Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Unadhani EU na USA wameandika Barua bila kuwa na mtu wa ku coordinate?Kitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO