwi kurudi mikono mitupu kwa hali yeyote bora waibe , wadhulum hata uchawi ili wapeleke hela na jamaa yupo Town hataki kurudi pesa hana.
Unayosema ni kweli...ndo maana WACHAGGA WENGI HAWANA ILE FURAHA HALISI...Ndo maana hujefeel inferior kwa kujitutumua kwa makabila yenye mafanikio halisi kama Wahaya...

WANA MAMBO MACHAFU MENGI WANAFANYA HUKO VIJIJINI KWAO

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Bado una akili za memkwa
Umaskini Kilimanjaro ni 10% tu kwahyo Hao unaosema ni maskini rombo ndio Hao 10% na tunataka by 2027 kuuondoa kabisa, hakuna ubishi
Sasa mkoa wetu kuwa mdgo ni Hoja? MBna ni mkoa mdogo lkn unaongzoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Tangia kitambo watu waliwekeza kwwnye Elimu,mlo WA mchana kwa wanafunzi primary na sekondar Kilimanjaro ni tangia miaka ya 90 mm mwenyewe nimepata mlo shuleni sera HII serikali ndio inahamasisha mikoa yenu ya Huko porini sasahv maana hamjui umuhimu [emoji2][emoji2]
Kilimanjaro hakuna Shida ya huduma za kijamii kama hko porini kwenu, ushawah sikia ukosefu WA zahanati,kituo chá afya Au hâta hospital Kilimanjaro?
Kilimanjaro karibu Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja huoni hiyo?
Wewe najua ni mtumishi hapo rombo DC,vpi unaonaje mijumba ya kisasa iliyojaa karibu kila Kaya?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina maji Safi ya bomba wakati kule kwenu ilolanguru mna share maji na mifugo aisée you suppose tu acknowledge hâta ki shingo upande,umewahi sikia watoto wanakalia mawe darasani kama kula kwenu?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina umeme
Kilimanjaro karibu Kaya zote zina angalau watu wawili wenye élimu kuanzia cheti,diploma au degree,masters very interesting
Mwanamke WA kwanza rubani Tanzania anatoka Kilimanjaro pia
Hebu Tazama hiki kijiji huko Bukoba....


Takwimu za kweli zinasema wilaya ya Bukoba ndo inayoongoza nchini kwa watu wengi kuwa na kipato....

Na proofs ni kama hiz
Screenshot_20230414-204150.jpg
Screenshot_20230414-204143.jpg
Screenshot_20230414-204140.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unayosema ni kweli...ndo maana WACHAGGA WENGI HAWANA ILE FURAHA HALISI...Ndo maana hujefeel inferior kwa kujitutumua kwa makabila yenye mafanikio halisi kama Wahaya...

WANA MAMBO MACHAFU MENGI WANAFANYA HUKO VIJIJINI KWAO

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
watakuambia wanajitegemea ila ukweli barabara na umeme ni Bazil Mramba ndo kawapelekea na hazina maajabu yaani lami za kawaida vinjia vidogo ndo wanapiga kelele ...Hao maji kama yangekuwa masafi mbona meno ynaharabika watu wanakosa tabasamu kabisa ....Ukija hapa hospital za Meno wameandika kabisa wanasafisha Meno ya kichaga na wengi wanapigwa pesa wanasafisha hawajikubali.


Kamkoa kadogo bado machzi ya kufanywa kafara ni mengi utu uko wapi?
 
Salaam kabla ya habari.

Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.

Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.

Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.

Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Watu hua mnashau kabisa kua hili ni bara masikini na nchi masikini ambayo

1. Mafanikio ya mtu mmoja ni lazima yachangiwe na nguvu zake mwenyewe

2. Watu wanaamini kufanikiwa kupitia elimu iliyo jaa misingi ya kigeni ambayo haimsaidii mtu mweusi, yaani mtu anakomaa miaka na miaka kwenda shule na kunyooshwa lugha ya kingereza isiyo yake akidhani atafanikiwa nayo, na kupoteza muda mwingi wa nguvu kazi ktk maisha yake , na ndiyo maana utaona wenye afadhari ya maisha ni wale ambao hawakwenda shule

3. Wa-Tanzania wengi kazi ni kulaumu Serikali, hakuna Serikali itawapa watu maisha isipokua ni mtu husika atawapa watoto wake maisha, kazi ya Serikali ni kuleta barabara, maji, huduma za Afya na mengineyo kwa ujumla wa utoaji huduma Kwa wote

4. Hakuna kitu kibaya kama muAfrika kujifananisha na China, America na kwingineko kwenye mafanikio, na kukaa kulaumu Serikali na kutukuza kila Cha nje kupitia utandawazi, wanaacha kujikita ktk maswala ya kwetu na tubuni cha kwetu ambacho kitaleta mapinduzi ya kiuchumi, elimu ya darasani na kuongea kingereza hakuleti mafanikio ya kiuchumi kwa waafrika.

NB: Ardhi inaweza kua chanzo kikuu Cha kiuchumi kwa hapa Afrika

Over
 
Kuna mikoa bado wazazi wakiambiwa hili wanalalama
Bado una akili za memkwa
Umaskini Kilimanjaro ni 10% tu kwahyo Hao unaosema ni maskini rombo ndio Hao 10% na tunataka by 2027 kuuondoa kabisa, hakuna ubishi
Sasa mkoa wetu kuwa mdgo ni Hoja? MBna ni mkoa mdogo lkn unaongzoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Tangia kitambo watu waliwekeza kwwnye Elimu,mlo WA mchana kwa wanafunzi primary na sekondar Kilimanjaro ni tangia miaka ya 90 mm mwenyewe nimepata mlo shuleni sera HII serikali ndio inahamasisha mikoa yenu ya Huko porini sasahv maana hamjui umuhimu [emoji2][emoji2]
Kilimanjaro hakuna Shida ya huduma za kijamii kama hko porini kwenu, ushawah sikia ukosefu WA zahanati,kituo chá afya Au hâta hospital Kilimanjaro?
Kilimanjaro karibu Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja huoni hiyo?
Wewe najua ni mtumishi hapo rombo DC,vpi unaonaje mijumba ya kisasa iliyojaa karibu kila Kaya?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina maji Safi ya bomba wakati kule kwenu ilolanguru mna share maji na mifugo aisée you suppose tu acknowledge hâta ki shingo upande,umewahi sikia watoto wanakalia mawe darasani kama kula kwenu?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina umeme
Kilimanjaro karibu Kaya zote zina angalau watu wawili wenye élimu kuanzia cheti,diploma au degree,masters very interesting
Mwanamke WA kwanza rubani Tanzania anatoka Kilimanjaro pia
 
Nishakwambia acha maneno mengi...leta takwimu zinazosema umaskini Rombo ni asilimia 10 tu....takwimu hizo ziko wap?

Mimi nimeleta takwimu zinazosema wilaya ya Bukoba kuongoza kwa asilimia ndogo za umaskini nchini na hio ilikuwa 2005...tena sasa utakuwà ni 5% tu...


Leta ushahidi wa Rombo?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
1:NBS zinasema umaskini mkoa mzima WA Kilimanjaro ni 10% tu it means wilaya za mkoa huo hakuna umaskini uliovuka 10% kwakuwa mkoa huundwa na wilaya,na takwimu za mkoa hutokana na takwimu za kiwilaya ,HIVI ulikimbia somo la hesabu?
2: Hizo takwimu zako za 2005 hazina uhalisia kwa Sasa niletee ripoti latest kama Hiyo kutoka NBS,utakuwa kituko kutumia takwimu za 2005 Ku argue Hoja za 2023
 
Nishakwambia acha maneno mengi...leta takwimu zinazosema umaskini Rombo ni asilimia 10 tu....takwimu hizo ziko wap?

