UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

Eti ni kweli Bosi (Bill Gates) huwa hanuniwi sababu ya kutegemea misaada [emoji848][emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Oky hapo sasa naanza kupata concept.. hivo generally kwa mtoto aliezaliwa na HIV imekaaje hyo baada ya miaka kumi na kuendelea ana uwezekano wa kufeli ini na figo..?
Sijasema lazima lazima mtumiaji wa ARVs kwa miaka 10+ anafeli figo

Big nooooooooooooooooooooo
 
Eti ni kweli Bosi (Bill Gates) huwa hanuniwi sababu ya kutegemea misaada [emoji848][emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu maana inashangaza kua bado kenya wanamkaribisha na kilichowakuta watoto wao wakike juu ya HPV vaccine

Yaaani........imeishia kua under carpet [emoji23][emoji1787]
 
Sikia nikwambie kama haushi kwenye hizi jamii basi jifunze, ndoa zina siri sana utakuta Baba hajiwezi kama ni kisukari Mama anamhudumia tu tumewaona wengi tu
Aaah...! Nikiwaza yule Ke alivyokuwa akimfanyia Mumewe mwenye kisukari huwa naumia sana...[emoji24]

Ilifikia hatua akawa anagongwa hovyo hovyo na vijana wadogo na wakati mwingine hadi hapo hapo kwake kwakweli Mungu aniepushie mbali na hiyo adha [emoji119][emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hii code nineshindwa kuelewa mkuu
 
Tulia mwanawane pata somo hapo. Sie wengine tunacheka tuu lakini hili la arv mie wala situmii na nadunda mwaka wa 22. Ni mwendo wa mazoezi na chakula tuu
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Huna hatia (ii) dig down tena.....
 
Wala skupingi kwa hilo mkuu

Shida ungeanza then ukaacha tungekua tushakusahau tayar
Ni kweli mie kuna jamaa aliniambia yupo kwenye centre for aids research kwamba kama ukigundua mapema bado ni hiv tuu mbona unatwanga maisha bila arvs.
Pia akasema kuwa upo likely kupata ngoma kutoka kwa mke au gelofrend kuliko malaya sema ni vile tuu hawawezi kama serikali shauri watu wahamie kwa malaya ila ukweli ndio huo
 
Ila kama hujaanza dawa....unakua most infectious....yaan kumuambukiza mtu ni kugusa tu mkuu
 
Hapo sasa kwenye kuliko kwa malaya..πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ila kama hujaanza dawa....unakua most infectious....yaan kumuambukiza mtu ni kugusa tu mkuu
Ah sasa wee sii umeambukizwa wacha na wengine waambukizwe, ebwana hii biashara ya watu lazima arv ziuzike sasa watu wasipo uguwa ngoma wengine wakale wapi. Kufa kufaana jomba
 
Hapo sasa kwenye kuliko kwa malaya..πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Oh wenza ndio wanatupeleka kaburini mwenyewe aloyekuwa gelofrend wangu ndio kaniunganisha kwa grid. Bora ningeendeleaga na malaya tuu🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…