Hilo la kushambulia legacy wala halina shida, maana hata mitume wa Mungu vitabu vinatuambia kuwa walishambuliwa.
Kikubwa wenye kushambulia legacy, na wale wasioshambulia wote kwa pamoja bado wanapita katika barabara, madaraja na kufaidi maendeleo aliyoyaleta huyo wanaemshambulia kwa kipindi cha miaka mi5 tu.