ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Piga msosi mixa nyama nyama au michemsho flan kwanza kabla haujaanza kukata kiu na vyombo baridi barafu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ile holy man alikuja akavuruga ushauri ulionipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa tu kuna watu walishanikata maini[emoji23].
Ila isije kuwa kuna kutapika nikinywa[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijaribu mpendwaKumbe ni chungu!
Kama ni chungu basi itanishinda hata kabla sijaweka mdomoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe!Kulewa inategema na kichwa cha mtu.
Me nikilewa Sana nasinzia kinyama, kwanza siongeagi sana.Macho yanalegea kichwa huo muda kinaniambia kalale kalale weee. Yan napataga sana usingizi.
Nina rafiki yangu akilewa ni aibu kwa company nzima. Napataga tabu za kumshtua 'hey stop it stop that.
Nikilewa kidogo napata vibe la kudance, nakuwa happy hatari, nakuwa story teller naongea [emoji23]
Yote kwa yote pombe ukijua kuicontrol mbona pambe tu. Ni nzuriiiiiiiii, me hainiendeshi, naweza kata 3 months sijaitia mdomoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anatuzingua huyu yani mi sikumuelewa kabisa yuko serious anaagiza maji afu anasema anatamani anywe. Sijui opportunity anayosubiria ni opportunity ya aina gani na itashukaje kutoka mbinguni. Nadhani anasubiri mbingu ifunguke sauti isikike kutoka mawinguni ikisema "piga vyombo mwanangu mpendwa niliyependezwa nawe"
Kwa mishale tunayokwepa hapa duniani usipotumia kilevi utakufa mapemaRaha ya pombe utoe ahadi ambazo hazitekelezeki au kujipa vyeo ambavyo huna ..kunywa pombe na kwenda kulala ni matuzi mabaya ya pombe na afya yako
Kunywa pombe kisha zikipanda kichwani ambia watu upo na ajira za kutosha lakini huoni vijana waaminifu wa kufanya nao kazi.Wape zoezi la kuandika barua na CV wakuletee kesho uwape kazi
Wakati huo wewe unakunywa ili upunguze stress za maisha ya jobless .[emoji23][emoji23]ambaye hanywi pombe anakosa vitu vitamu sana kwenye dunia ilijojaa chuki, husda na kuvunja moyo
Unakuwa keyboard warrior... unapost unatamani kunywa ukikaa na wanywaji unanywea na kuagiza maji.... nikirudi nikutafute tufanye kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujabadili tu ushauri wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule fisi aliyekwepa risasi 49 lazma alikuwa mtumiaji wa vyombo [emoji23][emoji23][emoji23] tena vikalikali... ndio maana akawa sharp sanaKwa mishale tunayokwepa hapa duniani usipotumia kilevi utakufa mapema
Muda huu siwezi kutoka kwenda kununua mkuu,nitakabwa na vibaka njiani.Kamata wine mda huu hapo room tia kwenye glass anza kunyonya mama..
Real men tunapiga dry [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulinichekesha ujue[emoji1787]
Halafu jamaa unakata kvant kama maji tu!
Inawezekana wanaweka tu maji mule wanatuzuga kuwa ni pombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu suruali luksi zote zimekatika jama wamekusachi kila kona wamebeba hadi mkandaKuanzisha ugomvi bar alafu asubuh najikuta na manundu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuwa keyboard warrior... unapost unatamani kunywa ukikaa na wanywaji unanywea na kuagiza maji.... nikirudi nikutafute tufanye kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikilewa nakuwa romantic, haya ni maneno niliyoambiwa na pisi. Yaani mahaba yanaongezeka maradufu. Naweza hata nikatoa machozi kwa ajili ya mapenzi nikinywa. Nabembeleza balaa. Na nakuwa mpole sana.
[emoji1787]Real men tunapiga dry [emoji23][emoji23]
Yan. wewe ukamsikiliza yule mr. Coffee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ile holy man alikuja akavuruga ushauri ulionipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa tu kuna watu walishanikata maini[emoji23].
Ila isije kuwa kuna kutapika nikinywa[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mvinyo umeruhusiwa bwana.Mwalimu wa dhambi[emoji16][emoji16][emoji16]huyo ni mama mtumishi vibaya mfanyavyo
Ukilewa unatibiwa na maji mengi na msosi, utakaa sawa baada ya muda. At least ukifika tu home unasalimia then straight kulala. Ukinywa the right amount utapata usingizi mmoja mramu hujawahi ona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikilewa utanirudisha?
Halafu ikifika jioni pombe hazijaisha kichwani itakuwaje?
Huo msala ntakaopata nyumbani[emoji2],
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yan. wewe ukamsikiliza yule mr. Coffee
Kutapika kupo kama utakula wali ndio unywe pombe. Au ukimix... Kuna siku nilimix vitu mimi kesho yake asubuh niliamkia kutapika [emoji23] nilijutaa
Nilianzia serengeti lite nikaona kama imekuwa chungu sana nikaiacha. nikaenda kwenye redds nikaona kama silewi nikapiga tot ya grant's. Tukahama kiwanja tulikohamia ikaagizwa saint Anna ikaisha tukaagiza dompo 'hii dompo niliwashauri, dompo ukimix na ice inakuwa tamu sana.
Weee kilichotukuta kesho yake? Tuliumwa mning'inio wa hatari, fanta haisikii, coka haisikii, soup haisikii mwili umechoka Chakula hakipandi, tulikuja kupona jioni baada ya kushtua na desperados.
Yan hapo ndio utajua drink responsibly uwa wanamaanishaje [emoji23]