Lakini sii ndio ukweli wenyeweAkija mzabzab hapa atatoa pongezi kwake kwamba “sasa anaweza kugegeda kwa uhuru bila hofu ya kuugua tena”.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini sii ndio ukweli wenyeweAkija mzabzab hapa atatoa pongezi kwake kwamba “sasa anaweza kugegeda kwa uhuru bila hofu ya kuugua tena”.
Hahaha mkuu usiseme IvyoNyie kenge tukiwaambia ukimwi upo hamsikii mnataka kushindana na mlipotoka..!!
Demu humjui unataka ukamie show umuonyeshe we kidume haya sasa dj tusindikize na Amapiano la kizombi 😂😂😂🤣
Weeee kmmk
Kwanini husomi
Mpaka usomewe
Ngono sio salama
Jitahidi usome…….. oyooooooo..!!!🤸♀️
Wala shida sio hiyo. Shida ni ile stigma unayo kuwa nayo ndani ya nafsi yako.Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
🙏🙏🙏jamaa anajinasibu ni mwanachuo, mwanachuo gani anaandika hovyo namna hii?
HahahaaaAkija mzabzab hapa atatoa pongezi kwake kwamba “sasa anaweza kugegeda kwa uhuru bila hofu ya kuugua tena”.
Alivyokuwa anadinya kavukavu alidhani atapata gold baada ya hapo??Ni wa kiume
Toba haimponyi yeye anatakiwa azingatie ARV na msos na aache stressNimemwambia afanye Toba, Ibadan sana
Kabisa mkuuWala shida sio hiyo. Shida ni ile stigma unayo kuwa nayo ndani ya nafsi yako.
Kumeza vidonge kila siku sio kazi ndogo
AminToba haimponyi yeye anatakiwa azingatie ARV na msos na aache stress
Mwambie anaweza sasa kugegeda kwa uhuru bila hofu ya kupata hiv🤣🤣🤣🤣🤣Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika, aisie analia mpaka basi amekata tamaa. Tuwe makini na wadada wanachukua kwa masponser.
Shukran mkuuPole sana kwake
Hee! Kwani kila mtu si atakufa?!Amekata tamaa anaona anakufa
Wanaoongoza kusambaza ukimwi sio Malaya wanaojiuza ila ni hawa tunaowaita wapenz wetu hawa ndo nomaUtatatumia ndomu kwa mwanamke mnaeishi nae
Dah sio sawa mkuu Mungu yupo na karma is reallyMwambie anaweza sasa kugegeda kwa uhuru bila hofu ya kupata hiv🤣🤣🤣🤣🤣
Ni mwendo wa kuwapelekea moto wadada tuu sasa
Kabisa mkuuWanaoongoza kusambaza ukimwi sio Malaya wanaojiuza ila ni hawa tunaowaita wapenz wetu hawa ndo noma
HofuHee! Kwani kila mtu si atakufa?!
Ina maana hajapima?Washkaji wamwembia demu wako anaukimwi