Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Hebu acha maneno mengi....hiv kuna uwekezaji gan wa maana wilayani Rombo? Hebu utaje hapa...

Huoni takwimu za NBS zinasema watu wanapungua Kilimanjaro? Huoni kuwa ni tatizo...
Vip kuhusu ulevi wa kupindukia huko Kilimanjaro vijana miaka 20 kama miaka 50...
Vip kuhusu nyumba kibao za mabanzi zilizojaa humo moshi vijijini?
Vip barabara mbovu mbovu za vijiji zilizojaa huko milimani?

Huko Rombo hakuna viwanda, hakuna hata large scale farming, hakuna hata vitalu vya vijana kufanya kilimo, hakuna hata soko la wakulima kuuza mazao yao...

Uko unajisifia hapa mmeendelea...mmendelea nyinyi nyie? Unajua kuendelea?
Kumbe hujui rombo
Kiwanda chá maji SEQUA kipo wilaya gani?
Border za holili na tarakea zipo wilaya gan?
Vijana kunywa pombe mbona husemi kwenu Huko misenyi/ vijana weusi tii wamechakaa kwa kunywa gongo inayoitwa kalinya? Hao wamezeeka haswaaa
Nyumba Kilimanjaro NBS inasema 90% ni za kisasa
Ni afadhali nyumba ya mbao yenye bati kuliko zile zenu za nyasi kule Muleba
Uchagan hatujui mashine za dizel wakati kule kwenu uhayan Hadi MDA huu mnakula ugali unaonuka dizel
 
Hebu acha maneno mengi....hiv kuna uwekezaji gan wa maana wilayani Rombo? Hebu utaje hapa...

Huoni takwimu za NBS zinasema watu wanapungua Kilimanjaro? Huoni kuwa ni tatizo...
Vip kuhusu ulevi wa kupindukia huko Kilimanjaro vijana miaka 20 kama miaka 50...
Vip kuhusu nyumba kibao za mabanzi zilizojaa humo moshi vijijini?
Vip barabara mbovu mbovu za vijiji zilizojaa huko milimani?

Huko Rombo hakuna viwanda, hakuna hata large scale farming, hakuna hata vitalu vya vijana kufanya kilimo, hakuna hata soko la wakulima kuuza mazao yao...

Uko unajisifia hapa mmeendelea...mmendelea nyinyi nyie? Unajua kuendelea?
Kumbe hujui Rombo
Kiwanda chá maji SEQUA kipo wilaya gani?
Border za holili na tarakea zipo wilaya gan?
Vijana kunywa pombe ni tabia ya MTu
mbona husemi kwenu Huko misenyi/ vijana weusi tii wamechakaa kwa kunywa gongo inayoitwa kalinya? Hao wamezeeka haswaaa
Nyumba Kilimanjaro NBS inasema 90% ni za kisasa kabisa,kule kwetu uchagan ukijengea bâti jeupe unachekwa
Ni afadhali nyumba ya mbao yenye bati kuliko zile zenu za nyasi kule Muleba
Uchagan hatujui mashine za dizel wakati kule kwenu uhayan Hadi MDA huu mnakula ugali unaonuka dizel

Nb
Mmiliki WA précision air bwana ngaleku shirima anatokea ROMBO
 
Bukoba mjini ndo wilaya inayoongoza kwa kuwa na watu wachache wenye umaskini wa kipato...inazidi wilaya zote hata zile zilizo ndani ya majiji...

Appreciate that...na hao NBS wakifanya utafiti vzr zile wilaya za wahaya kama Bukoba, Misenyi na muleba zitafanya tu vzr kwa maendeleo binafsi.....
Maana wazee wengi wa kihaya wakistaafu wanarudi Bukoba huko..kufuga ng'ombe wa maziwa nk...

