Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mtumishi wa Mungu anato.mba waumini? Na anasema live kuwa kwani warembo Wana shida gani!Unataka wamuwekende ndan mtumishi wa Mungu
Kwa hoja zipi labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumishi wa Mungu anato.mba waumini? Na anasema live kuwa kwani warembo Wana shida gani!Unataka wamuwekende ndan mtumishi wa Mungu
Kwa hoja zipi labda
Gwajiboy anamtukana Rais indirect kwa kumtumia Waziri wake, na serikali inatumia kanuni ya ukitaka kumchinja kobe lazima umulie timing
Tatizo sio chanjo ya ngapi, chanjo zinataratibu zake na zinafahamika hii inatutia wasiwasi kwanza ipo kwenye majaribio, mosi imechukua muda mfupi mno km uitengeneza...lanazima kuwepo na taharukiKwani hii ndio chanjo ya kwanza Tanzania? Kwa nafasi yake kama mbunge je hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kuwasilisha hoja yake?
Anakwambia ati anaweka dawa kwa ile sehemu ili ifanye kazi vizuri....Sishangai Mganga wa kienyeji kumhusudu Mtumishi wa Mungu!
Kwaiyo mnajua kama ina madhara lakini hamtaki tuhoji?Vingine vyote vyenye madhara ya mbeleni mnavikubali bila kuhoji lakini chanjo ndio mmeiona peke yake
Huyu ni Mshana kweli au kuna mtu ame-hack ID yake?Kila jambo lina uwili...Hata kulia kuna uwili wake. .huwezi kulia milele kuna siku utacheka na huwezi kucheka milele kuna siku Italia
Sakata la usalama wa chanjo ya korona linaingia wiki ya tatu sasa kama si nne! Ni kinara wa hili sakata ni mchungaji Josephat Gwajima.
Ambaye ameshiriki kikamilifu kukwamisha, kuyumbisha na kupotosha dhana nzima ya chanjo husika! Gwajima ni kiongozi wa kiimani mwenye wafuasi wengi.. Hivyo kampeni take imeleta madhara makubaa nchi nzima
Upotoshaji wake ambao naweza kuupa vipengele vya seasons ni kama wiki hii unaingia season four sasa.. Seasons hizi huwa zinaanza siku ya ibada Jumapili kwenye kanisa lake na huwaandaa watu kuanzia Jumatano yake!
Huko ibada zake maranyingi si za kiroho bali za kupambana na wale wote wanaoenda naye kinyume.. Huko atakuchamba, kukusiliba na kukusema atakavyo na waumini wake watashangilia sana halafu watatoa sadaka
Je Gwajima anaijua vema miiko ya kuwa mtumishi wa kiimani? Je Gwajima anaijua vema miiko ya kuwa mtumishi wa kisiasa? Weledi? Heshima? Hekima? Tafakuri!? Utu? Katika nafasi zote mbili?
Ni wazi Gwajima kashindwa kuyatambua mambo muhimu makubwa matatu yanayomfanya awe na uono kimo cha mbilikimo
Kashindwa kabisa kujitambua yeye ni nani Kashindwa kabisa kujjijua yuko wapi, Kashindwa kabisa kujijua anafanya nini...!
Kama kiongozi wa kiimani na kisiasa kuna code of conduct inamuongoza kwenye kila nafasi! Alikuwa na nafasi nzuri kabisa ya kuwakilisha hoja Zane kupitia channel sahihi kama mbunge na pia kama kiongozi wa kiimani
Cha ajabu kashindwa kufanya hivyo na kuamua kutumia mimbari anayoita ya kimungu kupayuka na kuropoka, yaliyokosa, weledi, yaliyokosa uhalisia, yaliyokosa ithibati, yaliyokosa heshima na hekima na yaliyojaa upotoshaji mkubwa.