Mimi nimeleta takwimu zinazosema wilaya ya Bukoba kuongoza kwa asilimia ndogo za umaskini nchini na hio ilikuwa 2005...tena sasa utakuwà ni 5% tu...


Leta ushahidi wa Rombo?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
1: Takwimu latest za NBS zinasema umaskini mkoa mzima WA Kilimanjaro ni 10% tu it means wilaya za mkoa huo hakuna umaskini uliovuka 10% kwakuwa mkoa huundwa na wilaya,na takwimu za mkoa hutokana na takwimu za kiwilaya ,HIVI ulikimbia somo la hesabu?
2: Hizo takwimu zako za 2005 hazina uhalisia kwa Sasa niletee ripoti latest kama Hiyo kutoka NBS,utakuwa kituko kutumia takwimu za 2005 Ku argue Hoja za 2023
 
Eti zinasound?
Hiv takwimu zikitaja Africa ndo bara maskini zaidi duniani na zile zinazotaja specific nchi kuwa maskini zaidi zip zinasound fresh[emoji23][emoji23][emoji23]

Tena za wilaya ndo zimasound fresh kwa sababu at least zinacapture watu wanaofanana na kwa uhalisia zaidi...

Wew kwa akili yako unaona mwanga, same na siha kuna maendeleo gan kule?
Lakin wakiclassify kiwilaya ndo utaona uhalisia zaidi....

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unawaza kidogo mno hujui takwimu za mkoa zinatokana n'a wilaya? Kama wilaya ni maskin automatique na mkoa utakuwa maskini jaribu kuwaza kwa upana,Kwann unangangania takwimu za 2001? HII ni 2023 [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Exposure gan na elimu gan?
Kimsingi hakuna kabila lenye diaspora wengi kama wahaya....

Na hakuna kabila lenye wasomi wengi kama wahaya..


Wachaga wanawazidi wahaya kwenye biashara ambazo nazo ukichunguza vzr kuna ushirikina mkubwa sana humo..


Kuna takwimu zinataja tarafa ys uru inaongoza kwa vichaa na mazezeta...ushirikina tu..View attachment 2589431

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2] mchaga amekamata Elimu Ktk Sekta nyeti nyeti i.e uhandisi, banking,business,u dokta NK
Huko nje Wachaga wengi ni diaspora kule usa ni kama Moshi wapo wengi wanafundsha vyuo kadhaa kama vyuo vya Weil Cornell,Arizona etc
Ukienda pale ifm majority ni kina nan? Can you imagine karibu 40% ya kampuni za uhandisi zinamikikiwa na Wachaga? Ingia katika tovuti ya bodi ya uhandisi uangalie orodha ya Makampuni yote ya uhandisi na wamiliki wake alafu urudi hapa,kwa kukusaidia bodi ya wahandisi inaitwa crb,mwenyekiti wake anaitwa prof eng Ninatubu Lema
3:kozi muhimu kama za ardhi,ukadiriaji majengo Wachaga wengi mno
4:vyuo vingi Wachaga hufundisha au kusoma kozi za uchumi, biashara, uhandisi,uhasibu kozi za literature tumewaachia wahaya[emoji2][emoji2][emoji2]
5 alafu Wachaga sio tu Elimu za juu Bali Elimu za kati pia ni wengi, yaani degree na diploma Tafsir nzuri ya Elimu Kila nyanja uwemo ,ndio maana ni Nadra sana kukuta hakuna mchaga Ktk wastani WA maeneo yote Tanzania Ila ni virse versa kwa wahaya
6 kozi za kilimo na mifugo pia Wachaga wengi wanazikamata nenda sua Angalia staffs
7: sekta nyeti ya ualimu ndio haswaaa wizarani na taasisi zake ni watu WA kitambo
8:ukitaka kujua mchaga ana Elimu,hâta watawala WA jadi uchagan walikuwa na Elimu kubwa imagine Mangi mareale by 1942 alikuwa na masters degree kutoka Cambridge,kina Mangi Abdiel shanghali não walkuwa wasomi.
9: kibiashara ndo kabisaaa Wala sisemi hâta mtot mdogo anamjua MANGI
10: Fani ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina watu 9 tu wanne kati yao ni Wachaga tena wanawake (Dr Aingaya kaale, Dr costansia Bureta, Dr happiness rabiel) nyie mna Elimu gani Sasa ya kuongea kizungu?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nitajie kozi nyeti ambazo mmezikamata
Ukienda udsm pale coet karibu 90% ni mangis,Nitajie nyie mliyo dominate
 
Na old Moshi ...Hao ni kawaida sana kuwafanya watoto wao machizi wanafanana na wahindi kabisa.


kuna ticha wetu alikuwa anaitwa pallangyo ana mtoto wa kwanza kama chizi ila bado analisomesha shule za gharama...Kuna mwingine anaitwa kikore mwanae wa kwamba chizi nae hivyo hivyo ..

Deliberately wanwafanya watoto wao machzi kisa mali jamaa yao alishawahi niambia huko kwao Machame hawatakiwi kurudi mikono mitupu kwa hali yeyote bora waibe , wadhulum hata uchawi ili wapeleke hela na jamaa yupo Town hataki kurudi pesa hana.
Ujue ulivyo chizi,palangyo ni Wachaga? Palangyo ni wameru ondoa akili mfu hapa
 
Na old Moshi ...Hao ni kawaida sana kuwafanya watoto wao machizi wanafanana na wahindi kabisa.


kuna ticha wetu alikuwa anaitwa pallangyo ana mtoto wa kwanza kama chizi ila bado analisomesha shule za gharama...Kuna mwingine anaitwa kikore mwanae wa kwamba chizi nae hivyo hivyo ..

Deliberately wanwafanya watoto wao machzi kisa mali jamaa yao alishawahi niambia huko kwao Machame hawatakiwi kurudi mikono mitupu kwa hali yeyote bora waibe , wadhulum hata uchawi ili wapeleke hela na jamaa yupo Town hataki kurudi pesa hana.
Nyie Huko kwenu umaskini ni sifa ? Sisi kwetu Kilimanjaro umaskini ni laana,ndio maana kitakwimu tutazidi kuwaongoza kwa maisha bora tu,weww endelea kucheza bao usiwaze mbele[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nyie Huko kwenu umaskini ni sifa ? Sisi kwetu Kilimanjaro umaskini ni laana,ndio maana kitakwimu tutazidi kuwaongoza kwa maisha bora tu,weww endelea kucheza bao usiwaze mbele[emoji2][emoji2][emoji2]
Mi sio maskini sasa nyie machizi wengi ni sifa ...Maana wengi ni mwezi mchanga😂😂
 
Salaam kabla ya habari.

Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.

Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.

Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.

Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Utajiri unaendana na maghorofa? Una akili kweli wewe. Arusha kuna nini? Wale wazungu wanaotalii? Kipato cha wastani cha mtu wa Arusha ni kiasi gani? Umeenda Njombe?
 
Nilifikiri nazungumza na mtu meenye akili timamu, kumbe napoteza muda tu na jitu levi.
Wewe ndio jitu hivyo lililojaa chuki kali ambalo kinabishana na takwimu na uhalisia,kitu kipo wazi Bado unabisha?Wewe hapo rombo umewahi ona MTU analala nyumba ya nyasi hâta mmoja kama kule kwenu? Huwezi hâta Ku appreciate kitu kilicho wazi? Peleka Elimu Yako ya memkwa huko
 
Maji safi hamna msingekuwa na meno yenye kutu ndo maji safi au kutojielewa...Nimekunywa maji yenu huko kama yana magadi machachu.!

