Ukimya wa mstaafu Kikwete tulidhani ni busara kumbe hamna kitu

Ukimya wa mstaafu Kikwete tulidhani ni busara kumbe hamna kitu

Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.

Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!

Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Kinachofanywa ni kufafanua Vifungu vya Mkataba, baaasi...!

Na Vifungu hivyo havimtaji Yesu Wala Roho Mtakatifu,vinahusu mambo ya jamii na Uchumi..! Vifungu hivyo vikirekebishwa vitakuwa na Manufaa kwa Wote Waislamu na Wakristo..!

Udini unatoka wapi hapo?

Hakuna anayepinga Uwekezaji bali Wapo wanaopinga MKATABA..!
 
Si Kanisa Katoliki, KKKT nk wenye kupinga uwekezaji. Wote wantamka hayo.
Sina tatizo na kanisa lolote liwe KKKT,Katoliki na hata kanisa la ufufuo na uzima la mchungaji gwajima.

Nina tatizo na kanisa linalowahamasisha wafuasi wake kupinga mkataba ndani ya kanisa.

Unapotoa waraka na kusema tutausoma kwa waumini wetu wote ndani ya kanisa na kwenye vigango na parokia zetu zote maana yake nini?kwamba ungesoma kwa kila mtu bila ya kuhamasisha waumini wako tu ndani ya kanisa ujumbe wa waraka usingefika?

Kwanini uwasomee waumini wako tu tena ndani ya kanisa jambo linalohusu nchi ambayo haina dini?

Haushii hapo unaanza na kuitisha mamlaka kwamba nyinyi mna mizizi na hambahatishi hii tafsiri yake nini?
2. Hayupo anayeupinga mkataba huu aliyetamka anaupinga kwa sababu ya vionjo vyovyote vya dini.
Wapo na usitarajie wakiupinga kwa misingi ya dini watasema tunapinga kwa misingi ya dini.

Tanzania kuna makanisa mengi tofauti tofauti ni katoliki tu ndiyo waliowasomea waumini wao kupinga huu mkataba tena ndani ya kanisa kwanini wasiwasomee watanzania wote na kuwahamasisha watanzania wote wa dini zote.

Kuthibitisha kwamba wao wamejizatiti peke yao wakaanza kusema RC ni kanisa kubwa lina mizizi mpaka kwenye kaya na halibahatishi wakiimaanisha wao peke yao wanatosha sio waislamu wala dhehebu lingine huu kama sio udini ni nini?
Hayupo aliyechanganya udini popote kwenye kuupinga bali sababu zote zimewekwa wazi.
Again yupo na usitarajie aseme napinga kwa sababu ya udini kuwahamasisha waumini wako kanisanai peke yao na kuwaacha wengine ni dalili tosha.
 
Bado wanapumua ni kuendelea kupiga spana

Tutafika tu kuna wengine nao wanaandaa wa kwao huku:

F4DQnPZWwAAZcRr.jpeg


Itakuwa kujidanganya kukubwa kama maonyo ya Mh. Kikwette na Samia hayakuelekezwa kwa ndugu hawa.

Na D World tatizo ni mkataba siyo dini.
 
Si tunapambana na na riz apa moro washatuchomea nyumba kama 200 tumpishe mwekezaji tupo bize kidogo tuache [emoji38] [emoji23] [emoji1] [emoji1787]
Aise [emoji1] inabidi tufanye mchakato
Wa kuhamia sayari nyingine,hii nchi tuwaachie [emoji1]

Ova
 
Mkiambiwa mlinde kura zenu mnasema hayawahusu, wacha CCM iwapeleke mperampera labda akili zitawakaa sawa sawa!
Acha Gubu, hili ni La Watz Wote haijarishi chama chako,dini yako au Kabila Lako...

Jitokeze Linda Rasilimali za Nchi yako....!
 
Walisema waungwana fumbo mfumbie mjinga:

View attachment 2724951

1. Hayupo anayepinga uwekezaji.

2. Hayupo anayeupinga mkataba huu kwa misingi ya udini.

3. Hayupo aliyechanganya udini kwenye kuupinga.

4. Wakemewe Kwa nguvu zote wenye kuu-unga mkono kishabiki ikiwamo kwa misingi ya uchama, udini, ukanda (ubara au uzanzibari), kujuana, jinsia, nk.
Mlitudanganya sana enzi za Nyenyere wenu, kwa sasa kanisa limeonesha udini dhahiri.
We kanisa kugeuza suala la bandari ni la kuhubiriwa makanisa yote kama ibada halafu unakuja na ngonjera zako hapa eti hakuna udini!
 