Hao waumini anaowatetea wasichanjwe ukiwaona wanatia huruma..wana shida. Wana dhiki kama zote! Wamepigika kimaisha na wengi wao ni wagonjwa wa magonjwa mengine mbalimbali
Wanatumia dawa nyingine za mzungu
Wamepata chanjo nyinginezo
Wameshawahi kupata chanjo na dawa nyinginezo na zikawaletea side effects
Wanatumia vitu vingi sub standards vyenye madhara kiafya kuanzia vyakula mpaka vinywaji na vingine vipo hapo nje tu ya kanisa lake
Sijawahi kusikia akitoa elimu ya afya kuhusiasa na vyakula vya kusindika viwandani, mbolea zenye kemikali, wanyama wa kukuzwa kwa madawa, carbonated juices, vidonge vya uzazi wa mpango na njia za kuzuia mimba zenye madhara mengi kiafya...lakini la chanjo yeye ndio kawa daktari na mshauri bingwa..
Chokochoko zake zimeingia hatua mbaya ya sasa, kutoka kisiasa mpaka mambo binafsi, mambo ya kifamilia, siri za familia ...hapa kavuka mipaka.. Ni wazi kabisa kashindwa kujitambua yeye ni nani yuko wapi na anafanya nini...!
Kama ni kukosea walikosea wanasiasa na mawaziri wote enzi za kayafa... Ule utawala ulikuwa wa one man show huwezi kupingana naye kama unajipenda.. Waliokengeuka kauli sio Dorothy pekee ni karibia mawaziri wote kama sio wote!
Kwa ubovu wa katiba tuliyonayo waziri wa afya yuleyule wa Magufuli inabidi sasa aende na biti ya Samia.. Ni ngumu lakini hakuna namna labda ujiuzulu..wanasisa wetu wengi ni vinyonga na hatuna katiba nzuri ya kuwaongoza!
Gwajima anaumizwa na kuukosa uwaziri..Gwajima kwa kificho yuko nyuma ya kundi kubwa faidika enzi za kayafa ambalo halina furaha na mama Samia.. Ukiachana na tofauti zao kifamilia..Gwajima hampingi waziri wa afya anampinga rais kupitia msaidizi wake!
Serikali iko kimya sana kwenye hili.. Ni uamuzi mzuri na wa busara japo una madhara yake.. Kutokurupuka kwenye ishu hii ya Gwajima kungefanyika kwa wengine na kwenye mengine ingepata mileage kubwa sana!
Gwajima anachokonoa sana ili ajibiwe..lakini hajibiwi.. Dorothy alijaribu lakini haraka sana akagundua kosa lake na kaamua kukaa kimya! Ukimya wa serikali dhidi ya upotoshaji na chokochoko za Gwajima ni kama kumpuuza lakini Gwajima amakinike kwakuwa ngoma ikivuma sana HUPASUKA!View attachment 1904222
Kwa sababu hizo chanjo zilishafanyiwa majaribio za muda mfupi, muda wa kati, na muda mrefuWewe mbona unampeleka mtoto wako akachanjwe anapozaliwa zaidi ya chanjo 3.. umewahi uliza side effects za hizo chanjo? Na kwanini hujauliza mpaka leo? Au wewe ni miongoni mwa misukule wa Gwajima!?
😀 😀 😀 😀. Jamaa alihoji hata contents tu za hiyo chanjo macho yanawatoka ndio itakuwa madhara yake?. Kwenye hili la chanjo wamekurupuka.Ni kukosa hoja, serikali haina hoja za kumjibu Askofu Gwajima, ndio maana wapo kimya. Tukiwauliza side effects za hiyo chanjo baada ya miaka mi5 ni zipi kwa atakaechomwa na kwa watoto atakaowazaa wanabaki kutoa macho kama panya aliyebanwa na mlango.
