Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Ukimsaidia Mbongo jambo au fedha, kila tatizo atataka umsaidie tena. Hii ni ishara ya Low IQ

Mkuu hiyo sio elimu ya pesa Ila ni utegemezi na udhembe uliokithiri. Mtu anaweza kuwa hana nidhamu ya pesa lakini akadeal na matatizo yake pasipo kutaraji mtu mwingine amtatulie
Hivi hamna jinsi ya kuweka hili somo darasani maana hakika umaskini wetu umeanzia hapa na hata ukijaribu kugusia hili UTAONA jinsi utachambwa mara mchoyo mara roho mbaya ila ukweli ni janga la taifa.
 
Tenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.

Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
Hivi utaendaje wakati ni ndg zako mfano Mimi nilikuwa na ndg yangu yeye ni mlevi nikamtafutia kazi hela haweki ni kulewea tu kodi anataka nimlipie. Siku moja akafungiwa nje usiku saa nne anakuja kwangu hapo Kuna ndg wengine wawili . Nikaanglia nikawaambia kamwandalieni chumba cha nje huko yaani ndio akawa amefika hakuondoka tena story ni ndefu ila alikaa miaka kama 2 nikawa nimezuia mshahara wake nikamjengea room 3.

Wanakera sana aisee alafu hizo lawama sasa
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Kazini kuna kazi. Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu hata mara 100 usichoke wala usilete makasiriko mkuu. Jitahidi umsaidie kadiri ya uwezo wako na pale ambapo haiwezekani mwambie ukweli ili asiendelee kutegemea msaada wako.

Huwezi jua kuna watu hawafanikiwi mpaka wapitie kwa mtu fulani na si kila mtu. Yawezekana huyo brother hana mwingine wa kumsaidia matatizo yake zaidi yako wewe. Dunia duara mkuu wangu. Chonde chonde usikate tamaa yawezekana barka zako zinatoka hapo unapotoa msaada.
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.

kama una uwezo wa kumsaidia mtu, msaidie tu. maisha haya ni ya kupitia. Na fedha na kila kitu tutakiacha hapahapa duniani. Tuliikuja watupu na tutaondoka watupu.
 
Tuangalieni nyumba zetuwatu wanaokwenda kazini na watu wanaolala je tunafanana jibu utalo pata ndio utajua.
 
Tenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.

Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
Kweli kabisa
 
Eeh na linatumika sana hilo.

Ukisikia boss wangu mzungu sana, ujue huyo boss kutoa tip ni kawaida na habanii watu kwenye haki na maslahi yao.

Kinyume na hapo boss ni mkoloni.
huwa tuna waita roho ya korosho au beberu la kihindi.

Mpambania ma deal au haki, tuna kuita samaki shujaa😄😄
 
Kazini kuna kazi. Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu hata mara 100 usichoke wala usilete makasiriko mkuu. Jitahidi umsaidie kadiri ya uwezo wako na pale ambapo haiwezekani mwambie ukweli ili asiendelee kutegemea msaada wako.

Huwezi jua kuna watu hawafanikiwi mpaka wapitie kwa mtu fulani na si kila mtu. Yawezekana huyo brother hana mwingine wa kumsaidia matatizo yake zaidi yako wewe. Dunia duara mkuu wangu. Chonde chonde usikate tamaa yawezekana barka zako zinatoka hapo unapotoa msaada.
Hizi ndio comment za great thinker sasa.....
 
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Kwani kukataaa unaona Nini??
 
Back
Top Bottom