1. Si Kanisa Katoliki, KKKT nk wenye kupinga uwekezaji. Wote wanatamka hivyo.
2. Hayupo anayeupinga mkataba huu, aliyetamka anaupinga kwa sababu ya vionjo vyovyote vya dini, si wanasiasa, wala TEC.
3. Hayupo aliyechanganya udini popote kwenye kuupinga bali sababu zote zimewekwa wazi. Si LIssu, Slaa, Mwabukusi Wala Mdude.
4. Angalia wenye kuu-unga mkono:

View attachment 2724958

Ninakazia:

"Wakemewe kwa nguvu zote wenye kuu-unga mkono kishabiki ikiwamo kwa misingi ya uchama, udini, ukanda (ubara au uzanzibari), kujuana, jinsia, nk."

Wao na washirika zao, tena bIla kujali nafasi zao leo au jana katika jamii.
Usitarajie kanisa liseme wazi kuwa linapinga kwa sababu ya udini, lkn ile kulihubiri makanisa yote yatosha kabisa.
 
Ukipinga uwekezaji obvious utakua na mental problems [emoji53]
Kinachopingwa ni baadh ya terms za mkataba.
Sio kweli, kanisa limepinga kabisa na kusuggest tuendelee kuendesha wenyewe
 
Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.

Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!

Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Umeandika ujinga. Unaonesha vile ulivyo na akili ndogo ya kuuona mkataba wa bandari ni mzuri kwa sababu unawahusu waarabu waislamu.

Kanisa Katoliki kusema lina mizizi mpaka chini maana yake lina uwezo wa kupata taarifa toka ngazi za chini, bila kujali tofauti za kiimani za wale wanaotoa maoni yao.
 
Usitarajie kanisa liseme wazi kuwa linapinga kwa sababu ya udini, lkn ile kulihubiri makanisa yote yatosha kabisa.

Kama kanisa halijasema wazi hivyo, kulikoni kutaka kulisemea hivi?

F4DQnPZWwAAZcRr.jpeg


F39Dg3GXwAA2t2m.jpeg
 
Kinachofanywa ni kufafanua Vifungu vya Mkataba, baaasi...!

Na Vifungu hivyo havimtaji Yesu Wala Roho Mtakatifu,vinahusu mambo ya jamii na Uchumi..! Vifungu hivyo vikirekebishwa vitakuwa na Manufaa kwa Wote Waislamu na Wakristo..!

Udini unatoka wapi hapo?

Hakuna anayepinga Uwekezaji bali Wapo wanaopinga MKATABA..!
Udini mtupu! Kwa nini ht kesi wanaofungua ni wagalatia tu!?
 
Walisema waungwana fumbo mfumbie mjinga:

View attachment 2724951

1. Hayupo anayepinga uwekezaji.

2. Hayupo anayeupinga mkataba huu kwa misingi ya udini.

3. Hayupo aliyechanganya udini kwenye kuupinga.

4. Wakemewe Kwa nguvu zote wenye kuu-unga mkono kishabiki ikiwamo kwa misingi ya uchama, udini, ukanda (ubara au uzanzibari), kujuana, jinsia, nk.
Naunga mkono hoja
P
 
Sina tatizo na kanisa lolote liwe KKKT,Katoliki na hata kanisa la ufufuo na uzima la mchungaji gwajima.

Nina tatizo na kanisa linalowahamasisha wafuasi wake kupinga mkataba ndani ya kanisa.

Unapotoa waraka na kusema tutausoma kwa waumini wetu wote ndani ya kanisa na kwenye vigango na parokia zetu zote maana yake nini?kwamba ungesoma kwa kila mtu bila ya kuhamasisha waumini wako tu ndani ya kanisa ujumbe wa waraka usingefika?

Kwanini uwasomee waumini wako tu tena ndani ya kanisa jambo linalohusu nchi ambayo haina dini?

Haushii hapo unaanza na kuitisha mamlaka kwamba nyinyi mna mizizi na hambahatishi hii tafsiri yake nini?

Wapo na usitarajie wakiupinga kwa misingi ya dini watasema tunapinga kwa misingi ya dini.

Tanzania kuna makanisa mengi tofauti tofauti ni katoliki tu ndiyo waliowasomea waumini wao kupinga huu mkataba tena ndani ya kanisa kwanini wasiwasomee watanzania wote na kuwahamasisha watanzania wote wa dini zote.

Kuthibitisha kwamba wao wamejizatiti peke yao wakaanza kusema RC ni kanisa kubwa lina mizizi mpaka kwenye kaya na halibahatishi wakiimaanisha wao peke yao wanatosha sio waislamu wala dhehebu lingine huu kama sio udini ni nini?

Again yupo na usitarajie aseme napinga kwa sababu ya udini kuwahamasisha waumini wako kanisanai peke yao na kuwaacha wengine ni dalili tosha.
Dah! Ila sidhani kama watakuelewa
 
Back
Top Bottom