Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
 
Ipo hivi.
Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku,wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokua na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank.ofcoz nilikua nimepiga maji kidogo ila niliwakariri.niliripoti tukio police ila hakuna lolote lililofanyika.
Sasa me nikaamua kuwawinda hawa vibaka,alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri,nikapita yale maeneo yao na kibegi changu.mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.kwa sababu nilikua nimejiandaa kwa vita,nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokua nayo,nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia,nami nikala nao sahani moja,nikamkamata mmoja aliyekua kaanguka akawa ndio mateka wangu,yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Duuh!
Umetisha mkuu!
 
Ipo hivi.
Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku,wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokua na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank.ofcoz nilikua nimepiga maji kidogo ila niliwakariri.niliripoti tukio police ila hakuna lolote lililofanyika.
Sasa me nikaamua kuwawinda hawa vibaka,alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri,nikapita yale maeneo yao na kibegi changu.mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.kwa sababu nilikua nimejiandaa kwa vita,nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokua nayo,nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia,nami nikala nao sahani moja,nikamkamata mmoja aliyekua kaanguka akawa ndio mateka wangu,yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Wanaume wa Dar mmeamua sasa haya kazaneni ni aibu sana vijana under 17 wanafunga mtaa kisa Wana mapanga na marungu na mtaa Kuna vijana na watu wazima aibu sanaa
 
Back
Top Bottom