Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Ukiitoa Kilimanjaro Bado Mikoa mingine Tanzania ni maskini

Wewe jamaa ni mbweha.

Wachagga wanakimbia Kilimanjaro Kwasababu hakuna kitu.

Suala la Kilimanjaro kuchangia GDP labda Mlima tu.

Hakuna kingine.


Kilimanjaro yote isipokuwa Moshi ni VIJIJINI.


Na Kilimanjaro ilivyo ni Kimkoa kidogo sana kilichojaa Mabonde, misitu na mawe.

Sasa Wilaya Ina ukubwa sawana Tarafa na kila mwaka inapewa budget na serikali itashindwa Nini kujenga lami na Zahanati?
Bado una akili za memkwa
1:Mtawanyiko WA Wachaga sehemu mbalimbali kwa kiasi kikubwa umechangiwa na Elimu,hakuna eneo lolote TZ utamkosa mchaga Ktk taasisi za serikali mfano vyuo,mahospital,uhandisi,bank nk HII lazma ni sábabu mojawapo inayofanya Wachaga kusambaa maeneo mbalimbali,hâta Jana jarida la TIME limemtaja Dr Elizabeth Mrema ambaye ni katibu WA bio anuai Umoja WA mataifa kuwa miongoni mwá watu 100 wenye ushawishi duniani,
2: Kilimanjaro wengi ni wafanyabiashara,hivyo kusambaa ni jambo la kawaida,ni kawaida kukuta mchaga anamiliki ghorofa mwanza tanga au Arusha
3:unasema eti mapato mengi ya Kilimanjaro ni mlima sio Kweli,not only mlima
4:vigezo vya umaskini nishakwambia , Kilimanjaro ina huduma Hadi za ziada vijijin,just imagine Hadi zahanati za private zipo vijijini what a wonderful life, just imagine hakuna nyumba ya nyasi ya makazi hâta Moja uchagan,just imagine Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na shule nyingi,just imagine Kilimanjaro ni mkoa wenye miundombinu toshelezi kwa 90%
Kubwa kuliko mwaka juzi Wana vunjo walichanga zaidi ya bilion 7 kukárabati barabara zote za jimbo,Kuna jamii yoyote yenye ubavu kwa kuchangia hâta milion 50 tu? Respect Kilimanjaro
 
Inaonesha hata wewe hunafika, zaidi ya kugoogle tu na Kubweka bweka mitandaoni.

Kuwa na hicho kiwanda kidogo Cha Sequa huko porini ndio unaona uwekezaji wa maana sana.

Tarakea n Holili zote ni border Takataka zilizopo vijijini na hazina maajabu yoyote.

Ndio maana hata Rombo Halmashauri haina chochote inaishi kwa RUZUKU tu kutoka serikalini,ambayo ni mapato kutoka sehemu nyingine.

Kilimanjaro ni ndogo Kama kitarafa tu. Watu 10 wakijenga nyumba zao haina maana ni deal sana

Bado Kuna lundo la Nyumba za tope zilizochanganyika na nyasi pamoja na mabanzi.

Mkianza kupost, postini na Hawa wazee wenu mlio watelekeza mmekimbilia mjini, wakifa huku wanazikwa Kama mizoga.
Bado una akili za memkwa
Umaskini Kilimanjaro ni 10% tu kwahyo Hao unaosema ni maskini rombo ndio Hao 10% na tunataka by 2027 kuuondoa kabisa, hakuna ubishi
Sasa mkoa wetu kuwa mdgo ni Hoja? MBna ni mkoa mdogo lkn unaongzoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Tangia kitambo watu waliwekeza kwwnye Elimu,mlo WA mchana kwa wanafunzi primary na sekondar Kilimanjaro ni tangia miaka ya 90 mm mwenyewe nimepata mlo shuleni sera HII serikali ndio inahamasisha mikoa yenu ya Huko porini sasahv maana hamjui umuhimu [emoji2][emoji2]
Kilimanjaro hakuna Shida ya huduma za kijamii kama hko porini kwenu, ushawah sikia ukosefu WA zahanati,kituo chá afya Au hâta hospital Kilimanjaro?
Kilimanjaro karibu Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja huoni hiyo?
Wewe najua ni mtumishi hapo rombo DC,vpi unaonaje mijumba ya kisasa iliyojaa karibu kila Kaya?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina maji Safi ya bomba wakati kule kwenu ilolanguru mna share maji na mifugo aisée you suppose tu acknowledge hâta ki shingo upande,umewahi sikia watoto wanakalia mawe darasani kama kula kwenu?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina umeme
Kilimanjaro karibu Kaya zote zina angalau watu wawili wenye élimu kuanzia cheti,diploma au degree,masters very interesting
Mwanamke WA kwanza rubani Tanzania anatoka Kilimanjaro pia
 
