Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
 
Na usipomsaidia anafuta kabisa namna ulivyomsaidia mwanzoni, wana msemo wao "yule ana hela", mi kuna ndugu zangu nimewakatia kamba ni miaka sasa na chuki imekuwa maradufu kanakwamba sijawahi wasaidia kabisa!
Ila uzuri wake hawajafa kwa kutowapa hela, bado wanapumua.
 
Waafrika hasa watanzania sio watu wa kujisumbua kuwasaidia.

Ni kuwaacha na mashida yao yawatwange kisawasawa mpaka akili ikae sawa.

Jamii ya watu weusi ipo kuteseka milele yote kwa sababu ya wivu na ujinga.
Na uvivu pia unachangia
Waafrika hasa watanzania sio watu wa kujisumbua kuwasaidia.

Ni kuwaacha na mashida yao yawatwange kisawasawa mpaka akili ikae sawa.

Jamii ya watu weusi ipo kuteseka milele yote kwa sababu ya wivu na ujinga.
 
Watanzania wengi hawana elimu ya pesa akiongeza kipato kidogo anaongeza na matumizi mwisho shida zinabaki pale pale
Ni ngumu sana kumsaidia mtu ambaye hana elimu ya pesa
Mkuu hiyo sio elimu ya pesa Ila ni utegemezi na udhembe uliokithiri. Mtu anaweza kuwa hana nidhamu ya pesa lakini akadeal na matatizo yake pasipo kutaraji mtu mwingine amtatulie
 
Kwakwel n kipengele... Kuna ndugu tena wa kike mdada mtu mzma mpka akanipa namba ya mwenye nyumba wake vile anavyosumbuliwa kodi nkaongea na faza house tukalsort nkamtumia kod ya miez 4 Toka apo sasa kila wikend anapga simu anataka 15000 akalewe aweke kichwa sawa mara na stress sana kaka angu leo sjui nakula nn Wabongo ss tabu tupu n bora wote kulia noki tu ukiombwa msaada na ww lia shida apo wote mtaish kwa aman
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Akili hizi zimeletwa na mbio za Mwenge na chama cha kijani
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Tenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.

Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
 
Kwakwel n kipengele... Kuna ndugu tena wa kike mdada mtu mzma mpka akanipa namba ya mwenye nyumba wake vile anavyosumbuliwa kodi nkaongea na faza house tukalsort nkamtumia kod ya miez 4 Toka apo sasa kila wikend anapga simu anataka 15000 akalewe aweke kichwa sawa mara na stress sana kaka angu leo sjui nakula nn Wabongo ss tabu tupu n bora wote kulia noki tu ukiombwa msaada na ww lia shida apo wote mtaish kwa aman
😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom