Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Niwewe au ac yako wamehack?Vyenye madhara ni vingi na kila siku mnavitumia tena kwa hiari yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwewe au ac yako wamehack?Vyenye madhara ni vingi na kila siku mnavitumia tena kwa hiari yenu
Niliwahi kukuchukulia kama mtu timamu,Mkuu unajua wewe ni genius sitegemei maswali rahisi namna hii. Gwajiboy hapingi chanjo, anasimamia hoja zile zile zilizosimamiwa na wizara ya afya awamu iliyopita kukataa chanjo...
Tusi halijibiwi kwa tusi huko kutakuwa ni kukosa hekima uadilifu weledi na kuwa na akili ndogo!Mkuu mshana hata huyo waziri naye anamajibu ya hovyo tu ndiomaana awali bandiko langu nikakwambia unafeli unapo weka sides, kama mtu alikua kwenye cabinet ya kwanza na sasa amebadilika alitakiwa aseme waziwazi aliamini...
sidhani kama wewe ni mshana ninayemjuaTusi halijibiwi kwa tusi huko kutakuwa ni kukosa hekima uadilifu weledi na kuwa na akili ndogo!
Chizi akikukuta unaoga anachukua nguo akakimbia nazo ukimkimbiza utaonekakana chizi kumzidi
Kila Mara huwa napenda kukuambia usijifanye unajua kila kitu.ulitaka akayasemee bungeni?.bungeni alishayasema.au kichwa chako hakiweki kumbukumbu.pili kuwa kanisani sio kwamba mambo ya kidunia hayaongelewi.Kwani hii ndio chanjo ya kwanza Tanzania? Kwa nafasi yake kama mbunge je hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kuwasilisha hoja yake?
Hahaaaaa kama hivyo sawa maana ulivyokua unapishana kule lembeni na kihurio kwa wataalam , hongera kwa kuwa mtu sasaLabda kwakuwa nimeacha ushirikina
HV huwa ujipimi hata kwa kuangalia like kwa unachokiongea.wanaokupinga ni wengi kuliko wanaokukubali.umeingia cha kikeSerikali sio ya kipuuzi kiasi Hi ho mpaka imjibu mpayukaji...! Kuna namna ya kuwasiliana kuna namna ya kuwasilisha hoja
Gwajima kaenda kuropoka kwenye kanisa lake halafu mnataka serikali imjibu? Are serious?
Kama kuna kitu serikali itafanya basi ni kuchukua hatua kulingana na,maadili ya uma.. Ufafanuzi umeshatolewa elimu imeshatolewa... Wengi wenu mmebaki na kutaka ajibiwe badala ya kuangalia serikali imesema nini
Chanjo gani nyingine kabla ya kuchanjwa ulikuwa una saini form ya likikuta hamna wa kumlaumu?Kwani hii ndio chanjo ya kwanza Tanzania? Kwa nafasi yake kama mbunge je hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kuwasilisha hoja yake?
Ndg jinsi unavyojibu swali ndo kama Serikali inavyojibu hivyo hivyo kiwepesiMTAZAMO kaka kuna mahali nimejibu hivi
Kwani hii ndio chanjo ya kwanza Tanzania? Kwa nafasi yake kama mbunge je hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kuwasilisha hoja yake...!
NB: Mimi nimechanja at own risk.! Hongera sanaNdg jinsi unavyojibu swali ndo kama Serikali inavyojibu hivyo hivyo kiwepesi,
Kwahiyo kwa sababu hii siyo chanjo ya kwanza kuja Tanzania unashauri tuchome tu.?
Bungeni alihoji na kupinga hii chanjo na mda huu hamna vikao vya bunge toka mwezi wa saba huko na chanjo imeanza kutolewa mwezi wa nane unataka akae kimya tu hadi tena bunge litakapoanza.?
Waziri alikosea kumattack binafsi Askofu inshu ilikuwa chanjo yeye akaleta mambo ya mrembo,mambo ya Chifupa na mambo ya Kibwetele wakati alitakiwa kujikita kwenye chanjo tu.!
NB: Mimi nimechanja at own risk.!
Anauganga gani.anafatilia simulizi za walozi ndio anakuja kutuandikia na sisi.ana lolote.angelikuwa mlozi angelikuwa anapiga hela.sasa HV anaganga njaa tuu na vikazi vya bukubukuMshana jr kule bungeni nani anayeweza kuwatetea watu wasiotaka kuchanjwa?
Kama ni Spika Tuambie
Kwani msimamo wa Gwajima ulikuwa upi kabla na baada ya kupata Ubunge.
Tumia uganga wako kutubashiria Madhara ya Chanjo kwa miaka ijayo. Wewe unaweza kujuwa tatizo la mtu kabla hata hajafika kwako.
Jibu hoja za Gwajima. JJ wametengeneza busta hakuna majaribio yeyote yaliyofanyika heti inasaidia kupambana na kirusi cha Delt.
Naona kama una support upande wa Serikali .
America wameshndwa Corona na Taliban ni bora Mchina aliyefanikiwa kudhibiti Corona
Leo umegeuka mtetezi wa selikali?Unadhani huo ndio utendaji wa serikali? My foot[emoji1787][emoji23][emoji23] eti iandae mdahalo na gwajima...hii kali
Sasa kama ni mpayukaji wewe unaumia nini?Serikali sio ya kipuuzi kiasi Hi ho mpaka imjibu mpayukaji...! Kuna namna ya kuwasiliana kuna namna ya kuwasilisha hoja
Gwajima kaenda kuropoka kwenye kanisa lake halafu mnataka serikali imjibu? Are serious?
Kama kuna kitu serikali itafanya basi ni kuchukua hatua kulingana na,maadili ya uma.. Ufafanuzi umeshatolewa elimu imeshatolewa... Wengi wenu mmebaki na kutaka ajibiwe badala ya kuangalia serikali imesema nini
Hamna MTU hapo.mshana ni mtupu .nimemfatilia sana tangu nimeingia jf.anasoma vitabu na kuangalia utube ndio anakuja kutuletea vimada uchwara.tangu mboye awe zero amepoteza muelekeo kabisaHuyu ni Mshana kweli au kuna mtu ame-hack ID yake?
Umeingia JF 2017....hujui chochote kuhusu Mshana Jr, hata km amekengeuka kidogo kwenye hii ishu ya chanjo ' lakini credibility yake ni kubwa sana JF (akili kubwa) kulinganisha na wewe ambaye hata kuandika sawa sawa ni shida.Hamna MTU hapo.mshana ni mtupu .nimemfatilia sana tangu nimeingia jf.anasoma vitabu na kuangalia utube ndio anakuja kutuletea vimada uchwara.tangu mboye awe zero amepoteza muelekeo kabisa