Ukimripoti mtu uhamiaji Marekani ambaye hana makaratasi unalipwa usd 750. Wakenya na Watanzania wanachongeana balaa

Hao huko wanaojiita Wabajuni kutoka Kismayu- Somalia. Wabajuni ni Wasomali wenye asili ya Kibantu ( Pua zao na rangi ya ngozi yao ni sawa ya mimi na wewe)
Hapana mkuu achana na hao wabajuni
Wapo waliojilipua kama wasomali lakini ni wanyamwezi tu yaani wabongo kabisa
Hao ndio walichongeana
Walipokamatwa wakaletewa wasomali pure wawahoji kisomali
Wote walifeli na kurudishwa home
Watu wana roho za husda
 
Mbona hata milioni 2 hazifiki? Yaani umchome mqenzio umwaribie maisha kisa Dola 750? Kumbe Hawa watu ni njaa Kali sana
 
Kujifanya huongei Kiingereza si dawa. Utapelekwa detention Centre, utasota kule mpaka mwenyewe utasema kwenu ni wapi. After all kule immigration detention Centre kuna huduma ya ukalimani almost lugha kuu zote za dunia.
Ndio nitaongea majogoli mieeee, huko watakakonipelek nitatafuta na mchumba tuishi hukohuko
 
Kwanini mnaishi kama panya buku wakati nchi yenu ipo? Njooni huku tulipe tozo wote…
 
Balali atakuwa na vibari kweli?😁
 
Ukishavuka mpaka wa Tanzania acha mazoea na watanzania wenzako. Ukiwa hata hapo Lusaka jichanganye zaidi na wenyeji kuliko wabongo wenzio. Hii ni kwa sababu za kiusalama.
 

WATU WEUSI WANA ROHO MBAYA SANA
 
Kuna lijamaa lilienda US kiwizi wizi na halikunilipa pesa yangu sijui nikalichome nibebe kitita hicho. Nawaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…