Ukimya wa mstaafu Kikwete tulidhani ni busara kumbe hamna kitu

Ukimya wa mstaafu Kikwete tulidhani ni busara kumbe hamna kitu

Ondoka kaburini hapo. Legasi inashambuliwa huku:

View attachment 2724969

Sang'udi, Phillipo, johnthebaptist, Paskali na "UP hapa kazi tu" popote mlipo kulikoni kimya chenu?

Semeni msikike.
Hilo la kushambulia legacy wala halina shida, maana hata mitume wa Mungu vitabu vinatuambia kuwa walishambuliwa.

Kikubwa wenye kushambulia legacy, na wale wasioshambulia wote kwa pamoja bado wanapita katika barabara, madaraja na kufaidi maendeleo aliyoyaleta huyo wanaemshambulia kwa kipindi cha miaka mi5 tu.
 
Back
Top Bottom