Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Watanzania wana tabia hii ya kuchongeana maana hata 🇬🇧 walichongeana wengine wakawachoma mpaka shangazi zao
Yaani dada wa baba zao
Wazenji ndio walikuwa wanaongoza kwa kuwachoma tena bila hela ila roho mbaya tu
Wasomali watoto wa baba tena wanakupa njia zote za kufanya na pa kulala wanakupa
 
Sijaona roho mbaya hapo. Kumwokoa mtanzania mwenzako aache kuishi kama digidigi ni roho mbaya?
Hiyo sio kumuokoa, ila ni kumkomoa., jamaa alichoandika ni sahihi sana, Wabongo waliopo Nchi za watu wamekuwa na mambo ya hovyo sana, kuna kipindi jamaa yangu aliwahi kunichoma kwa watu wa Uhamiaji, Wakenya sikuona hizo mambo kwao, ila Wabongo mpka kesho wanafanya huo ujinga.
 
Huyu mtu mweusi kapewa Uenyekiti wa Chama cha Conservative, kachukuwa nafasi ya yule Rishi Sunak alokuwa Waziri Mkuu, sasa hayo ndio maazimio alokuja nayo.
Wakati yeye mwenyewe ni mkimbizi katokea Nigeria ila sasa karamba asali anaweka sheria ngumu kwa wahamiaji wenzake yule Baniani yeye alipopata tu ile fursa ya Uwaziri Mkuu basi aliingiza Wahindi wenzake wasiopungua millioni 3 katika kipindi chake.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-02-10 at 6.41.14 PM.mp4
    7.7 MB
Sahihi kabisa Mkuu, huko kuna vikundi vya kinafiki acha kabisa, kuna watu wametangulia huko so kila mgeni wanataka kumjua na kutaka aishi watakavyo,sasa ukienda kinyume nao ndio mambo ya kufuatiliana yanaanza,
 
Hakuna Ukweli wowote ule na taarifa hizi.
Puuzeni
Kwamba>
Huu Uzi umeletwa makusudi kuwatukana Watanzania.
Mkuu siyo upotoshaji. Jaribu kufanya tafiti ulizia walioko marekani watakuambia. Wapo hata humu JF na Facebook.
 
Ndio maana nikiendaga ulaya na china sichekagi na mtanzania, ana roho mbaya akiwa huko nje tena sana, kwanza ukiwa una hela wanakufuata na zikiisha wanakukimbia na kukuibia hahaha shikamoo ngozi nyeusi. Wamarekan akija kwangu naongea kisandawi hadi watabroo
 
Sahihi kabisa Mkuu, huko kuna vikundi vya kinafiki acha kabisa, kuna watu wametangulia huko so kila mgeni wanataka kumjua na kutaka aishi watakavyo,sasa ukienda kinyume nao ndio mambo ya kufuatiliana yanaanza,
Huwa sijishughulishi nao kabisa hao maana ni wanafiki na wabaya
Wana roho za kichawi haswa
 
Huyu kwenye video nauhakika ni mchongeaji kwasababu ana makaratasi kwasababu anavyochekelea na furaha anavyoitangaza hii habari.

RRONDO Extrovert mshamba_hachekwi min -me Black Sniper Nifah Chaliifrancisco

Nyau de adriz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…