Mbona umebase kweny rubani katika elimu hakuna ubishi wahaya ni undisputed hata usemeje wa kwanza kusoma nje ni justian Rweyamuma na hata kiakili hao jamaa ni asili yao wanajua sana...


vyakula vyenu vingi ni hovyo bora mule ila sio kujisifia pia shukuruni wale jamaa wakina Mramba ,Mtei kwa ubinafsi wao ndo walijenga hizo barabara ila hamna zile barabara labda za kiwango cha mtu kustaajabu njingi ni model za vijijini hazina maajabu.
Umekariri wahaya kwakuwa Wana sifa kitu kidogo Wana ki overate Lkn uhalisia mhaya hamfikii mchaga kwa Elimu
Imagine Hadi Mangi mareale mwaka 1942 alikuwa na masters degree kutoka Cambridge
Hadi Sasa hivi sekta nyeti Wachaga ndio wame base uhandisi, bank, biashara,kilimo na mifugo,afya,
Kwa mujibu wa bodi ya wahandisi, Makampuni mengi ya uhandisi yanamilikiwa na watu WA Kilimanjaro je ushawahi sikia wakitamba? Maprofesa kibao Lkn Wala hatutambi ukienda ardhi,sua,udsm ifm,mzumbe,kcmc,udom utadhibitisha nayosema
Kuna kozi ngumu ya afya ya upasuaji ubongo na Neva za fahamu inaitwa neurosurgery nchi nzima ina watu 9 tu kati yao 4 ni Wachaga tena wanawake(Dr happiness rabiel,Dr Aingaya kaale,Dr costansia Bureta) je ushasikia tukitamba? Mhaya yéyé amekalia kusoma kiswahili na English (hkl) ataweza Hizo nondo?
Sekta ya uhasibu tumeikamata vilivyo ndio maana nchi nzima wachumi,maafisa mpango na ma treasurers wengi ni WA kwetu haijaja bahati mbaya
Alafu Wachaga ngazi zote za Elimu wapo sio tu Elimu ya juu Bali hâta Elimu ya kati
Mhaya hamfikii mchaga kielimu
 
Unayosema ni kweli...ndo maana WACHAGGA WENGI HAWANA ILE FURAHA HALISI...Ndo maana hujefeel inferior kwa kujitutumua kwa makabila yenye mafanikio halisi kama Wahaya...

WANA MAMBO MACHAFU MENGI WANAFANYA HUKO VIJIJINI KWAO

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mambo machafu yanafanyika kwenu uhayani bahati nzuri nawajua in and out
Mhaya anaamini mno ushirikina just imagine hâta mechi za vijijini za kawaida eti lazma wakodi MGANGA,tulipokuwa sekondari mwalimu wetu alituambia takribani Kila mhaya Ana MGANGA wake ushirikina tupu ,mlikuwa mnakatana makoromeo kwa ushirikina umesahau? Vipi ile hadithi ya padri WA kizungu kuliwa nyama miaka hyo ya zamani?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Aisee kwa ushirikina Wala usiongee kitu nitakuaibisha
 
watakuambia wanajitegemea ila ukweli barabara na umeme ni Bazil Mramba ndo kawapelekea na hazina maajabu yaani lami za kawaida vinjia vidogo ndo wanapiga kelele ...Hao maji kama yangekuwa masafi mbona meno ynaharabika watu wanakosa tabasamu kabisa ....Ukija hapa hospital za Meno wameandika kabisa wanasafisha Meno ya kichaga na wengi wanapigwa pesa wanasafisha hawajikubali.


Kamkoa kadogo bado machzi ya kufanywa kafara ni mengi utu uko wapi?
Sisi l'ami Hadi vijijini sio barabara kuu tu kama nyie
Mwaka juzi vunjo walichanga zaidi ya bilion 7 kukárabati barabara zote za jimbo je napo ni mramba? Nyie Huko kwenu mna huo ubavu?
 
Back
Top Bottom