Kagera inaangushwa na umaskini uliokithiri huko Biharamulo na ngara lakin pia population yake ni kubwa kuliko pato la mkoa...
Hiyo reference uliyoweka hapo ni ya mwaka 2001 [emoji2][emoji2][emoji2] tupe latest
Kumbe Sisi mkoa WA Kilimanjaro kuwa WA pili kwa kiwango kidogo chá umaskini WA kipato inawauma wengi
 
Kwa hiyo ndio utajiri wa Kilimanjaro?
Huo sio utajiri Wala umaskini
Ni maisha ya kati, Ktk jamii lazma kuwe n'a tabaka za aina hyo sio ukute kwemye jamii Kuna tajiri alafu Kuna watu wasio na hata uwezo WA kuingiza 10000 kwa Siku
MTU WA aina hyo ni MTU WA middle
Kasome kanuni za uchumi
 
Ni nani bora, sie tunaekwenda kwetu Disemba tu au nyie msiejua hata kutafuta kwenu ni wapi!
Miezi 12 ndo muende mwezi mmoja mbona sisi hata mara 4 kwa mwaka...Nyie vurugu na kik nyingi mnataka kila mtu ajue kama sio mtambiko n nn?
 
Hivi kweli unafikria kuna mtanzania anataka kuishi huko kweli? Miaka nenda idadi ya watu ni wachache kamkoa kadogo bado kuja vichaka ..Mnaishi wapi kwani?😂😂😂
Na Bado mtateseka sana Kilimanjaro juu Juu juu zaidi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hizo ni stori za abunuasi kuwa ukienda nyumba unakuta wamama,kwamba wababa walishafariki
Ni stori za vijiweni
Watu wanakula mno nyama mkuu
Nyama kwani nyie kujua kupika haswa wanawake walianza lin? Nyie mnachoma tu kama watu wa porini wanaoenda kuwinda😂😂😂
 
Salaam kabla ya habari.

Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.

Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.

Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.

Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Nchi nzima ni kijiji tu.
 
Kumuhamisha Mzaramo mjini kwenye kiwanja Cha 20x20 na nyumba ya mgongo wa tembo ya miaka 1980 unaohitaji si chini ya mil 100. Waliweza wakuja wachache kipindi kile cha miaka ya nyumba waliuziwa bei chee bado baadhi yao waliokuwa hawajaelemika. Sasa hivi Kwa hawa wakina mangi vilevi vinazurula mjini wanaokuja mjini tayari mbege ishawapiga hadi wake zao wanakimbilia Kenya kuugawa papuchi hawana ubavu wa kumtoa Mzaramo bro!

Na hao wakuja ndio wanaongeza rate ya maskini hapa mjini.
Mzee baba jambo usilolijua ni usiku wa giza. Kaa ukiamini hivyo hivyo. Wakati wenzio kila cku wananunua nyumba.
 
Hiyo reference uliyoweka hapo ni ya mwaka 2001 [emoji2][emoji2][emoji2] tupe latest
Kumbe Sisi mkoa WA Kilimanjaro kuwa WA pili kwa kiwango kidogo chá umaskini WA kipato inawauma wengi
Leta latest zinazoclassify wilaya katik level za umaskini na utajiri..


Mimi nimeleta evidence yangu ambayo inahitaja Bukoba mjini kama wilaya yenye umaskini kidogo kuliko wilaya zote...na ndo inaongoza Tanzania..
Takwimu zangu za 2005 wew leta zako sasa...
Maana una porojo nyingi
 
Hiyo reference uliyoweka hapo ni ya mwaka 2001 [emoji2][emoji2][emoji2] tupe latest
Kumbe Sisi mkoa WA Kilimanjaro kuwa WA pili kwa kiwango kidogo chá umaskini WA kipato inawauma wengi
Nakwambia hio ni population tu ya mkoa kuwa ndogo...but nothing special kwa Kilimanjaro kuliko mikoa mingine.

Mbona wew hutaki kukubali kuwa Bukoba ndo wilaya inayoongoza Tanzania kwa kiwango kidogo cha umaskini...

Na evidence hii hapa...leta ya kwako pingamizi inayoclassify wilaya hiv
Screenshot_20230410-160753.jpg
 
Kumbe hujui Rombo
Kiwanda chá maji SEQUA kipo wilaya gani?
Border za holili na tarakea zipo wilaya gan?
Vijana kunywa pombe ni tabia ya MTu
mbona husemi kwenu Huko misenyi/ vijana weusi tii wamechakaa kwa kunywa gongo inayoitwa kalinya? Hao wamezeeka haswaaa
Nyumba Kilimanjaro NBS inasema 90% ni za kisasa kabisa,kule kwetu uchagan ukijengea bâti jeupe unachekwa
Ni afadhali nyumba ya mbao yenye bati kuliko zile zenu za nyasi kule Muleba
Uchagan hatujui mashine za dizel wakati kule kwenu uhayan Hadi MDA huu mnakula ugali unaonuka dizel

Nb
Mmiliki WA précision air bwana ngaleku shirima anatokea ROMBO
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hivyo viwanda ndo maendeleo unayojinadi nayo hapa?

