Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji4][emoji120][emoji120][emoji120]Dearrr
Usinywe Smirnoff zaidi ya chupa 2/3 kama ni first time
tamuu kama sukari ila unalewa chaap chaap sana
Hatauona[emoji23]Namuombea huu uzi asiuone. [emoji23]
Moja si mbaya[emoji4][emoji120][emoji120][emoji120]
Siwezi kunywa chupa zote hizo.
Ikitokea nikajaribu basi nitajaribu hata nusu chupa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajaribia nyumbaniNywea nyumbani
kidogo is nice
Kila kitu na kiasi
Ikizidi itakutesa....
Raha ya kulewa ulewe ila kilevi kisikuzidi
[emoji4][emoji120]Moja si mbaya
Ama easy winesNitajaribia nyumbani
Hata nikijaribu siwezi kunywa nyingi. .sijawahi kunywa kabisa kwahiyo siwezi zidisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣Nitajaribia nyumbani
Hata nikijaribu siwezi kunywa nyingi. .sijawahi kunywa kabisa kwahiyo siwezi zidisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda nunua hio Smirnoff moja, jifungie weka mziki wako unaopenda, inywe taratibu mpaka ikwishe, usizidishe zaidi ya moja, nadhani utalala poa sana, ukipata mda utatuletea mrejesho.Nadhani sina marafiki walevi ndiyo maana sijawahi jaribu.
Ila huku mtaani nitapata marafiki wa kila aina.
Kishuleshule nilikuwa na marafiki wa aina moja,wote ni kanisani tu na kwenye maombi.
Club nilikuwa sijui hata kunafananaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesiAma easy wines
Kama Saint Anna
Ama Amarula ni tamu u can enjoy
ama sweet red wines
Sawa mkuuNenda nunua hio Smirnoff moja, jifungie weka mziki wako unaopenda, inywe taratibu mpaka ikwishe, usizidishe zaidi ya moja, nadhani utalala poa sana, ukipata mda utatuletea mrejesho.
Kama nikinywa vikali nasahau matukio yote, kwa beer ngum kupoteza kumbukumbu pia nakua makini sana na watu nisio wafaham na sio mtu wa totozi.Pombe kali ukilewa hata kama ulipewa namba za simu kesho yake huwezi kumbuka ulisave vp
Aisee!!!! Pamejaa balaa na hapo kapatanua.Nipo small planet
Ohhh hahaKuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesi
Nilishawahi ona rum jirani wanakunywa aisee..inanuka vibaya mno.
Yaani sikujua kama Kuna pombe inaitwa St Anna.,nimeijulia humu jf baada ya watu kuwa wanauliza I'd yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywea nyumbani dah! Nadhani apate full experience ya kubamizwa na bass la mziki huku vyombo vinapanda taratibuNywea nyumbani
kidogo is nice
Kila kitu na kiasi
Ikizidi itakutesa....
Raha ya kulewa ulewe ila kilevi kisikuzidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Usimmention sasa mwache huko barabarani anafuta visahani sahivi... akija kushtuka uko na smirnoff ice pembeni unapiga vyombo hatakuwa na la kuongea tena
Pisi zinazolaza bapa zina mapenzi ya kweli balaa ila ukizizingua petroli inakuhusuOhhh haha
Yees ur Saint Anna...
Local wines achana nazo wanadai haziko stable[emoji28]...jokes...binafsi i do imported only
Rum hizo local ni balaa alcohol yaweza kuwa 50% kimasihara masihara...tunawaachia wazoefu
binafsi i dont do beer or hard liquor
Afterall mwanamke pombe kali za nini?
Unakuta binti mdogoo amelaza bapa anasogea nayo like its nothing[emoji1430][emoji1430][emoji28]
Maybe with a drinking boyfriend...mzoefuKunywea nyumbani dah! Nadhani apate full experience ya kubamizwa na bass la mziki huku vyombo vinapanda taratibu
Ziko pombe ni nzuri unaweza ukanywa ama ukachanganyiwa kwenye juice ama mocktails na usijue kama umewekewa pombe.Sawa mkuu
Siku nitajitoa ufahamu nijaribu.
Ila sijui nitaweza kweli[emoji16].
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata hizo local imported sizijui.Ohhh haha
Yees ur Saint Anna...
Local wines achana nazo wanadai haziko stable[emoji28]...jokes...binafsi i do imported only
Rum hizo local ni balaa alcohol yaweza kuwa 50% kimasihara masihara...tunawaachia wazoefu
binafsi i dont do beer or hard liquor
Afterall mwanamke pombe kali za nini?
Unakuta binti mdogoo amelaza bapa anasogea nayo like its nothing[emoji1430][emoji1430][emoji28]