Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.