Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Nasikia joto sana ngoja nipunguze hizi nguo [emoji1787][emoji1787]
A wapi [emoji23]
Kwanza mimi nadhani siwezi kulewa.

Yaani kabisa nilewe!!
Mbona chai huwa nakunywa na nakuwa fresh tu!
Mimi nahisi huwa wanatudanganya hawalewi wala nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂😂😂 wakati unalia huwa unasema nini? 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
 
Utakuja kuamka ujikute na Birthday suit halafu sehemu usiyoijua wahuni washasepa 😂😂😂 baada ya kufanya yao. Shauri yako wahuni si watu.
A wapi [emoji23]
Kwanza mimi nadhani siwezi kulewa.

Yaani kabisa nilewe!!
Mbona chai huwa nakunywa na nakuwa fresh tu!
Mimi nahisi huwa wanatudanganya hawalewi wala nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…