Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.




:clap2:
 

Haya njooni hapa mtuambie ruhusa ya kula ngamia, bata, sungura n.k mliipata wapi?
 

Bado haujani-convice kuacha kitimotoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!
 
Jibu hoja acha matusi. Watu wenye akili ndogo utawajua tu. Badala ya kujibu hoja wanakimbilia matusi na jazba.



HUYO LAZIMA AWE NA JAZBA SABABU NDIO KITOWEO ANACHOKIMUDU SI UNAJUA MNGONI HUYO??
KULE RUVUMA USIWALETEE KABISA MAMBO HAYO
NA LAZMA TUMWAMBIE UKWELI HAPA,AKITAKA KUVIMBA AVIMBE ZAKE HAD APASUKE
ULAFI TUUH,,EBO...!!
:target: :target:
 

usisahau umezungumza matendo mawili apo kuchinja na kula
 
haya njooni hapa mtuambie ruhusa ya kula ngamia, bata, sungura n.k mliipata wapi?



wewe povu la nini??
Vifungu si umeshaviona hapo??
Mbona huna hoja sasa
kaa mbali na mdudu mchafu yule mkuuu
 
Qurani inakwambia hao Wakristo ni WASOMI na WACHAMUNGU! Toa aya ndani ya qaraa nao waislamu kama kuna wasomi na wachaMungu! Okoa Roho yako kafiri!

Acha uongo wewe!!!! Qurani haijasema Wakrisot ni wa cha Mungu!!!!! Toa andiko sasa hivi.....
 
sawa basi.
1. Nenda kachinje nguruwe kisha umtupe
2. Nem\nda kamchinje mwanao kisha tumle nyama yake!!!!!

uyo ni mnyama kama wanyama wengine ambapo vitabu vinaruusu,
pia vyote vyawezekana kuchinja nguluwe na kutupa
 
Haya njooni hapa mtuambie ruhusa ya kula ngamia, bata, sungura n.k mliipata wapi?

Toa ruhusa ya kula nguruwe kwanza hapo ndo tutakuelewa maana ninyi hata mkieleweshwa kwa kutumia mabomu ya machozi huwa hamuelewi!!!!!
 
uyo ni mnyama kama wanyama wengine ambapo vitabu vinaruusu,
pia vyote vyawezekana kuchinja nguluwe na kutupa

Ndo nataka umchinje nguruwe kisha umtupe na umchinje mwanao tumle.... Hujaelewa? Fanya unavyoambiwa!!!!
 
Toa ruhusa ya kula nguruwe kwanza hapo ndo tutakuelewa maana ninyi hata mkieleweshwa kwa kutumia mabomu ya machozi huwa hamuelewi!!!!!

Wewe ndie umeelewa nini sasa bwana makengeza?
 
Kama unataka kuwa na akili mulogo au heche endelea kutumia huyo mdudu
 
yaaaa inaonesha huyo mtuwako unae Mwita MSOMI angelikuambia yakua watu ote wanaokula nguruwe no kesho watageuka NGURUWE naona pia ungekubali wajinga ndio waliwao HONGERA........
Come again..............!!!????
 
Nasuggest ponda apelekewe hii kitu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…