rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
waliobaki ni afadhalii shetanii sasa....Jiwe alikuwa shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waliobaki ni afadhalii shetanii sasa....Jiwe alikuwa shetani
Mpumbavu siku nyingine ukija uje kwa adabu.Umeandika ujinga. Unaonesha vile ulivyo na akili ndogo ya kuuona mkataba wa bandari ni mzuri kwa sababu unawahusu waarabu waislamu.
Halijawahi kusema linafanya udini. Kwa hiyo mnataka tusubiri kanisa liseme linafanya udini!?Kama kanisa halijasema wazi hivyo, kulikoni kutaka kulisemea hivi?
View attachment 2724971
View attachment 2724972
Yaonyesha una ubaguziiii😂😂😂Tatizo zaidi ni kumwambia mtu ana matatizo bila kuonesha wapi lilipo tatizo lake.
Basi uwe unaenda kusali Jumuiya kila Jumamosi hiyo ndio mizizi kwenye Kaya 🤣🤣Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
TEC imelieshisha taifa, waraka mmoja watu wanatafutana, mpaka sasa elim imesambaa kwa spidi ya 10G, mambo serous ambayo yanagusa taifa na watu wake lazima pawepo na watu wa kunyosha mambo bila kuangalia upande wowote,au kujipendekezaMtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Basi uwe unaenda kusali Jumuiya kila Jumamosi hiyo ndio mizizi kwenye Kaya 🤣🤣
Halijawahi kusema linafanya udini. Kwa hiyo mnataka tusubiri kanisa liseme linafanya udini!?
Wapi MAHENGE?Si tunapambana na na riz apa moro washatuchomea nyumba kama 200 tumpishe mwekezaji tupo bize kidogo tuache [emoji38] [emoji23] [emoji1] [emoji1787]
hahahahahah ukiitizama vizuri body language yake namna alivyokuwa anaongea kwanza alionekana ni mtu ana hofu ya kitu fulani kibaya kinaweza kutokea wakati wowote kwa uzembe wa siasa chafu dhidi ya bandari ambazo chama chake ilianzisha wakidhani itawasaidia au kuwanufaisha mambo nyeti kama ya bandari unawatumia kitenge mwijaku n.k huu ni moshi mzito unafukuta moto utakuja kuwaka wasipo kaa meza moja na wadau na taasisi mbalimbali kulimaliza hili suala la bandari hahahahahhaahAisee mzee wetu katia aibu kubwa sana. Alichoongea hakina uhalisia wowote kwa sababu wanasiasa hawa hawa wanategemea sana kufanikisha mambo yao kupitia dini.
Yaani Edo Kumwembe amechambua vizuri sana sijajua nani alimwandalia ile hotuba huyu mzee kule Mara.
======
Edo Kumwembe: Wakati mwingine wanasiasa wanakuwa kama mashabiki wa Simba na Yanga, wanapenda kuambiwa wanachotaka kusikia. Mfano ukiongea positive kuhusu kitu wanakuacha, ukiongea wanachokiona wao negative wanasema usichanganye dini na siasa...
View attachment 2724950
Uwekezaji ni Uchumi wa Watanzania bila kujali dini zao, Mapadri, Maaskofu, Masheikh, maimamu na hata masharifu na wengineo wote nao ni Watanzania wenye malsahi mapana na uchumi wa nchi yao.Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Mstaafu hapo kashinda Tu kusema kuwa maaskofu wasiiingilie bandariAisee mzee wetu katia aibu kubwa sana. Alichoongea hakina uhalisia wowote kwa sababu wanasiasa hawa hawa wanategemea sana kufanikisha mambo yao kupitia dini.
Yaani Edo Kumwembe amechambua vizuri sana sijajua nani alimwandalia ile hotuba huyu mzee kule Mara.
======
Edo Kumwembe: Wakati mwingine wanasiasa wanakuwa kama mashabiki wa Simba na Yanga, wanapenda kuambiwa wanachotaka kusikia. Mfano ukiongea positive kuhusu kitu wanakuacha, ukiongea wanachokiona wao negative wanasema usichanganye dini na siasa...
View attachment 2724950
Wacha tuendelee “ KUFINYWA”,,,laba tutaamkaAisee mzee wetu katia aibu kubwa sana. Alichoongea hakina uhalisia wowote kwa sababu wanasiasa hawa hawa wanategemea sana kufanikisha mambo yao kupitia dini.
Yaani Edo Kumwembe amechambua vizuri sana sijajua nani alimwandalia ile hotuba huyu mzee kule Mara.
======
Edo Kumwembe: Wakati mwingine wanasiasa wanakuwa kama mashabiki wa Simba na Yanga, wanapenda kuambiwa wanachotaka kusikia. Mfano ukiongea positive kuhusu kitu wanakuacha, ukiongea wanachokiona wao negative wanasema usichanganye dini na siasa...
View attachment 2724950
Acha kabisa, kuna wakati kuna mambo kiukweli yanakera sana! Halafu hapo tunaambiwa hao wazee hawajakosea kwakuwa wamesoma, wana PhDs nyingi.Mtu uwasomee waraka waumini wako kanisani kenye vigango na parokia zote.
Hauishii hapo unasema kabisa kanisa katoliki halibahatishi na lina mizizi mpanga ngazi ya kaya kwenye nchi yenye imani tofauti then unataka usiitwe udini!
Ni mpumbavu tu atakayekubali walichokifanya kanisa katoliki sio udini.
Hebu lioneni punga hili!!!! Ptuuuu!Sasa kama ina mizizi mpaka chini ulitaka usikie nini? huo ndio ukweli wenyewe. ulitaka usikie nini?
Kazi yao ni kuiga tu. Hawana ubunifuTutafika tu kuna wengine nao wanaandaa wa kwao huku:
View attachment 2724964
Itakuwa kujidanganya kukubwa kama maonyo ya Mh. Kikwette na Samia hayakuelekezwa kwa ndugu hawa.
Na D World tatizo ni mkataba siyo dini.
Hizi njemba uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mdogo sana!Kulikoni kumsemea mtu au taasisi? Si moja kwa moja wala indirectly TEC wamesema tatizo lao si uwekezaji, Wala mwekezaji - tatizo lao ni mkataba.
Si TEC peke yao na wala hata hawakuwa wa kwanza kuona hivyo.
Kulikoni ninyi kuwakomalia hao kumhusu udini wala siyo hawa?
View attachment 2725020