Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Tenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.

Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
Sahihi mkuu, wabongo wengi tuna unafiki na hatuna ujasiri wa kusema "Hapana" "Sina" "Siwezi"
Matokeo yake tunaishia kuishi kwa kunung'unika
 
Na usipomsaidia anafuta kabisa namna ulivyomsaidia mwanzoni, wana msemo wao "yule ana hela", mi kuna ndugu zangu nimewakatia kamba ni miaka sasa na chuki imekuwa maradufu kanakwamba sijawahi wasaidia kabisa! Ila uzuri wake hawajafa kwa kutowapa hela, bado wanapumua.
Siku nikifanikiwa kwenye hili nahisi nitatoboa... Nimejitahidi sana hapo kwenye ndugu lakini sijaona matunda hata kidogo zaidi nipo vile vile.
 
Huu uzi utafikiri wachangiaji wake, wote ni wazungu au wa mataifa mengine coz kila mtu anawaponda wabongo.

😀😀
Uzungu sio ngozi, ni itikadi tu na namna ya kuendesha maisha. Ukiendesha maisha kibepari we ni mzungu. Mzungu anajua mipaka ya msaada na haogopi kusema hawezi. We uchukie usichukie utajua mwenyewe.
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Inaelekea wewe tu ni zwazwa, Mtanzania ni mtu wa kumsaidia kweli jamani? Matatizo mengine haya mnajitakia wenyewe jamani.
 
Uzungu sio ngozi ni itikadi tu na namna ya kuendesha maisha. Ukiendesha maisha kibepari we ni mzungu. Mzungu anajua mipaka ya msaada na haogopi kusema hawezi. We uchukie usichukie utajua mwenyewe.
Yani hiyo itikadi ndio inaitwa Uzungu?
Vipi kuhusu mtu ambaye yeye haendeshi maisha yake kwa hizo itikadi,yeye ataitwaje? ataitwa kwa kutumia race gani ambayo ni opposite na hiyo uzungu.
 
Yani hiyo itikadi ndio inaitwa Uzungu?
Vipi kuhusu mtu ambaye yeye haendeshi maisha yake kwa hizo itikadi,yeye ataitwaje? ataitwa kwa kutumia race gani ambayo ni opposite na hiyo uzungu.
Mkomunisti au mjamaa kama alivyokuwa Mwasisi wa taifa hili😂! Hio ndio namna ya wabongo wengi ya kuishi. Tunategemea misaada zaidi kutoka katika ngazi ya familia hadi taifa. Tumelemaa
 
Uzungu sio ngozi, ni itikadi tu na namna ya kuendesha maisha. Ukiendesha maisha kibepari we ni mzungu. Mzungu anajua mipaka ya msaada na haogopi kusema hawezi. We uchukie usichukie utajua mwenyewe.
Naam, uzungu ni Kama sera au iti kadi ya mtu.

Neno hili hali maanishi uzungu wa sura, ila itikadi na mwenendo ulio katika mstari.

mfano, uki wahi kwenye kikao au sehemu yoyote, huo ni uzungu.

kuto kuwa na roho ya korosho kwa masela, kisa pisi. Huo nao ni uzungu.
Neno la misimu hili.
 
Naam, uzungu ni Kama sera au iti kadi ya mtu.

Neno hili hali maanishi uzungu wa sura, ila itikadi na mwenendo ulio katika mstari.

mfano, uki wahi kwenye kikao au sehemu yoyote, huo ni uzungu.

kuto kuwa na roho ya korosho kwa masela, kisa pisi. Huo nao ni uzungu.
Neno la misimu hili.
Eeh na linatumika sana hilo.

Ukisikia boss wangu mzungu sana, ujue huyo boss kutoa tip ni kawaida na habanii watu kwenye haki na maslahi yao.

Kinyume na hapo boss ni mkoloni.
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Bro umenena ,hii ni kweli kabisa ukimsaidiq mtu next time tena anarudi kwako.

Chakufanya, uwe hueleweki ukimsaidia next time anakuja sema hauko vizuri.

Mininamfano mzuri, kuna dada aliniomba nimsaidie hela, nikampa, ikawa kila mwisho wa mwezi tarehe za 20s ananiomba kiasi kile kile ,ikabidi niwe nampa miezi mingine simpi saiv kashaacha huo ujinga
 
Kwakwel n kipengele... Kuna ndugu tena wa kike mdada mtu mzma mpka akanipa namba ya mwenye nyumba wake vile anavyosumbuliwa kodi nkaongea na faza house tukalsort nkamtumia kod ya miez 4 Toka apo sasa kila wikend anapga simu anataka 15000 akalewe aweke kichwa sawa mara na stress sana kaka angu leo sjui nakula nn Wabongo ss tabu tupu n bora wote kulia noki tu ukiombwa msaada na ww lia shida apo wote mtaish kwa aman
Eti kaka angu sijui nitakula nini[emoji23]
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu ?
By Mzilankende
 
Back
Top Bottom