Eti border? Hiv unajua mkoa kama kagera una borders ngap? Kuwa na border sio kesi sana...ishu ni uwekezaji katika hio border....border kama haina masoko ya pamoja, haina hotels na motels za kutosha, haina forodha, haina uchangamfu wa kibiashara ni uchochoro tu....

Eti kiwanda cha maji? Hivyo ni vitu vya kujisifia hapa? Wilaya kama Bukoba ina viwanda vitano vya maji kuanzia Bunena water, Asilia water, Tanica water, Zahra water na Mayawa water.....
Wilaya kama muleba ina viwanda vya maji kama kabanga water na Mali water...


Eti unasifia Rombo kwa kuwa mtu mwenye hisa nyingi Precision anatokea Rombo!!! Ndege ambayo karibu nusu ya umiliki ni kenya Airways...
Mti huyo hata hakai Rombo amepakimbia tu...kule kumebaki maskini kibao wanaolewa mpaka wanajisahau....


NARUDIA TENA bado kuna kazi kubwa ya kufanya huko Kilimanjaro
 
We kweli una funza kichwani. Bora ungetaja Tanga. Kilimanjaro ambayo miji imedoda hakuna hata makao makuu ya wilaya yana hadhi ya town council? Hivi umaskini wote ule ulioko upareni mtu huoni hata aibu kuongea huo utumbo? Mkoa wa Kilimanjaro mi ndio ningesema ni maskini kuliko mkoa wowote nchi hii
Mbona Nyerere na Magufuli wanasema watu wa Kilimanjaro wasubiri kwanza wengine nao wapate maendeleo tangu miaka ya sitini watu wa Kilimanjaro wanasubiri tu hamfiki?
 
Labda kudumisha Mila zao na kutumikia miungu Yao huenda kumewapaisha Hawa jamaa,tuachane na miungu ya kigeni tuabudu miungu ya Hawa jamaa
 
Akili za memkwa hizi, umesahau kuwa Kilimanjaro ni mkoa WA 4 kuchangia GDP? Kungekuwa hakuna watu hyo GDP ingetoka wapi?
2:vigezo vya umaskini ni makazi , miundombinu, huduma za jamii NK
Je Kilimanjaro Kuna Kijiji Chochote kimakosa hizi huduma? Kilimanjaro vijijini Kuna Hadi zahanati za private achilia mbali lami
Kwahyo hakuna namna yoyote Kilimanjaro itaacha kuwa juu
Kinachokufanya useme hivyo ni kuona Wana Kilimanjaro nchi nzima,hujui wachaga wamesambaa kwasababu ya exposure na Elimu? Miaka ya 40's wachaga walikuw washapanda ndege Hadi un Huko sembuse kusambaa TZ nzima? Nyie mlikuwa kucheza baikoko Huko mkuranga mkaacha kusoma exposure mngeipatia wapi? Shika Elimu
Wewe jamaa ni mbweha.

Wachagga wanakimbia Kilimanjaro Kwasababu hakuna kitu.

Suala la Kilimanjaro kuchangia GDP labda Mlima tu.

Hakuna kingine.


Kilimanjaro yote isipokuwa Moshi ni VIJIJINI.


Na Kilimanjaro ilivyo ni Kimkoa kidogo sana kilichojaa Mabonde, misitu na mawe.

Sasa Wilaya Ina ukubwa sawana Tarafa na kila mwaka inapewa budget na serikali itashindwa Nini kujenga lami na Zahanati?
 
