Mungu atusaidieUnakuta ndiyo msomi wa ukoo ukoo ulijichanga nenda kasome lakini akaenda kuvuna kifo.
Ni huzuni sana na Tanzania hii isiyokuwa na ajira kijana aliyekuwa na malengo yake baada ya kuhitimu kuja kuishi akiwa guaranteed kwamba muda wowote ataumwa au atakufa huku akiwa ajira hana wala kibarua.
Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazikaShida sio utakufa lini. Ni ule uhakika kwamba muda wowote unaweza kufa.
Ukimwi ni death sentensi hata kama hutakufa kesho
Kabisa mkuuIla haya mambo tuendelee kusikia kwa wenzetu tu na Mungu atuepushe nayo
Mungu atusaidie mkuuKwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Mipango ya MunguNa hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.
Kumbe mtu ukipiga kigoli chako cha mapema tu inatosha, kikubwa point 3 sio idadi ya magoli.
Washkaj kavu kweli kwann hawakumtonya kabla hajapiga
Dogo kafanya kweli zamani tulikuwa tunaenda kupima mpaka mtu aone dalili za homa kwa hali hii nadhani wenye maambukizi watakuwa ni wengi bila wao kujijuaMm nampongeza jamaa kwa kujitoa muhanga ili kuzidi kuwathibitishia vijana kuwa ukimwi upo
Kwao ni Oster bayNyie si mmekuja mjini kutuonesha nyie ni mafundi wa mapenzi.
Badala mfate kilichowaleta.
Washkaji wamwembia demu wako anaukimwiDogo kafanya kweli zamani tulikuwa tunaenda kupima mpaka mtu aone dalili za homa kwa hali hii nazani wenye maambukizi watakuwa ni wengi bila wao kujijua
Mwambie aishi kwa matumaini pia afanye toba amrudie Mungu wake.Amekata tamaa anaona anakufa
Amina kikubwa Mungu 🙏🙏🙏Mwambie aishi kwa matumaini pia afanye toba amrudie Mungu wake.
Hata vya saa 72 haifai kwa sababu jibu lipo wazi kuwa ni +ve. Vile unatumia kama ni mzima ila unahisi kuna sehemu umeyakanyaga ndani ya 72.Hii unayoisema wewe ni valid ndani ya masaa 72 toka atiane
Ni wa kiumeAlivyokuwa anadinywa kavukavu alidhani nini kitatokea??
Amevuna alichopanda.
MtihaniMaskini! Afu wanapata ni wale “em ngoja nijaribu😞
Kwa demuUtatatumia ndomu kwa mwanamke mnaeishi nae
Jamaa anajinasibu ni mwanachuo, mwanachuo gani anaandika hovyo namna hii?Chuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?