abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Kahonga ada then anamlaumu mzee wa watu
Ulikula ada??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikula ada??
hahaSerikali imelipa zaidi ya 2.9 bilioni kama riba ya ucheleweshaji wa malipo kwa makandarasi, Prof: Assad anajifunza nini hapa?
Wakati ujenzi wa kipande cha Dar – Morogoro ulitakiwa kukamilika katika kipindi cha miezi 30 baada ya kuzinduliwa, na muda huo umepita, haifahamiki sababu za kuchelewa kwake wala siku ya kuanza kutumika. CAG Charles Kichere alibainisha katika ripoti yake ya miradi ya maendeleo ya mwaka 2019/20...www.jamiiforums.com
Prof. Safari ni mtu mzima kuliko Assad, ni mwanasheria na ni mtu anayechagua sana maneno ya kuzungumza na siyo mtu wa direct confrontation. He is reserved. Prof Assad ni liberal, with wide knowledge ya public accounts, public financing, commissioned studies etc. Siyo mtu wa kujiuliza mara mbili napoona kitu kinaharibika. Tabia zote mbili zina faida na hasara zake, na ainayote hii ya watu wanahitajikaWengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
haya mambo watu huwa wayajaui wanaenda kwa kufuata upepo tu .. Assad haonekani kama ni mtu mwema. anaonekana ni mtu mwenye ujivuni na ujeuri. inawezekana darasani alikuw ana akili lakini katika kuishi na watu na kuelewa nini na wakati gani aongee ni zero kabisa. kama akielekezwa vizuri akajifunza anaweza kutgumia elimu yake vizuri kwa manufaa ya watu wengine pia
unakumbuka kauli yake kuwa wafanyakazi wa serikali karibia wote ni vilaza? una baba au mama mtumishi? wewe mtumishi wa serikali?
umekuja mtetea bwana ako kumbe? ndiye unajua anavyokudindia? ndo maana.......
Naona umepigwa na kitu kizito kichwani
ni wapi au lini alisema ana high IQ?Mtu mwenye High IQ hawezi kujisifu hata siku moja, bali huacha kupitia kazi yake watu wamsifu, hivyo mimi kwangu sijaona chochote kwa huyu ,,Profesa“ usisahau kwamba neno Prof. Tanzania liko misused sana, wengi wao wanaojiita Prof. hawawezi kupata chair yoyote popote pale Duniani ya kufanya research ya maana, ni kisiasa zaidi.
Duuu Mayalla nimemsikiliza Prof Assad aisee jamaa yuko vizuri mno... Sijui kwanini Africa akili kubwa kama hizi zinawekwa bench..You cant be smart on a field yournot playing, you cant get a health advice from a conductor, likewise with asaad
nguruwe jike acha mihemko basi.... wewe ni mke mdogo?Ninyi panya buku Prof.Assad au Simba ni habari nyingne
nguruwe jike acha mihemko basi.... wewe ni mke mdogo?
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
nguruwe jike acha mihemko basi.... wewe ni mke mdogo?
Hakuna uhusiano Kati ya hizo thread unazoleta Kama ushahid na kilichotokea Uganda.Serikali imelipa zaidi ya 2.9 bilioni kama riba ya ucheleweshaji wa malipo kwa makandarasi, Prof: Assad anajifunza nini hapa?
Wakati ujenzi wa kipande cha Dar – Morogoro ulitakiwa kukamilika katika kipindi cha miezi 30 baada ya kuzinduliwa, na muda huo umepita, haifahamiki sababu za kuchelewa kwake wala siku ya kuanza kutumika. CAG Charles Kichere alibainisha katika ripoti yake ya miradi ya maendeleo ya mwaka 2019/20...www.jamiiforums.com
CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?
Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash - ------------- Top Ugandan officials have been boxed into a corner of bother after lenders in China rejected their request to re-negotiate ‘toxic clauses’ in the $200m (Shs713b) loan picked six years ago to expand Entebbe...www.jamiiforums.com
ukasome izo kwanza
HahahahaaHuyo mzee assad msenge sana nusu anifanye nisimalize chuo kisa ada. Namchukia sana boya huyo
Huelewi unachokiandika ni nonsense.wala hauhitaji mihemko kujua jamaa ni zero brain, ni ajabu sana mtu anapokea ushauri kutoka kwa kiumbe ambae hajui biashara, hana biashara inaojulikana, hana familia yenye background ya biashara, na wala hajawahi soma biashara! Lakini unapokea ushauri kutoka kwake , ndo yale tunasema mjinga na mjinga wanapokea ushauri
Haiondoi ukweli aliifanya kazi yake kwa usmart mkubwa mnoWengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa profesa Mussa Assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. Ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. Ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana.
Ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize Prof Safari alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. Prof Assad alikuwa anasukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo.
Tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za Afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. Huyu prof aliendeshwa na miheko zaidi kuliko uhalisia.