Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Akili za memkwa hizi, umesahau kuwa Kilimanjaro ni mkoa WA 4 kuchangia GDP? Kungekuwa hakuna watu hyo GDP ingetoka wapi?
2:vigezo vya umaskini ni makazi , miundombinu, huduma za jamii NK
Je Kilimanjaro Kuna Kijiji Chochote kimakosa hizi huduma? Kilimanjaro vijijini Kuna Hadi zahanati za private achilia mbali lami
Kwahyo hakuna namna yoyote Kilimanjaro itaacha kuwa juu
Kinachokufanya useme hivyo ni kuona Wana Kilimanjaro nchi nzima,hujui wachaga wamesambaa kwasababu ya exposure na Elimu? Miaka ya 40's wachaga walikuw washapanda ndege Hadi un Huko sembuse kusambaa TZ nzima? Nyie mlikuwa kucheza baikoko Huko mkuranga mkaacha kusoma exposure mngeipatia wapi? Shika Elimu
Usiongee Sana wataamka,dawa ni kuwakimbiza kimya kimya
 
Ukweli ni kuwa K’Njaro walishafika level nyingine tangu zamani. Mkoa kwasasa hasa maeneo ya milimani hapaeleweki ni kijijini au mjini ndio maana wataalamu wa makazi wanasema hayo ni moja ya rur-urbs (rural-Urban) au semi-urban kubwa Afrika na kwingineko. Ni viongozi wetu kukataa tu kufanya chochote kizuri Kilimanjaro maeneo mengi yangalikwishs kuwa miji.

Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa sasa a vacation region au mkoa wa mapumziko na pia nyumba nyingi nzuri zimekuwa vacation houses, kwani wenyeji wengi wapo nje ya mkoa.

Shule zimeanza kuwa nyingi kuliko wanafunzi. Anyway kuna jambo kubwa la kufanya kwani kutokana na kufikia hatua hii kama hatua inayofuata (complete urbanization) haitafanywa kuna hatari ya mkoa kurudi nyuma na kuporomoka kabisa!
We kweli una funza kichwani. Bora ungetaja Tanga. Kilimanjaro ambayo miji imedoda hakuna hata makao makuu ya wilaya yana hadhi ya town council? Hivi umaskini wote ule ulioko upareni mtu huoni hata aibu kuongea huo utumbo? Mkoa wa Kilimanjaro mi ndio ningesema ni maskini kuliko mkoa wowote nchi hii
 
We kweli una funza kichwani. Bora ungetaja Tanga. Kilimanjaro ambayo miji imedoda hakuna hata makao makuu ya wilaya yana hadhi ya town council? Hivi umaskini wote ule ulioko upareni mtu huoni hata aibu kuongea huo utumbo? Mkoa wa Kilimanjaro mi ndio ningesema ni maskini kuliko mkoa wowote nchi hii
Uliza TRA wanakusanya ngapi Kilimanjaro..
 
Kila kitu kinategemea kiasi unachouza. Mtu anayeuza kwenye madirisha ya mabasi ya mikaoni ni maskini unless kama hujui maana ya umaskini. Anayesafirisha kwa fuso kutoka Iringa kwenda Dar, hawezi kuwa maskini kwa viwango vya Tanzania.
Kwahyo kwa Tafsir Yako MTU anaeuza nyanya na vitunguu stand ni maskini ? My God una Elimu gani mkuu? Tuanzie hapo
 
Akili za memkwa hizi, umesahau kuwa Kilimanjaro ni mkoa WA 4 kuchangia GDP? Kungekuwa hakuna watu hyo GDP ingetoka wapi?
2:vigezo vya umaskini ni makazi , miundombinu, huduma za jamii NK
Je Kilimanjaro Kuna Kijiji Chochote kimakosa hizi huduma? Kilimanjaro vijijini Kuna Hadi zahanati za private achilia mbali lami
Kwahyo hakuna namna yoyote Kilimanjaro itaacha kuwa juu
Kinachokufanya useme hivyo ni kuona Wana Kilimanjaro nchi nzima,hujui wachaga wamesambaa kwasababu ya exposure na Elimu? Miaka ya 40's wachaga walikuw washapanda ndege Hadi un Huko sembuse kusambaa TZ nzima? Nyie mlikuwa kucheza baikoko Huko mkuranga mkaacha kusoma exposure mngeipatia wapi? Shika Elimu
Kwa GDP Kilimanjaro iko mbali sana. Inacheza kati ya 8 na 9 nyuma ya Tanga, Morogoro, Shinyanga, Geita kwa mbali.
 
We kweli una funza kichwani. Bora ungetaja Tanga. Kilimanjaro ambayo miji imedoda hakuna hata makao makuu ya wilaya yana hadhi ya town council? Hivi umaskini wote ule ulioko upareni mtu huoni hata aibu kuongea huo utumbo? Mkoa wa Kilimanjaro mi ndio ningesema ni maskini kuliko mkoa wowote nchi hii
Akili za memkwa hizi
Maisha bora hayapimwi na makao makuu ya wilaya kuwa na hadhi ya mji
Maisha bora yanapimwa na
1:makazi bora(Kilimanjaro inaongoza kwa 90% ya makazi bora vijijini
2: huduma za kijamii (Kilimanjaro vijijini ndio kinara WA huduma za jamii ,ni mkoa wenye shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania,Moshi DC ni wilaya ya kwanza kuwa na shule nyingi za msingi,huduma za maji ya bomba taribani 80% Kila mwananchi WA Kilimanjaro Ana bomba ya maji nyumbani kwake,umeme ndio usiseme Kilimanjaro umeme upo Tangu miaka ya 80's, huduma za afya Kilimanjaro vijijini Kuna Hadi zahanati za private,mathalani Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja,Moshi DC pekee ina hospital 5 wakati maeneo mengine hospital ni anasa)
3:infant rate(Kilimanjaro IPO vizuri Haina vifo vya wajawazito na vichanga kwa kiwango kikubwa)
4:life expectancy🙁Kilimanjaro ndio mkoa wenye watu wenye umri mkubwa zaidi hivyo inaongoza kwa life expectancy)
5income(Kilimanjaro ni mkoa WA pili wananchi wake kuwa na per capita income kubwa Baada ya dar 90%)
Hivyo ndivyo vigezo vya maisha bora
 
