UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Ni dhairi kupata ngoma si mara zote ni kufa, hii ni kama there is exception to every general rule
 
enyew na mmi najua ni mpka kuwepo na michubuko kati ya hao watu wawil ambap wakifanya contact ya dam huo ugonjwa ndo unatokea,, sas kwa hao wanandoa itakua huwa wanaandaana vizur na mume kuhakikisha mke ameloa kabisaa ndipo wanashiriki tendo na mara nyingi kwa watu wa namna hii huwa hawafany mapenz ya mda mrefu yan masaa mengi unakuta ni dakika chache tu ili kuendelea kulindana na pia huwa wanaepuka hiz mambo za kushare vitu vyeny ncha kali au vile vitu vinavyo weza kusababisha wapate maambukizi
Sio kweli
Huyo mwenye virusi vya ukimwi anatumia dawa vizuri na kwa muda mrefu
Mwathilika wa vvu akitumia dawa muda mrefu anakuwa undetectable au untransmittable hawezi kumwambukiza mwingine means viral load through treatment cannot sexually transmit the virus to others.
Na yule mwenza wake ambae hana maambukizi ya VVU atatumia dawa ya PrEP kirefu chake ni Pre-exposure prophylaxis ni dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU.
Kwa hiyo hao wanaweza kushiliki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote na watoto wakapata vizuri bila tatizo
 
Sio kweli
Huyo mwenye virusi vya ukimwi anatumia dawa vizuri na kwa muda mrefu
Mwathilika wa vvu akitumia dawa muda mrefu anakuwa undetectable au untransmittable hawezi kumwambukiza mwingine means viral load through treatment cannot sexually transmit the virus to others.
Na yule mwenza wake ambae hana maambukizi ya VVU atatumia dawa ya PrEP kirefu chake ni Pre-exposure prophylaxis ni dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU.
Kwa hiyo hao wanaweza kushiliki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote na watoto wakapata vizuri bila tatizo

kumbe! bas kuna raia alinipa hayo matango[emoji23] mi nikaishi nayo
 
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.

Tuwe makini na wadada.
...UKIMWI umeishakuwa Maradhi ya Kawaida TU, mradi unafuata yanayotakiwa. Kuna ndugu yangu ana Mwaka wa 17 Sasa Toka aambiwe ana UKIMWI !
Hapo kati kati ndugu zetu kama Tisa hivi wameishafarikia Kwa malaria, Kwa kuharisha, Kwa Kisukari na Kwa homa TU!
Ajipe Moyo. UKIMWI umeishakuwa Ugonjwa wa Kawaida tuu, fuata Masharti...
 
nyie madogo wapumbavu kweli mimi
Miaka 3 nimekula wanawake 2 tu
Mama mwenye nyumba na First year niliyempata nikiwa second year
Na uhandsome niliweka uoga mbele nikawa naonekana mshamba
 
Hebu tupe kavideo tuone akimwaga chozi. Weka nakale kawimbo .. ukiona mtu mzimaaa..analia mbele za watu ujue kunajambo.
 
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.

Tuwe makini na wadada.
Asijali dawa zipo ila anatakiwa awe na mpunga wa maana, na aende abroad.
Uliwahi kuona wapi virus akiwa modified na ikakosekana dawa yake?
wazungu wanatuchezea sana.
 
Ebu mpige picha tuone anavyohaha saiv.

Niliwah kuwa na mahusiano na mdada anayafakaz kwenye hicho chuo, Kila siku nilikua namfata stand na kumpeleka kwake ila nilikua siingii ndani... Kuna siku alinishawishi sana nilale kwake japo nilikubali ila visingizio nilitoa vya kutosha but ikashindikana

Tukaingia ndani zen tukaanza uchokozi wa wapendanao ikafikia hatua mbaya kosa alilolifanya alisema ngoja kwanza akaoge, alivorud mim nikiwa nimelala kitandani akanirukia Kwa furaha mtoto alikua mzuri balaaaaa Ile rangi ya mapaja ilikuwa ni moto.

Mungu alivyowaajabu nilijikuta nimemsukuma ghafla pembeni na kumwambia twende tukapime kwanza( wazo la kupima sikuwa nalo nilijikuta tu nimefanya hivyo bila kufikiria hapo ndo ujue mungu akitaka kukuepusha na kitu fulani hashindwi kitu)

Kwa shingo upande akakubali tutaelekea hospital na dokta akatuambia tuje kesho twende hospital kubwa maana mmoja wetu hayupo vizuri hivyo tukaangalie mnazi mmoja.

Mm nilikua naijua afya yangu na nazijua saikolojia za wanawake namna wanavyoshindwa kuhimili mambo kama hayo, nikamuomba msamaha sana kwamba Kuna sehem nilichepuka inawezekana ndo nimeambukizwa huko, basi naye akanipa pole sana na kushukuru nimemuokoa asijue kwamba ni yeye ndo mwenye tatizo. Kesho yake alinitafuta sana anipeleke hospital ila nikapiga chini coz ningeenda yeye ndo angeonekana ameungua halaf ningepata kazi ya kumtuliza

Tukapotezana

Majuzi namuona amepost tik tok mada za kumeza dawa na hajali kuhusu watu wanamchukuliaje, nikajisemea kimoyo moyo kwamba tayari ameshajijua


Mimi ni mtu wa kusafiri sana na huwa nakaa muda mrefu hivyo nikiwa narudi jambo la kwanza Kwa wife ni kupima mimba na ukimwi japo anahisi namuonea ila Hawa wadudu hawatabiriki Bora kinga kuliko kuombana msamaha na kuharibiana future
uyo apo ukute anajijua kama ameshaungua alitaka akupasie muwe saresare. jamaa wana roho mbaya kabisa.

apo angekuambukiza hlf kinachofata anajiliza kuwa wew ndo umemwambukiza ndo walivyo hao watu waivyo
 
Sio kweli
Huyo mwenye virusi vya ukimwi anatumia dawa vizuri na kwa muda mrefu
Mwathilika wa vvu akitumia dawa muda mrefu anakuwa undetectable au untransmittable hawezi kumwambukiza mwingine means viral load through treatment cannot sexually transmit the virus to others.
Na yule mwenza wake ambae hana maambukizi ya VVU atatumia dawa ya PrEP kirefu chake ni Pre-exposure prophylaxis ni dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU.
Kwa hiyo hao wanaweza kushiliki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote na watoto wakapata vizuri bila tatizo
[emoji478][emoji478]
 
Back
Top Bottom