Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Ni dhairi kupata ngoma si mara zote ni kufa, hii ni kama there is exception to every general ruleKwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Sio kwelienyew na mmi najua ni mpka kuwepo na michubuko kati ya hao watu wawil ambap wakifanya contact ya dam huo ugonjwa ndo unatokea,, sas kwa hao wanandoa itakua huwa wanaandaana vizur na mume kuhakikisha mke ameloa kabisaa ndipo wanashiriki tendo na mara nyingi kwa watu wa namna hii huwa hawafany mapenz ya mda mrefu yan masaa mengi unakuta ni dakika chache tu ili kuendelea kulindana na pia huwa wanaepuka hiz mambo za kushare vitu vyeny ncha kali au vile vitu vinavyo weza kusababisha wapate maambukizi
UKIMWI haupo ni myth, mpaka upime ndo utaupata! Njia ya uhakika ya kutopata ni kutopima!
Sio kweli
Huyo mwenye virusi vya ukimwi anatumia dawa vizuri na kwa muda mrefu
Mwathilika wa vvu akitumia dawa muda mrefu anakuwa undetectable au untransmittable hawezi kumwambukiza mwingine means viral load through treatment cannot sexually transmit the virus to others.
Na yule mwenza wake ambae hana maambukizi ya VVU atatumia dawa ya PrEP kirefu chake ni Pre-exposure prophylaxis ni dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU.
Kwa hiyo hao wanaweza kushiliki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote na watoto wakapata vizuri bila tatizo
...UKIMWI umeishakuwa Maradhi ya Kawaida TU, mradi unafuata yanayotakiwa. Kuna ndugu yangu ana Mwaka wa 17 Sasa Toka aambiwe ana UKIMWI !UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Hebu nipe link niwafuatilieWale waliopo Tiktok mke na mume ,mke kaathirika na mme hajaathirika kwa hiyo
Ukimwi kuna watu hawaambukizwi??maana wamezaa hadi watoto na hawatumii condom
Ila haya mambo tuendelee kusikia kwa wenzetu tu na Mungu atuepushe nayo
Asijali dawa zipo ila anatakiwa awe na mpunga wa maana, na aende abroad.UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
uyo apo ukute anajijua kama ameshaungua alitaka akupasie muwe saresare. jamaa wana roho mbaya kabisa.Ebu mpige picha tuone anavyohaha saiv.
Niliwah kuwa na mahusiano na mdada anayafakaz kwenye hicho chuo, Kila siku nilikua namfata stand na kumpeleka kwake ila nilikua siingii ndani... Kuna siku alinishawishi sana nilale kwake japo nilikubali ila visingizio nilitoa vya kutosha but ikashindikana
Tukaingia ndani zen tukaanza uchokozi wa wapendanao ikafikia hatua mbaya kosa alilolifanya alisema ngoja kwanza akaoge, alivorud mim nikiwa nimelala kitandani akanirukia Kwa furaha mtoto alikua mzuri balaaaaa Ile rangi ya mapaja ilikuwa ni moto.
Mungu alivyowaajabu nilijikuta nimemsukuma ghafla pembeni na kumwambia twende tukapime kwanza( wazo la kupima sikuwa nalo nilijikuta tu nimefanya hivyo bila kufikiria hapo ndo ujue mungu akitaka kukuepusha na kitu fulani hashindwi kitu)
Kwa shingo upande akakubali tutaelekea hospital na dokta akatuambia tuje kesho twende hospital kubwa maana mmoja wetu hayupo vizuri hivyo tukaangalie mnazi mmoja.
Mm nilikua naijua afya yangu na nazijua saikolojia za wanawake namna wanavyoshindwa kuhimili mambo kama hayo, nikamuomba msamaha sana kwamba Kuna sehem nilichepuka inawezekana ndo nimeambukizwa huko, basi naye akanipa pole sana na kushukuru nimemuokoa asijue kwamba ni yeye ndo mwenye tatizo. Kesho yake alinitafuta sana anipeleke hospital ila nikapiga chini coz ningeenda yeye ndo angeonekana ameungua halaf ningepata kazi ya kumtuliza
Tukapotezana
Majuzi namuona amepost tik tok mada za kumeza dawa na hajali kuhusu watu wanamchukuliaje, nikajisemea kimoyo moyo kwamba tayari ameshajijua
Mimi ni mtu wa kusafiri sana na huwa nakaa muda mrefu hivyo nikiwa narudi jambo la kwanza Kwa wife ni kupima mimba na ukimwi japo anahisi namuonea ila Hawa wadudu hawatabiriki Bora kinga kuliko kuombana msamaha na kuharibiana future
Huwa ata ndom bila kupima sigusi mkuu, wadada wengi wanapenda pigwa kavu na me wengi hawana msimamo kwenye hilo.Kinga(ndomu) ni muhimu wazee
[emoji478][emoji478]Sio kweli
Huyo mwenye virusi vya ukimwi anatumia dawa vizuri na kwa muda mrefu
Mwathilika wa vvu akitumia dawa muda mrefu anakuwa undetectable au untransmittable hawezi kumwambukiza mwingine means viral load through treatment cannot sexually transmit the virus to others.
Na yule mwenza wake ambae hana maambukizi ya VVU atatumia dawa ya PrEP kirefu chake ni Pre-exposure prophylaxis ni dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU.
Kwa hiyo hao wanaweza kushiliki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote na watoto wakapata vizuri bila tatizo
[emoji56][emoji56]sasa wewe jichanganyeWale waliopo Tiktok mke na mume ,mke kaathirika na mme hajaathirika kwa hiyo
Ukimwi kuna watu hawaambukizwi??maana wamezaa hadi watoto na hawatumii condom
Ila ndio ini na figo navyo vinafubaaMwambie aanze dawa mara moja kabla hajapata ukimwi nadhani bado yupo katika stages za mwanzo.
Tayari kashaunganishwa na grid ya taifa huyo ππππππ jirani mbona matusi na kwaresma?
Jana nimekutana na pisi moja niliiacha chuo imeisha mpaka imeisha tena, amekonda yule dada mpaka anajishtukia, alikuwa mzuri shepu yote imeporomoka.
UKIMWI NI HALI au sio ????
Kweli kabisaKwani kupata hiv kuna ujanja au ushamba mkuu? Ngoma anapata yoyote, awe mwaminifu anakutana na asiye mwaminifu...anapata.
Huwezi kutumia kinga kila mara, huwezi kuwa unapima kila mara.
Hakuna mwenye guarantee ya kutopata huu ugonjwa.