Kila kitu kinategemea kiasi unachouza. Mtu anayeuza kwenye madirisha ya mabasi ya mikaoni ni maskini unless kama hujui maana ya umaskini. Anayesafirisha kwa fuso kutoka Iringa kwenda Dar, hawezi kuwa maskini kwa viwango vya Tanzania.
Kwahyo kama MTU Ana vitunguu vyake gunia 2 anaviuza kwa madirisha vinaisha anapata faida then anafanya hvyo tena BDO ni maskini ?
Nyie wadengereko mnaodharau kazi ndio mtaendelea kubaki maskini Hadi mfe
Muuza supu anauza supu Ana save 50000 Kila Siku Ila Wewe ukimuona unamdharau
Unakuta Ana nyumba,anasomesha,Ana bodaboda zake 3 NK
Nyie mnaodharau Kaz mtazd kubaki maskini
 
Dola Ni kipimio Cha kimataifa.

Kimataifa huwa dola ndiyo kipimio Cha sarafu nyingine zote. Bila shaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenichekesha sana, maana kuna siku manzese nimeakunjwa shati na kitoto cha under 18, kumbe kimechungulia,mfuko wa shati langu Kuna buku tatu yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao jamaa hawajiamini kabisa [emoji23][emoji23]kila kitu eti wao na wanaobishana humu wengi njaa kali ...Eti kusifu kwao daily wakati mwaka mzima wanaenda mwezi wa December tu na wengi hawaendi kabisa
Ni nani bora, sie tunaekwenda kwetu Disemba tu au nyie msiejua hata kutafuta kwenu ni wapi!
 
Wewe Kilimanjaro hasa rombo ni pesa tu Hao vijana unaosema wanaangamia ni wale wajinga ambao hawakosekan Ktk jamii yoyote
Ikiwa mkoa unakimbiwa,imekuwaje NBS watuambie ndio mkoa wenye unafuu WA kipato kwa wananchi wake kwa 90%?
Kilimanjaro Kila kijana anapambna, Elimu,exposure ndio inaupandsha mkoa
Mkakati wetu ni kuwa hizo 10% za umaskini Ktk mkoa wetu ifikapo 2027 tuuondoe kbs
Rombo ni wilaya pekee Tanzania ambayo vijij vyake vyote,vitongoji,vina umeme 100% kwa mujibu WA tanesco
Rombo umeme umeingia tangia 1980's wakati kule kwenu Muleba na misenyi Kuna vijiji Hadi MDA huu unga wanasaga mashine za dizel
Kilimanjaro sidhan kama wanajua mashine za dizel
Hebu acha maneno mengi....hiv kuna uwekezaji gan wa maana wilayani Rombo? Hebu utaje hapa...

Huoni takwimu za NBS zinasema watu wanapungua Kilimanjaro? Huoni kuwa ni tatizo...
Vip kuhusu ulevi wa kupindukia huko Kilimanjaro vijana miaka 20 kama miaka 50...
Vip kuhusu nyumba kibao za mabanzi zilizojaa humo moshi vijijini?
Vip barabara mbovu mbovu za vijiji zilizojaa huko milimani?

Huko Rombo hakuna viwanda, hakuna hata large scale farming, hakuna hata vitalu vya vijana kufanya kilimo, hakuna hata soko la wakulima kuuza mazao yao...

Uko unajisifia hapa mmeendelea...mmendelea nyinyi nyie? Unajua kuendelea?
 
Sasa bukoba mjini au hâta miji yote kiujumla automatique lazm kiwango chá umaskini kiwe kidogo
Mjini watu wengi Wana uwezo hyo ni elementary kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
Bukoba mjini ndo wilaya inayoongoza kwa kuwa na watu wachache wenye umaskini wa kipato...inazidi wilaya zote hata zile zilizo ndani ya majiji...

Appreciate that...na hao NBS wakifanya utafiti vzr zile wilaya za wahaya kama Bukoba, Misenyi na muleba zitafanya tu vzr kwa maendeleo binafsi.....
Maana wazee wengi wa kihaya wakistaafu wanarudi Bukoba huko..kufuga ng'ombe wa maziwa nk...

Kagera inaangushwa na umaskini uliokithiri huko Biharamulo na ngara lakin pia population yake ni kubwa kuliko pato la mkoa...
 
Kwahyo kama MTU Ana vitunguu vyake gunia 2 anaviuza kwa madirisha vinaisha anapata faida then anafanya hvyo tena BDO ni maskini ?
Nyie wadengereko mnaodharau kazi ndio mtaendelea kubaki maskini Hadi mfe
Muuza supu anauza supu Ana save 50000 Kila Siku Ila Wewe ukimuona unamdharau
Unakuta Ana nyumba,anasomesha,Ana bodaboda zake 3 NK
Nyie mnaodharau Kaz mtazd kubaki maskini
Kwa hiyo ndio utajiri wa Kilimanjaro?
 
Back
Top Bottom