Nakwambia hio ni population tu ya mkoa kuwa ndogo...but nothing special kwa Kilimanjaro kuliko mikoa mingine.

Mbona wew hutaki kukubali kuwa Bukoba ndo wilaya inayoongoza Tanzania kwa kiwango kidogo cha umaskini...

Na evidence hii hapa...leta ya kwako pingamizi inayoclassify wilaya hivView attachment 2588184
Takwimu za 2001 zina relate vipi na 2023? Tupe latest
 
Mbeya City Ngoja Nipite Zangu Ila Nawasalimu Ninyi Majirani Wawili CHAGGA NA HAYA mtifuano mwema.
 
Sisi wachagga na wahaya tunafanana Kwa mengi,kimsingi ninaomba tudumishe undugu na ujirani
Wote tunalima kahawa
Wengi ni wakristo roman,/Lutheran
Wengi ni wasomi
Wameoana
Wote wanaoenda sifa
Wote wanaoenda maendeleo
Wote tunampenda ndizi
Wote tunapenda kuzikwa nyumbani
Wote wa gamble
Wote matapeli wa kiwango Cha juu
Mhaya katuzidi kwenye swala moja tuu beki zao hazikabi kabisa kwenye eneo la amri ya 6
 
Sisi wachagga na wahaya tunafanana Kwa mengi,kimsingi ninaomba tudumishe undugu na ujirani
Wote tunalima kahawa
Wengi ni wakristo roman,/Lutheran
Wengi ni wasomi
Wameoana
Wote wanaoenda sifa
Wote wanaoenda maendeleo
Wote tunampenda ndizi
Wote tunapenda kuzikwa nyumbani
Wote wa gamble
Wote matapeli wa kiwango Cha juu
Mhaya katuzidi kwenye swala moja tuu beki zao hazikabi kabisa kwenye eneo la amri ya 6
Pmj na hapo tunawazidi exposure na Hela na hâta Elimu
Kwahyo wao ni no wadogo zetu waanze kutusalimia kwanza ndo tuelewane [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kagera ndio mna kazi kubwa ya kufanya maana hâta kula yenu ni Shida hebu cheki utapiamlo hapa kwa watoto
Mnakuwa maskini Hadi mlo? Rombo umaskini ni 10% tu n'a Wala Rombo hakuna nyumba ya nyasi hâta Moja(narudia hâta Moja) Nina milion Moja hapa kama utaniletea picha ya nyumba ya makazi ya nyasi Rombo
Kagera kujilinganisha na Kilimanjaro ni matusi ya nguoni
View attachment 2589330
Nishakwambia acha maneno mengi...leta takwimu zinazosema umaskini Rombo ni asilimia 10 tu....takwimu hizo ziko wap?

Mimi nimeleta takwimu zinazosema wilaya ya Bukoba kuongoza kwa asilimia ndogo za umaskini nchini na hio ilikuwa 2005...tena sasa utakuwà ni 5% tu...


