Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,636
- 3,142
Niona kama moyo umetekwa, kama ukishindwa kuvumilia naomba usiangukia mbali, nipo kwa ajili yako mrembo[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niona kama moyo umetekwa, kama ukishindwa kuvumilia naomba usiangukia mbali, nipo kwa ajili yako mrembo[emoji16]
Mwee[emoji134][emoji134][emoji134]Yasisitiza usijaribu mama mchungaji tafadhali
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kibabe zaid[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu alinishangaa Sana eti kwanini sinywi pombe.
Akasema piga vyombo wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
A wapi [emoji23]Nasikia joto sana ngoja nipunguze hizi nguo [emoji1787][emoji1787]
Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
Tatizo stress,hasa wakati wa usiku.Niona kama moyo umetekwa, kama ukishindwa kuvumilia naomba usiangukia mbali, nipo kwa ajili yako mrembo[emoji16]
A wapi [emoji23]
Kwanza mimi nadhani siwezi kulewa.
Yaani kabisa nilewe!!
Mbona chai huwa nakunywa na nakuwa fresh tu!
Mimi nahisi huwa wanatudanganya hawalewi wala nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Utakuja kuamka ujikute na Birthday suit halafu sehemu usiyoijua wahuni washasepa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28] hasa hasa kama kuna mziki mneneI talk a lot, Tena kwa sauti kubwa.
Usithubutu kuninong'oneza nikiwa nmelewa ntaropoka nikuumbue mbele za watu[emoji2][emoji2][emoji2]
Usinywe.Siku nataka nijaribu.
Nitanunua ,nikae nyumbani,ninywe nione inavyokuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakula vizuri?Tatizo stress,hasa wakati wa usiku.
Yaani hapa nawaza nalalaje aisee..imekuwa changamoto Sana.
Usiku huwa mrefu na mchungu mno kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nakumbuka struggle zangu na kuwakumbuka wazazi yan kama wangekuwepo maisha yangekua slope ni ujinga yan nikiamka asubuhi najicheka then najuta sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati unalia huwa unasema nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]
A wapi.
Mm nadhani hakuna kulewa ,ni stori za watu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app