Upo chuo mwaka wa tatu halafu unaandika kama hivi mkuu? Unasoma chuo gani na kozi gani?Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
😀😀😀Madhara ya mkongo hayo.
🙏🙏🙏Upo chuo mwaka wa tatu halafu unaandika kama hivi mkuu? Wewe unasoma kozi gani? Chuo gani hiki mkuu?
Kabisa mkuuHapo hakuna atakaepata taharuki maana hapo ndio chimbuko kuu la HIV Tanzania.
UDSMchuo gan icho
Wapo wengiSawa nitakata chululuu
Kabisa mkuuKinga(ndomu) ni muhimu wazee
IFM
Nimemwambia afanye Toba, Ibadan sanaMuumbaji anavyosema l kwenye maandiko tukimbie zinaa na uasherati sisi tunamuona kama hajui anachosema.
That is obvious price we pay kwa kuchukulia poa maneno ya Mungu.
Akubali tu kulipa hiyo price ya uasherati, atubu na aanze upya.
Apana
Mtihani
dah ila kaa karibu na jamaa asije kufanya tukio maana kama mhusika anamuona kila siku humo ciass kwenu hili ni tatizo kubwa sana, halafu hao washikaji huenda kuna mmoja nayeye wanamjua aliyatimba kwa huyo demuWashkaji wamwembia demu wako anaukimwi
Amina Mungu asaidieHapa najikuta nawaza.
Kwani kuna jambo haliwezekani kwa Allah au na yeye anayaogopa baadh ya magonjwa.... Astaghfirurah
Mwenyez mungu ashindwi ila tatzo ni uchache wa imani zetu kwake!!!
Kama unaumwa maralia unaswali rakaa 2, ukilala unaamk umepona..... Kwanini HIV ishindikane!!!
Hii kitu inatibika bhana..... Ukihisi nafsi yako inapingana na mm tafsiri yake Mungu wako anamipaka kwenye utendaji kazi, Kuna vitu hawezi fanya (ila Mungu wangu hashindwi na chochote.🚶🚶🚶