Leta ushahidi wa Rombo?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mimi Nina ya kimikoa
Sasa kati ya kimikoa na kiwilaya IPI inayo sound? Alafu eneo lenyewe ni mjini
Kimantiki maeneo yote ya mjini Hali ya maisha ni tofauti na vijijini
Eti zinasound?
Hiv takwimu zikitaja Africa ndo bara maskini zaidi duniani na zile zinazotaja specific nchi kuwa maskini zaidi zip zinasound fresh[emoji23][emoji23][emoji23]

Tena za wilaya ndo zimasound fresh kwa sababu at least zinacapture watu wanaofanana na kwa uhalisia zaidi...

Wew kwa akili yako unaona mwanga, same na siha kuna maendeleo gan kule?
Lakin wakiclassify kiwilaya ndo utaona uhalisia zaidi....

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Takwimu za 2001 zina relate vipi na 2023? Tupe latest
Sasa kama hazijatolewa tutunge sio?

Hata wakitoa utabaki pale pale wilaya ya Bukoba ndo wilaya yenye asilimia kubwa ya watu wenye kipato....maana kwa sasa Bukoba inatanuka na kukua kubwa zaidi na zaidi...

Wew hujiulizi kwa nini safari za ndege hazikakuki Bukoba? Kila mtu akileta ndege zake Bukoba uwa among the first planned routes...

Bukoba Airport ni ya tano nchini kwa Domestic flights imagine inazidi hadi Dodoma the capital city...this means watu wa Bukoba wanakipato kama takwimu zinavyosema na takwimu zina uhalisia kweli...

Bukoba mjini kukijengwa stendi ya mabasi, soko la kisasa na barabara za mjini kuwekewa mitaro mizuri kazi kwisha pale. Na atleast wanajenga stendi mpya tu sasa hiv na inakamilika September...



Hizo takwimu za 2017....Bukoba mji mdogo lakin una abiria wote hao..hii inasaport takwimu za serikali kuwa Bukoba Ndo wilaya yenye watu wengi wenye kipato
Screenshot_20230416-084606.jpg
Screenshot_20230416-084623.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Pmj na hapo tunawazidi exposure na Hela na hâta Elimu
Kwahyo wao ni no wadogo zetu waanze kutusalimia kwanza ndo tuelewane [emoji2][emoji2][emoji2]
Exposure gan na elimu gan?
Kimsingi hakuna kabila lenye diaspora wengi kama wahaya....

Na hakuna kabila lenye wasomi wengi kama wahaya..


Wachaga wanawazidi wahaya kwenye biashara ambazo nazo ukichunguza vzr kuna ushirikina mkubwa sana humo..


Kuna takwimu zinataja tarafa ys uru inaongoza kwa vichaa na mazezeta...ushirikina tu..
IMG-20190304-WA0022.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Exposure gan na elimu gan?
Kimsingi hakuna kabila lenye diaspora wengi kama wahaya....

Na hakuna kabila lenye wasomi wengi kama wahaya..


Wachaga wanawazidi wahaya kwenye biashara ambazo nazo ukichunguza vzr kuna ushirikina mkubwa sana humo..


Kuna takwimu zinataja tarafa ys uru inaongoza kwa vichaa na mazezeta...ushirikina tu..View attachment 2589431

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na old Moshi ...Hao ni kawaida sana kuwafanya watoto wao machizi wanafanana na wahindi kabisa.


kuna ticha wetu alikuwa anaitwa pallangyo ana mtoto wa kwanza kama chizi ila bado analisomesha shule za gharama...Kuna mwingine anaitwa kikore mwanae wa kwamba chizi nae hivyo hivyo ..

Deliberately wanwafanya watoto wao machzi kisa mali jamaa yao alishawahi niambia huko kwao Machame hawatakiwi kurudi mikono mitupu kwa hali yeyote bora waibe , wadhulum hata uchawi ili wapeleke hela na jamaa yupo Town hataki kurudi pesa hana.
 