Swali....Je nikichanja nitaambukizwa au sitaambukizwa?Nimefuatilia kwa karibu majibu machafu na ovyo ya huyo Gwajima (siamini kama kweli ni mchungaji au askofu mwenye karama), Kama kweli ni mchungaji kuna ethics zake, ni upumbavu na upuuzi kujitapa kuwa hata kama amelala na mrembo yule kwani kuna shida gani? Hivi ni wewe unayehubiri kanisani neno la Mungu na kumdharau mke wako na familia yako? Huo si ubabe bali ni ujinga uliokomaa kupita kiasi. Kwa hiyo mafundisho yako ya dini yana-based wapi? Kwa watu kusaliti ndoa zao? Sasa una tofauti gani na asie na dini huku ukijidai wewe ni askofu? Kama kweli wewe ni kiongozi wa dini, unapaswa uwe na ile moral behavior na ujali pia ethics za kazi zako. Unachokifanya kinaendelea kukushushia heshima kiasi kwamba huna tofauti na wengine wenye tabia za kishenzi na kipuuzi. Hufai kwa lolote wewe mchungaji au askofu Gwajima, huna adabu, wala hekima na pia hujitambui. Sitaki kuongelea mengi kukuhusu ila bottom line ni kuwa hufai.
Credit kwake field marshall1
Mkuu mshana hata huyo waziri naye anamajibu ya hovyo tu ndiomaana awali bandiko langu nikakwambia unafeli unapo weka sides, kama mtu alikua kwenye cabinet ya kwanza na sasa amebadilika alitakiwa aseme waziwazi aliamini nini na sasa kwanini amebadilika badala yake anahangaika kuatack personalities, nimesema woote hawako sawa na unaposhadadia kuwa the whole cabinen imebadilisha mwelekeo jiulize ni kwanini? na kwanini sasa wana msimamo mwingine? jamani watanzania sio wajinga wana akili zao mjue. Suala la uasikofu sijui nini halina tija hapa ishu ni mambo anayouliza hayana mashiko? mtu leo unatwambia chanjo ni sumu keshokutwa wewe huyohuyo unabadilika kisa umehamia kwenye nyumba ya mmiliki mwingine unasema haina shida, utaeleweka kweli? Reasoning ya watanzania ni kubwa msifikiri hawajui kituNimefuatilia kwa karibu majibu machafu na ovyo ya huyo Gwajima (siamini kama kweli ni mchungaji au askofu mwenye karama), Kama kweli ni mchungaji kuna ethics zake, ni upumbavu na upuuzi kujitapa kuwa hata kama amelala na mrembo yule kwani kuna shida gani? Hivi ni wewe unayehubiri kanisani neno la Mungu na kumdharau mke wako na familia yako? Huo si ubabe bali ni ujinga uliokomaa kupita kiasi. Kwa hiyo mafundisho yako ya dini yana-based wapi? Kwa watu kusaliti ndoa zao? Sasa una tofauti gani na asie na dini huku ukijidai wewe ni askofu? Kama kweli wewe ni kiongozi wa dini, unapaswa uwe na ile moral behavior na ujali pia ethics za kazi zako. Unachokifanya kinaendelea kukushushia heshima kiasi kwamba huna tofauti na wengine wenye tabia za kishenzi na kipuuzi. Hufai kwa lolote wewe mchungaji au askofu Gwajima, huna adabu, wala hekima na pia hujitambui. Sitaki kuongelea mengi kukuhusu ila bottom line ni kuwa hufai.
Credit kwake field marshall1
Chanjo sio hiari chanjo ni lazima..uhiari wake unakuja na vigezo na mashartiSwali....Je nikichanja nitaambukizwa au sitaambukizwa?
Jibu......utaambukizwa
Swali... kwa nini nichanjwe?
Jibu....wewe sio askofu mwenye karama.
Mshana"....you are exposing yourself, stop it. Chanjo ni ya hiyari.
Kumwamini Gwajiboy ni sawa na kumwamini kayafa aka JiweGwajima yupo sahihi kwa upande wake labda uamue kumpinga kwa hoja zingine ameamua ashikilie msimamo wake.
Dorothy amezingua sana huwez kuwa na ndimi mbili eti unabadilika na mazingira.