Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ila ninachoona ingawa sio utafiti rasmi Kagera sio mkoa maskini.Huu utafiti wao wakae nao.Kagera sio maskini.
Ni maskini unaona Hadi mlo ni tatizo kagera
1676389990311.jpg
 
Wewe jamaa umeshakuwa chizi?


Kwahiyo sehemu ikiwa na supermarket, bank ni mjini????
Kilimanjaro kiufupi maeneo yake yote hâta vijijn Kuna Kila hudumaa
Vijijini maduka makubwa kabisa ya mtaji hâta WA million 700 yapo barabara Safi zipo, miundombinu yote IPO,mahotel makubwa yapo kwahyo haijulikan
 
Mimi binafsi sikubaliani na hizo takwimu zao.Mimi natokea Kilimanjaro hiyo mikoa inayotajwa kuwa masikini Ina fursa nyingi kuliko Kilimanjaro.Unaweza kukuta huku watu wamejenga lakini in details hizo nyumba hazitokani na fursa za mkoa huu.Kuna mikoa naitamani mf Kigoma Kagera,Mwanza,Shinyanga! YAANI fursa kibao mvua za kutosha! Mpaka natamani kuhamia huko Kwa kuwa nchi ni YETU sote.Ifike tunapopima umaskini tuangalie fursa za eneo husika na sio majengo naweza Jenga Moshi! NDIO lakini uchumi nimepatia mf Dar n.k.
Msichokijua! Kanda ya kaskazini miaka hii imeathiriwa sana na mabadiliko ya tabia ya nchi!(Global warming!) Hivyo in the long run uchumi huku utaporomoka mfano Chuga hakuna mvua Tena kama zamani.Tuache promo na kukariri maisha!
Wewe sio mchaga
Uchumi haupimwi hivyo,hâta ulaya imejengwa na rasilimali za África,kwahyo Sasa tuseme África n tajiri kuliko ulaya? Pole sana ngosha unaejifanya mchaga,hatuna Wachaga wasio juá principes of economy
Kama Wewe mchaga tuongee kichaga hapa
 
Kiwilaya wilaya ya Bukoba mjini ndo ina kiwango kidogo cha umaskini kuliko wilaya zote nchini


Nasubiri mwaka huu watoe takwimu za kiwilaya tuone.....maana wakitaja Kagera watu hushambulia wahaya...nataka nione wilaya za wahaya haswa kama Bukoba , misenyi na muleba....

Hapa takwimu za nyuma Bukoba ndo wilaya yenye kiwango kidogo cha umaskini kuliko wilaya zote nchiniView attachment 2583338View attachment 2583339
Sasa bukoba mjini au hâta miji yote kiujumla automatique lazm kiwango chá umaskini kiwe kidogo
Mjini watu wengi Wana uwezo hyo ni elementary kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Matajiri wa moshi wanatengemea pesa za Tasaf...usiwasikilize sana hao

Kuna umaskini wa kutisha huko moshiView attachment 2583343
Hâta ujerumani nilikuta ombaomba
Umaskini upo hâta USA Ila tunaangalia kiwango
Kilimanjaro ni 10% tu Kagera ni 38.9%
Kilimanjaro hakuna MTU yeyote anaelala nyuma ya nyasi kama kwenu Kagera,umeona tofauti?
 
Kiwilaya wilaya ya Bukoba mjini ndo ina kiwango kidogo cha umaskini kuliko wilaya zote nchini


Nasubiri mwaka huu watoe takwimu za kiwilaya tuone.....maana wakitaja Kagera watu hushambulia wahaya...nataka nione wilaya za wahaya haswa kama Bukoba , misenyi na muleba....

Hapa takwimu za nyuma Bukoba ndo wilaya yenye kiwango kidogo cha umaskini kuliko wilaya zote nchiniView attachment 2583338View attachment 2583339
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Wewe mhaya umechanganyikiwa Haki,Sasa unaleta data za 2001? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nimecheka Hadi nimemwaga Bia yangu
 
Yako ni nadharia. Fact ni kwamba Kilimanjaro is declining. Kasoro tukiongea kuhusu mkoa wa Kilimanjaro, kinachokuja kichwani mwako ni wafanyabiashara wa kichagga.
Mkoa wa Kilimanjaro ni hadi wale maskini wanaoshindia mbege, wale wanakimbizana na magari kuuza nyanya, vitunguu na karanga katika stendi mbali mbali mkoani, Kilimanjaro sio Moshi na Machame tu.
Kwahyo kwa Tafsir Yako MTU anaeuza nyanya na vitunguu stand ni maskini ? My God una Elimu gani mkuu? Tuanzie hapo
 
Nbs ni ya hao wachaga labda
Kwahyo Wewe una akili kuliko NBS? Kilimanjaro haitakaa wananchi wawe na umaskini huo Kilimanjaro kwa mujibu WA NBS ina umaskini WA 10%tu
Kilimanjaro ni mkoa WA pili kwa makazi ya kisasa vijijini HII Ina maana kubwa huwez kujenga nyumba nzuri alafu ushindwe mlo tumeelewana Wewe mzaramo?
Mikoa yenye utapiamlo ni HII,usilete ugoro wako hapa
View attachment 2577764
 
Swali lilikuwa nitajie majina ila naona umekuja na gazeti, pole nikutakie siku njema mkuu!!
[emoji2][emoji2][emoji2]umemaliza huyu mdengereko WA mwanaromango,Ana povu maana wachaga wamewanunua wamesukumwa kibiti sasahv Hadi mwanaromango ishanunuliwa[emoji2][emoji2] heshima pesa
 
Kinachofanya Kilimanjaro haiwekwi kwenye kundi la mikoa masikini ni IDADI NDOGO YA WATU.


Na hii ni Kwasababu watu wengi wa Kilimanjaro wanapakimbia kila siku.
Akili za memkwa hizi, umesahau kuwa Kilimanjaro ni mkoa WA 4 kuchangia GDP? Kungekuwa hakuna watu hyo GDP ingetoka wapi?
2:vigezo vya umaskini ni makazi , miundombinu, huduma za jamii NK
Je Kilimanjaro Kuna Kijiji Chochote kimakosa hizi huduma? Kilimanjaro vijijini Kuna Hadi zahanati za private achilia mbali lami
Kwahyo hakuna namna yoyote Kilimanjaro itaacha kuwa juu
Kinachokufanya useme hivyo ni kuona Wana Kilimanjaro nchi nzima,hujui wachaga wamesambaa kwasababu ya exposure na Elimu? Miaka ya 40's wachaga walikuw washapanda ndege Hadi un Huko sembuse kusambaa TZ nzima? Nyie mlikuwa kucheza baikoko Huko mkuranga mkaacha kusoma exposure mngeipatia wapi? Shika Elimu
 
Salaam kabla ya habari.

Jana kuna report imeeleza.
Mikoa ya 1. Dodoma.
2. Singida.
3.Tabora.
4. Kagera.

Pia Kigoma ambayo Mh. Philipi Hakuweka bado ina wimbi la umaskini, mambo ya kuishi chini ya dola moja haya daaah.

Arusha, Dar, Mwanza, n.k ni maskini kwa sababu watu wake wanateseka, magorofa sio tatizo bali jiulize wewe unakula na kulala pazuri yaani basic needs kwa mtu mmoja mmoja ni ishu.

Tunafanyaje watz, kwenu ushauri.
Nenda kaharishe kwanza huo uvundo
 
Back
Top Bottom