Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Watanzania wana tabia hii ya kuchongeana maana hata 🇬🇧 walichongeana wengine wakawachoma mpaka shangazi zao
Yaani dada wa baba zao
Wazenji ndio walikuwa wanaongoza kwa kuwachoma tena bila hela ila roho mbaya tu
Wasomali watoto wa baba tena wanakupa njia zote za kufanya na pa kulala wanakupa
 
Sijaona roho mbaya hapo. Kumwokoa mtanzania mwenzako aache kuishi kama digidigi ni roho mbaya?
Hiyo sio kumuokoa, ila ni kumkomoa., jamaa alichoandika ni sahihi sana, Wabongo waliopo Nchi za watu wamekuwa na mambo ya hovyo sana, kuna kipindi jamaa yangu aliwahi kunichoma kwa watu wa Uhamiaji, Wakenya sikuona hizo mambo kwao, ila Wabongo mpka kesho wanafanya huo ujinga.
 
Mtu mweusi ana roho mbaya sana.

Wakenya na wabongo wanawachongea wenzio ambao wanaishi sasa hivi kwa kujificha kwasababu hawana vibali vinavyowataka waishi Marekani baada ya Serikali ya Trump kutoa agizo wote wakamatwe na warudishwe.

Licha ya zoezi hilo pia kuna dau la dollar 750 ukimripoti mhamiaji yoyote haramu.

Kutokana na hilo watu wanachongeana sana.

Rafiki yangu ambaye yuko Texas amenithibitishia tabia hii ya roho mbaya na ya kichwani ipo sana kwa wakenya na wabongo hata kabla ya Trump kuingia madarakani majuzi.

Ni vigumu kukuta jamii ya mexico huko wanawachongea wenzao warudishwe.

Hali ya hofu na sintofaham ya ndugu zetu ambao makaratasi yao yana mushkel imetanda sana.

Wanaishi maisha ya hofu na huzuni kwa kujifungia na kujificha ambapo inawawia vigumu kupata mahitaji ya kila siku kwasababu hawaendi kazini na kukosa vipato vya kuwasaidia katika maisha ya kila siku.

Niggers wengine Bongo kama chawi Webabu tumesoma humu wakiomba na kusheherekea wapambanaji mtoni warudishwe. Sasa wakirudishwa sukari itashuka bei ama mafuta ya kula au petrol? Roho ya kichawi kabisa.

Tuwaombeeni ndugu zetu na Mungu awatangulie.

Mungu ingilia kati!

My take

Jamii ya wa wasomali marekani wanawasaidia wenzao ambao hawana makaratasi. Hadi mmbunge msomali ilhan Omar amewapa maelekezo undapo wakikamatwa jinsi ya kufanya wasizungumze chochote. Kwasababu hawana haki yakukuuliza information zako. Wasomali wanasaidiana sana kwenye shida.

Nyau de adriz
Huyu mtu mweusi kapewa Uenyekiti wa Chama cha Conservative, kachukuwa nafasi ya yule Rishi Sunak alokuwa Waziri Mkuu, sasa hayo ndio maazimio alokuja nayo.
Wakati yeye mwenyewe ni mkimbizi katokea Nigeria ila sasa karamba asali anaweka sheria ngumu kwa wahamiaji wenzake yule Baniani yeye alipopata tu ile fursa ya Uwaziri Mkuu basi aliingiza Wahindi wenzake wasiopungua millioni 3 katika kipindi chake.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-02-10 at 6.41.14 PM.mp4
    7.7 MB
Watanzania wana tabia hii ya kuchongeana maana hata 🇬🇧 walichongeana wengine wakawachoma mpaka shangazi zao
Yaani dada wa baba zao
Wazenji ndio walikuwa wanaongoza kwa kuwachoma tena bila hela ila roho mbaya tu
Wasomali watoto wa baba tena wanakupa njia zote za kufanya na pa kulala wanakupa
Sahihi kabisa Mkuu, huko kuna vikundi vya kinafiki acha kabisa, kuna watu wametangulia huko so kila mgeni wanataka kumjua na kutaka aishi watakavyo,sasa ukienda kinyume nao ndio mambo ya kufuatiliana yanaanza,
 
Mtu mweusi ana roho mbaya sana.

Wakenya na wabongo wanawachongea wenzio ambao wanaishi sasa hivi kwa kujificha kwasababu hawana vibali vinavyowataka waishi Marekani baada ya Serikali ya Trump kutoa agizo wote wakamatwe na warudishwe.

Licha ya zoezi hilo pia kuna dau la dollar 750 ukimripoti mhamiaji yoyote haramu.