Kumbe hujui rombo

Inaonesha hata wewe hunafika, zaidi ya kugoogle tu na Kubweka bweka mitandaoni.
Kiwanda chá maji SEQUA kipo wilaya gani?
Kuwa na hicho kiwanda kidogo Cha Sequa huko porini ndio unaona uwekezaji wa maana sana.
Border za holili na tarakea zipo wilaya gan?
Tarakea n Holili zote ni border Takataka zilizopo vijijini na hazina maajabu yoyote.

Ndio maana hata Rombo Halmashauri haina chochote inaishi kwa RUZUKU tu kutoka serikalini,ambayo ni mapato kutoka sehemu nyingine.
Nyumba Kilimanjaro NBS inasema 90% ni za kisasa
Ni afadhali nyumba ya mbao yenye bati kuliko zile zenu za nyasi kule Muleba
Uchagan hatujui mashine za dizel wakati kule kwenu uhayan Hadi MDA huu mnakula ugali unaonuka dizel
Kilimanjaro ni ndogo Kama kitarafa tu. Watu 10 wakijenga nyumba zao haina maana ni deal sana

Bado Kuna lundo la Nyumba za tope zilizochanganyika na nyasi pamoja na mabanzi.

Mkianza kupost, postini na Hawa wazee wenu mlio watelekeza mmekimbilia mjini, wakifa huku wanazikwa Kama mizoga.
 

Attachments

  • IMG_20230401_085436_9.jpg
    IMG_20230401_085436_9.jpg
    336.5 KB · Views: 6
  • IMG_20230401_085537_5.jpg
    IMG_20230401_085537_5.jpg
    425.9 KB · Views: 5
  • IMG_20230401_085516_0.jpg
    IMG_20230401_085516_0.jpg
    686.8 KB · Views: 7
Nakwambia hio ni population tu ya mkoa kuwa ndogo...but nothing special kwa Kilimanjaro kuliko mikoa mingine.

Mbona wew hutaki kukubali kuwa Bukoba ndo wilaya inayoongoza Tanzania kwa kiwango kidogo cha umaskini...

Na evidence hii hapa...leta ya kwako pingamizi inayoclassify wilaya hivView attachment 2588184
Mimi Nina ya kimikoa
Sasa kati ya kimikoa na kiwilaya IPI inayo sound? Alafu eneo lenyewe ni mjini
Kimantiki maeneo yote ya mjini Hali ya maisha ni tofauti na vijijini
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hivyo viwanda ndo maendeleo unayojinadi nayo hapa?

Eti border? Hiv unajua mkoa kama kagera una borders ngap? Kuwa na border sio kesi sana...ishu ni uwekezaji katika hio border....border kama haina masoko ya pamoja, haina hotels na motels za kutosha, haina forodha, haina uchangamfu wa kibiashara ni uchochoro tu....

Eti kiwanda cha maji? Hivyo ni vitu vya kujisifia hapa? Wilaya kama Bukoba ina viwanda vitano vya maji kuanzia Bunena water, Asilia water, Tanica water, Zahra water na Mayawa water.....
Wilaya kama muleba ina viwanda vya maji kama kabanga water na Mali water...


Eti unasifia Rombo kwa kuwa mtu mwenye hisa nyingi Precision anatokea Rombo!!! Ndege ambayo karibu nusu ya umiliki ni kenya Airways...
Mti huyo hata hakai Rombo amepakimbia tu...kule kumebaki maskini kibao wanaolewa mpaka wanajisahau....


NARUDIA TENA bado kuna kazi kubwa ya kufanya huko Kilimanjaro
Kagera ndio mna kazi kubwa ya kufanya maana hâta kula yenu ni Shida hebu cheki utapiamlo hapa kwa watoto
Mnakuwa maskini Hadi mlo? Rombo umaskini ni 10% tu n'a Wala Rombo hakuna nyumba ya nyasi hâta Moja(narudia hâta Moja) Nina milion Moja hapa kama utaniletea picha ya nyumba ya makazi ya nyasi Rombo
Kagera kujilinganisha na Kilimanjaro ni matusi ya nguoni
View attachment 2589330
 
Mbona Nyerere na Magufuli wanasema watu wa Kilimanjaro wasubiri kwanza wengine nao wapate maendeleo tangu miaka ya sitini watu wa Kilimanjaro wanasubiri tu hamfiki?
Huyu msambaa niachie nimnyoroshe
 
Back
Top Bottom