Bado una akili za memkwa
Umaskini Kilimanjaro ni 10% tu kwahyo Hao unaosema ni maskini rombo ndio Hao 10% na tunataka by 2027 kuuondoa kabisa, hakuna ubishi
Sasa mkoa wetu kuwa mdgo ni Hoja? MBna ni mkoa mdogo lkn unaongzoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Tangia kitambo watu waliwekeza kwwnye Elimu,mlo WA mchana kwa wanafunzi primary na sekondar Kilimanjaro ni tangia miaka ya 90 mm mwenyewe nimepata mlo shuleni sera HII serikali ndio inahamasisha mikoa yenu ya Huko porini sasahv maana hamjui umuhimu [emoji2][emoji2]
Kilimanjaro hakuna Shida ya huduma za kijamii kama hko porini kwenu, ushawah sikia ukosefu WA zahanati,kituo chá afya Au hâta hospital Kilimanjaro?
Kilimanjaro karibu Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja huoni hiyo?
Wewe najua ni mtumishi hapo rombo DC,vpi unaonaje mijumba ya kisasa iliyojaa karibu kila Kaya?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina maji Safi ya bomba wakati kule kwenu ilolanguru mna share maji na mifugo aisée you suppose tu acknowledge hâta ki shingo upande,umewahi sikia watoto wanakalia mawe darasani kama kula kwenu?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina umeme
Kilimanjaro karibu Kaya zote zina angalau watu wawili wenye élimu kuanzia cheti,diploma au degree,masters very interesting
Mwanamke WA kwanza rubani Tanzania anatoka Kilimanjaro pia
Nilifikiri nazungumza na mtu meenye akili timamu, kumbe napoteza muda tu na jitu levi.
 
Bado una akili za memkwa
Umaskini Kilimanjaro ni 10% tu kwahyo Hao unaosema ni maskini rombo ndio Hao 10% na tunataka by 2027 kuuondoa kabisa, hakuna ubishi
Sasa mkoa wetu kuwa mdgo ni Hoja? MBna ni mkoa mdogo lkn unaongzoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Tangia kitambo watu waliwekeza kwwnye Elimu,mlo WA mchana kwa wanafunzi primary na sekondar Kilimanjaro ni tangia miaka ya 90 mm mwenyewe nimepata mlo shuleni sera HII serikali ndio inahamasisha mikoa yenu ya Huko porini sasahv maana hamjui umuhimu [emoji2][emoji2]
Kilimanjaro hakuna Shida ya huduma za kijamii kama hko porini kwenu, ushawah sikia ukosefu WA zahanati,kituo chá afya Au hâta hospital Kilimanjaro?
Kilimanjaro karibu Kila wilaya ina hospital zaidi ya Moja huoni hiyo?
Wewe najua ni mtumishi hapo rombo DC,vpi unaonaje mijumba ya kisasa iliyojaa karibu kila Kaya?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina maji Safi ya bomba wakati kule kwenu ilolanguru mna share maji na mifugo aisée you suppose tu acknowledge hâta ki shingo upande,umewahi sikia watoto wanakalia mawe darasani kama kula kwenu?
Kilimanjaro wastani WA Kaya 90% zina umeme
Kilimanjaro karibu Kaya zote zina angalau watu wawili wenye élimu kuanzia cheti,diploma au degree,masters very interesting
Mwanamke WA kwanza rubani Tanzania anatoka Kilimanjaro pia
Maji safi hamna msingekuwa na meno yenye kutu ndo maji safi au kutojielewa...Nimekunywa maji yenu huko kama yana magadi machachu.!

Mbona umebase kweny rubani katika elimu hakuna ubishi wahaya ni undisputed hata usemeje wa kwanza kusoma nje ni justian Rweyamuma na hata kiakili hao jamaa ni asili yao wanajua sana...


vyakula vyenu vingi ni hovyo bora mule ila sio kujisifia pia shukuruni wale jamaa wakina Mramba ,Mtei kwa ubinafsi wao ndo walijenga hizo barabara ila hamna zile barabara labda za kiwango cha mtu kustaajabu njingi ni model za vijijini hazina maajabu.
 
Back
Top Bottom