Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Tanzania Ya ViwandaKazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania Ya ViwandaKazi kweli kweli
Hivi hamna jinsi ya kuweka hili somo darasani maana hakika umaskini wetu umeanzia hapa na hata ukijaribu kugusia hili UTAONA jinsi utachambwa mara mchoyo mara roho mbaya ila ukweli ni janga la taifa.Mkuu hiyo sio elimu ya pesa Ila ni utegemezi na udhembe uliokithiri. Mtu anaweza kuwa hana nidhamu ya pesa lakini akadeal na matatizo yake pasipo kutaraji mtu mwingine amtatulie
Mkuu, huyu anapaswa kukupa wewe 10% kama shukrani kila mwisho wa mwezi. Sio kwa lazima bali kwa hekima zake na uungwana..Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sijawahi kuona umeandika ujinga JF katika comments zako zote. Congrats..Mkuu huo ni mzigo exceptional na nadhani ni malezi pia yanapelekea mtu kuona msaada ni haki yake.
Mtu wa namna hiyo ni kumuacha ajifunze in a hard way
Hivi utaendaje wakati ni ndg zako mfano Mimi nilikuwa na ndg yangu yeye ni mlevi nikamtafutia kazi hela haweki ni kulewea tu kodi anataka nimlipie. Siku moja akafungiwa nje usiku saa nne anakuja kwangu hapo Kuna ndg wengine wawili . Nikaanglia nikawaambia kamwandalieni chumba cha nje huko yaani ndio akawa amefika hakuondoka tena story ni ndefu ila alikaa miaka kama 2 nikawa nimezuia mshahara wake nikamjengea room 3.Tenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.
Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
Kazini kuna kazi. Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu hata mara 100 usichoke wala usilete makasiriko mkuu. Jitahidi umsaidie kadiri ya uwezo wako na pale ambapo haiwezekani mwambie ukweli ili asiendelee kutegemea msaada wako.Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Ataitwa "M-bongo" kama wanavyoitwa katika mada hii..Yani hiyo itikadi ndio inaitwa Uzungu?
Vipi kuhusu mtu ambaye yeye haendeshi maisha yake kwa hizo itikadi,yeye ataitwaje? ataitwa kwa kutumia race gani ambayo ni opposite na hiyo uzungu.
Too much katika jambo lolote lile sio kitu kuzuri hata kidogo. Iwe kwenye kuomba msaada au kunywa beers..Mkomunisti au mjamaa kama alivyokuwa Mwasisi wa taifa hili😂! Hio ndio namna ya wabongo wengi ya kuishi. Tunategemea misaada zaidi kutoka katika ngazi ya familia hadi taifa. Tumelemaa
Ataitwa mwafrika.Yani hiyo itikadi ndio inaitwa Uzungu?
Vipi kuhusu mtu ambaye yeye haendeshi maisha yake kwa hizo itikadi,yeye ataitwaje? ataitwa kwa kutumia race gani ambayo ni opposite na hiyo uzungu.
Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.
Kweli kabisaTenda wema uende zako, tuache unafiki pia tujifunze matumizi ya maneno "Hapana"..."Sina"..."Siwezi"... Hii itatuondolea kero nyingi kwenye maisha. Kama yote yatakushinda basi kaa kimya, ni njia ya hekima zaidi ya ku reject constructively.
Kinachotuponza wabongo ni kutaka kuonekana wema kwa kila mtu huku tukiugulia chini chini. Matokeo ni kuja kulalamika upande wa pili.
huwa tuna waita roho ya korosho au beberu la kihindi.Eeh na linatumika sana hilo.
Ukisikia boss wangu mzungu sana, ujue huyo boss kutoa tip ni kawaida na habanii watu kwenye haki na maslahi yao.
Kinyume na hapo boss ni mkoloni.
Hizi ndio comment za great thinker sasa.....Kazini kuna kazi. Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu hata mara 100 usichoke wala usilete makasiriko mkuu. Jitahidi umsaidie kadiri ya uwezo wako na pale ambapo haiwezekani mwambie ukweli ili asiendelee kutegemea msaada wako.
Huwezi jua kuna watu hawafanikiwi mpaka wapitie kwa mtu fulani na si kila mtu. Yawezekana huyo brother hana mwingine wa kumsaidia matatizo yake zaidi yako wewe. Dunia duara mkuu wangu. Chonde chonde usikate tamaa yawezekana barka zako zinatoka hapo unapotoa msaada.
Kwani kukataaa unaona Nini??Hi!
Binadamu mwenye akili timamu au mwenye standard IQ anapaswa awe na aibu na utu.
Nilomsaidia brother mmoja kumnunulia simu baada ya kuona simu yake ina matatizo. Sasa anataka nimsaidie kununua kaunta book za watoto wake. Anapiga simu kama ugomvi.
Nilomsaidia mtu kupata kazi mahali kipindi akiwa apecha alolo. Mshahara pamoja na posho around 700k-900k.
Sasa amelijua jiji anaona pesa ndogo anataka kazi kwenye kampuni zingine, Cha ajabu anataka tena Mimi nimsumbukie kumtafutie tena kazi huko ili aaache pa sasa.
Mifano iko mingi sana.
Ukimsaidia tu mbongo huyo atakuwa mgeni wako na kama mwanamke atataka muwe wapenzi ili akuvune zaidi.