Kutokana na hilo watu wanachongeana sana.

Rafiki yangu ambaye yuko Texas amenithibitishia tabia hii ya roho mbaya na ya kichwani ipo sana kwa wakenya na wabongo hata kabla ya Trump kuingia madarakani majuzi.

Ni vigumu kukuta jamii ya mexico huko wanawachongea wenzao warudishwe.

Hali ya hofu na sintofaham ya ndugu zetu ambao makaratasi yao yana mushkel imetanda sana.

Wanaishi maisha ya hofu na huzuni kwa kujifungia na kujificha ambapo inawawia vigumu kupata mahitaji ya kila siku kwasababu hawaendi kazini na kukosa vipato vya kuwasaidia katika maisha ya kila siku.

Niggers wengine Bongo kama chawi Webabu tumesoma humu wakiomba na kusheherekea wapambanaji mtoni warudishwe. Sasa wakirudishwa sukari itashuka bei ama mafuta ya kula au petrol? Roho ya kichawi kabisa.

Tuwaombeeni ndugu zetu na Mungu awatangulie.

Mungu ingilia kati!

My take

Jamii ya wa wasomali marekani wanawasaidia wenzao ambao hawana makaratasi. Hadi mmbunge msomali ilhan Omar amewapa maelekezo undapo wakikamatwa jinsi ya kufanya wasizungumze chochote. Kwasababu hawana haki yakukuuliza information zako. Wasomali wanasaidiana sana kwenye shida.

Nyau de adriz
Ndio maana nikiendaga ulaya na china sichekagi na mtanzania, ana roho mbaya akiwa huko nje tena sana, kwanza ukiwa una hela wanakufuata na zikiisha wanakukimbia na kukuibia hahaha shikamoo ngozi nyeusi. Wamarekan akija kwangu naongea kisandawi hadi watabroo
 
Sahihi kabisa Mkuu, huko kuna vikundi vya kinafiki acha kabisa, kuna watu wametangulia huko so kila mgeni wanataka kumjua na kutaka aishi watakavyo,sasa ukienda kinyume nao ndio mambo ya kufuatiliana yanaanza,
Huwa sijishughulishi nao kabisa hao maana ni wanafiki na wabaya
Wana roho za kichawi haswa
 
waje tulime vitunguu huku Gonja :3Heading:
Screenshot_20250211-125538.png
 
Mtu mweusi ana roho mbaya sana.

Wakenya na wabongo wanawachongea wenzio ambao wanaishi sasa hivi kwa kujificha kwasababu hawana vibali vinavyowataka waishi Marekani baada ya Serikali ya Trump kutoa agizo wote wakamatwe na warudishwe.

Licha ya zoezi hilo pia kuna dau la dollar 750 ukimripoti mhamiaji yoyote haramu.

Kutokana na hilo watu wanachongeana sana.

Rafiki yangu ambaye yuko Texas amenithibitishia tabia hii ya roho mbaya na ya kichwani ipo sana kwa wakenya na wabongo hata kabla ya Trump kuingia madarakani majuzi.

Ni vigumu kukuta jamii ya mexico huko wanawachongea wenzao warudishwe.

Hali ya hofu na sintofaham ya ndugu zetu ambao makaratasi yao yana mushkel imetanda sana.

Wanaishi maisha ya hofu na huzuni kwa kujifungia na kujificha ambapo inawawia vigumu kupata mahitaji ya kila siku kwasababu hawaendi kazini na kukosa vipato vya kuwasaidia katika maisha ya kila siku.

Niggers wengine Bongo kama chawi Webabu tumesoma humu wakiomba na kusheherekea wapambanaji mtoni warudishwe. Sasa wakirudishwa sukari itashuka bei ama mafuta ya kula au petrol? Roho ya kichawi kabisa.

Tuwaombeeni ndugu zetu na Mungu awatangulie.

Mungu ingilia kati!

My take

Jamii ya wa wasomali marekani wanawasaidia wenzao ambao hawana makaratasi. Hadi mmbunge msomali ilhan Omar amewapa maelekezo undapo wakikamatwa jinsi ya kufanya wasizungumze chochote. Kwasababu hawana haki yakukuuliza information zako. Wasomali wanasaidiana sana kwenye shida.

View attachment 3233106

Nyau de adriz
Huyu kwenye video nauhakika ni mchongeaji kwasababu ana makaratasi kwasababu anavyochekelea na furaha anavyoitangaza hii habari.

RRONDO Extrovert mshamba_hachekwi min -me Black Sniper Nifah Chaliifrancisco

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom