darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Kumuhamisha Mzaramo mjini kwenye kiwanja Cha 20x20 na nyumba ya mgongo wa tembo ya miaka 1980 unaohitaji si chini ya mil 100. Waliweza wakuja wachache kipindi kile cha miaka ya nyumba waliuziwa bei chee bado baadhi yao waliokuwa hawajaelemika. Sasa hivi Kwa hawa wakina mangi vilevi vinazurula mjini wanaokuja mjini tayari mbege ishawapiga hadi wake zao wanakimbilia Kenya kuugawa papuchi hawana ubavu wa kumtoa Mzaramo bro!Wew mzaramo mbona povu? Au umemaliza ile Hela uliyouza kiwanja kwa mchaga hapo mwanaromango ? Maana wachaga tumewahamisha wazaramo mjini na Sasa tushawafuata vijijini
Hizo takwimu za mpango ni current sio za 2016
Na hao wakuja ndio wanaongeza rate ya maskini hapa mjini.