Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
Apostle kuna muugiza
 
Aaahh we jamaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kama hujawahi kuwekwa kati utaona simple tu!
Wanakera kwa sana hawa vibaka! Hivyo akiingia anga zako mshughulikie kivyako kwa raha zako[emoji83]
Kumkoma nyani giladi[emoji3][emoji16][emoji16]
 
Kama hujawahi kuwekwa kati utaona simple tu!
Wanakera kwa sana hawa vibaka! Hivyo akiingia anga zako mshughulikie kivyako kwa raha zako[emoji83]
Kumkoma nyani giladi[emoji3][emoji16][emoji16]

Unaonekana umefuzu kwenye hayo mambo
Sipati picha ungepata nafasi kama ya mtoa mada uyo kijana angekua kwenye hali gani[emoji16]
 
Ukiachana na mapanga kuna vishoka flani amaizing hivi vifupi mafundi ujenzi wanavitumia kukatia tofali ukikipata hiko utakuja kunishukuru mana nacho shughuli yake si haba.
 
Unaonekana umefuzu kwenye hayo mambo
Sipati picha ungepata nafasi kama ya mtoa mada uyo kijana angekua kwenye hali gani[emoji16]
Ingekuwa uyoga umeota mvunguni[emoji8]
 
[emoji38][emoji38][emoji38]naomba umshughulikie mmoja mkuu uje kuleta mrejesho
Usisahau kuni tag kabisa…
Wana mapepo ya utambuzi hawa! kila nikipita anga zao shikamoo nyingi; utasikia usituwekee kiwingu sepaa...[emoji56][emoji38][emoji38]
 
Wana mapepo ya utambuzi hawa! kila nikipita anga zao shikamoo nyingi; utasikia usituwekee kiwingu sepaa...[emoji56][emoji38][emoji38]
Nahisi watakua ni wale makerubi ya mfalme zumaridi mkuu😆😆😆
Kwa style hiyo utawaweza kweli au tukuchangie hela ya matibabu mapema…
 
Nahisi watakua ni wale makerubi ya mfalme zumaridi mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwa style hiyo utawaweza kweli au tukuchangie hela ya matibabu mapema…
Hata nikiwaota usiku nawafanyizia mmoja mmoja poa[emoji7][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]
 
Hata nikiwaota usiku nawafanyizia mmoja mmoja poa[emoji7][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]

Alooooooohh[emoji38][emoji38][emoji38]hapo kwenye ndoto hatutakua na msaada tena na wewe aiseeee…
 
Mkuu uu uzi bila picha izo likes apo zifutwe mpka aweke picha
 
Alooooooohh[emoji38][emoji38][emoji38]hapo kwenye ndoto hatutakua na msaada tena na wewe aiseeee…
Halafu wana mbio na visingizio utasikia mii sitaki kwanza nanyonyesha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu wana mbio na visingizio utasikia mii sitaki kwanza nanyonyesha[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka kwa nguvu wallah[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Naomba niishie hapa sitaki tena mrejesho[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwakweli kwa sasa inahitajika operation ya hivi.... Watatulia tu.....
Mwanzisha thread ameongopa kabisa lakini amefanikiwa kuchota wengi akili. Kila nikisoma mtiririko wa simulizi yake naona hauna ukweli.
 
Ipo hivi.

Weekend iliyopita hawa vijana wanaojifanya wahuni wa mtaa walinitaiti mahali usiku, wakanipiga sana na kuniibia vitu vyangu ikiwemo simu na wallet yangu iliyokuwa na pesa na vitambulisho pamoja na kadi za bank. Ofcoz nilikuwa nimepiga maji kidogo ila niliwakariri, niliripoti tukio polisi ila hakuna lolote lililofanyika.

Sasa mimi nikaamua kuwawinda hawa vibaka, alfajiri ya leo nikajifanya nimetoka na begi nikizuga kuwa nasafiri, nikapita yale maeneo yao na kibegi changu, mara watatu wakanivaa wakaniambia niko chini ya ulinzi na nitoe vyote nilivyonavyo.

Kwa sababu nilikuwa nimejiandaa kwa vita, nikajifanya nafungua lile begi langu nikatoa mapanga yangu mawili niliyokuwa nayo, nikaanza kuwashambulia wakawa wanakimbia, nami nikala nao sahani moja, nikamkamata mmoja aliyekuwa kaanguka akawa ndio mateka wangu, yule dogo nimempiga sana na nimemkata vidole viwili vya mkono wa kulia ili iwe fundidho kwa wenzake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], duh hili taifa jipya shida
 
Back
Top Bottom