Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Nadhani sina marafiki walevi ndiyo maana sijawahi jaribu.

Ila huku mtaani nitapata marafiki wa kila aina.
Kishuleshule nilikuwa na marafiki wa aina moja,wote ni kanisani tu na kwenye maombi.
Club nilikuwa sijui hata kunafananaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda nunua hio Smirnoff moja, jifungie weka mziki wako unaopenda, inywe taratibu mpaka ikwishe, usizidishe zaidi ya moja, nadhani utalala poa sana, ukipata mda utatuletea mrejesho.
 
Ama easy wines
Kama Saint Anna
Ama Amarula ni tamu u can enjoy

ama sweet red wines
Kuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesi
Nilishawahi ona rum jirani wanakunywa aisee..inanuka vibaya mno.


Yaani sikujua kama Kuna pombe inaitwa St Anna.,nimeijulia humu jf baada ya watu kuwa wanauliza I'd yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesi
Nilishawahi ona rum jirani wanakunywa aisee..inanuka vibaya mno.


Yaani sikujua kama Kuna pombe inaitwa St Anna.,nimeijulia humu jf baada ya watu kuwa wanauliza I'd yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ohhh haha
Yees ur Saint Anna...
Local wines achana nazo wanadai haziko stable😅...jokes...binafsi i do imported only


Rum hizo local ni balaa alcohol yaweza kuwa 50% kimasihara masihara...tunawaachia wazoefu

binafsi i dont do beer or hard liquor
Afterall mwanamke pombe kali za nini?
Unakuta binti mdogoo amelaza bapa anasogea nayo like its nothing🙌🏽🙌🏽😅
 
Ohhh haha
Yees ur Saint Anna...
Local wines achana nazo wanadai haziko stable[emoji28]...jokes...binafsi i do imported only


Rum hizo local ni balaa alcohol yaweza kuwa 50% kimasihara masihara...tunawaachia wazoefu

binafsi i dont do beer or hard liquor
Afterall mwanamke pombe kali za nini?
Unakuta binti mdogoo amelaza bapa anasogea nayo like its nothing[emoji1430][emoji1430][emoji28]
Pisi zinazolaza bapa zina mapenzi ya kweli balaa ila ukizizingua petroli inakuhusu
 
Sawa mkuu


Siku nitajitoa ufahamu nijaribu.

Ila sijui nitaweza kweli[emoji16].

Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko pombe ni nzuri unaweza ukanywa ama ukachanganyiwa kwenye juice ama mocktails na usijue kama umewekewa pombe.

Mfano kuna vermouth (martin bianco ama martin rosso)hizi ni sweet and sour, na hazina kale kaukali ka u spirit, ukionja utataka uongeze tena na tena na tena mwisho utalewa kabisa.
 
Ohhh haha
Yees ur Saint Anna...
Local wines achana nazo wanadai haziko stable[emoji28]...jokes...binafsi i do imported only


Rum hizo local ni balaa alcohol yaweza kuwa 50% kimasihara masihara...tunawaachia wazoefu

binafsi i dont do beer or hard liquor
Afterall mwanamke pombe kali za nini?
Unakuta binti mdogoo amelaza bapa anasogea nayo like its nothing[emoji1430][emoji1430][emoji28]
Yaani hata hizo local imported sizijui.
Inshort sijui chochote kuhusu pombe.
Naona mnataja tu majina,natoa macho.


Watu walikuwa wanauliza eti at Anne umejiita sababu ya ile pombe?
Nikajiuliza pombe gani tena jamani[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom