ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
Kumbe unajua amekengeuka!.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Umeingia JF 2017....hujui chochote kuhusu Mshana Jr, hata km amekengeuka kidogo kwenye hii ishu ya chanjo ' lakini credibility yake ni kubwa sana JF (akili kubwa) kulinganisha na wewe ambaye hata kuandika sawa sawa ni shida.
Ana elimu gani huyo Gwajima? Aonyeshe vyeti vyake...Kwa taarifa ni lofa fulani akapata bahati ya kudanganya wengine, wakapotea steps. Huyo tapeli na mzandiki, mjinga, mkabila na asiye na staha hata kidogo.Ngoja nikueleze kitu bwana mkubwa, hakuna mwanadamu asiye na haya...halafu hivi vitu vinafanyika public sio mafichoni ushawishi wa gwajima ni mkubwa isitoshe sio mtu wa hovyo ( Ameelimka) na anajua kuitumia elimu yake ipasavyo, anajua kujenga hoja...naweza kusema wanajipanga namna nzuri ya kumwingia bila kuharibu image ya kisiasa isitoshe gwajima yupo upande wao (CCM) kwa hiyo kama watachanga karata zao vibaya watajikuta wanapoteze imani kubwa kwa wananchi ogopa sana binadanu aina ya gwajima anaweza kukusumbua kuliko gaidi. Wako wachache sana, kiufupi jamaa kawazidi maarifa, BBB serikali wakitumia nguvu tu...wameumia[emoji4]
Sikuwahi kujua kama upotoshaji wake una wafuasi wengi kiasi hikiAna elimu gani huyo Gwajima? Aonyeshe vyeti vyake...Kwa taarifa ni lofa fulani akapata bahati ya kudanganya wengine, wakapotea steps. Huyo tapeli na mzandiki, mjinga, mkabila na asiye na staha hata kidogo.
ww mwenye elimu jambo gani umefanya ktk jamii inayokuzungukaAna elimu gani huyo Gwajima? Aonyeshe vyeti vyake...Kwa taarifa ni lofa fulani akapata bahati ya kudanganya wengine, wakapotea steps. Huyo tapeli na mzandiki, mjinga, mkabila na asiye na staha hata kidogo.
Wakati zimeanza kutumika ulikuwepo ukajua ilikuaje? Waafrika ni watu wajinga sana. Hata mkiachiwa miaka 100 hamuwezi kugundua chanjo. Wazungu sasaiv wameanza hadi kujaa kwenye viwanja vya mpira baada ya kuchanja. Ina maana wote wale ni wajinga, ila nyinyi ndo mna akili?Kwa sababu hizo chanjo zilishafanyiwa majaribio za muda mfupi, muda wa kati, na muda mrefu
Elimu ya mtu haipo kwenye vyeti, kuwa na vyeti sio kuelimika. .....kuna watu (wengi) wana mavyeti ya PhD lakini kichwani ni sifuri.Ana elimu gani huyo Gwajima? Aonyeshe vyeti vyake...Kwa taarifa ni lofa fulani akapata bahati ya kudanganya wengine, wakapotea steps. Huyo tapeli na mzandiki, mjinga, mkabila na asiye na staha hata kidogo.
Mimi kutokuwepo ndio inamaana hazikufanyiwa hayo majaribio? Nikikwambia vita kuu ya pili ya dunia ilianza mwaka 1939 na kuisha 1945 , na kwa sababu sikuwepo, utasema haikutokea? Hivi ndani ya vichwa vyenu mmejaza kinyesi cha mbwa?Wakati zimeanza kutumika ulikuwepo ukajua ilikuaje? Waafrika ni watu wajinga sana. Hata mkiachiwa miaka 100 hamuwezi kugundua chanjo. Wazungu sasaiv wameanza hadi kujaa kwenye viwanja vya mpira baada ya kuchanja. Ina maana wote wale ni wajinga, ila nyinyi ndo mna akili?
Haya ni maoni yangu.. Ni mimi mwenyewe na siwezi kukana maandishi yangu...Mtoa mada unaheshimankubwa sana jf , naona unaamua kuishisha menyewe!
Au account yake Iko hacked
Sijamdhihaki @albaaliyo bali nimeonesha uhalisia wake na kumchagiza kuwa njia aliyotumia si sahihi akiwa kama kiongozi..Mshana Jr nakuheshimu sana.Hivi nisaidie ikiwa jamii ya wasomi wamekaa kimya wakati hoja juu ya chanjo zinaibuliwa. Ikiwa TEKNOLOJIA ya chanjo ya UVUKO 19 inahojiwa na wasomi hawana jibu, kumdhihaki Askofu Gwajima ni kutoitendea haki jamii.
Amekuzidi KILA kituAna elimu gani huyo Gwajima? Aonyeshe vyeti vyake...Kwa taarifa ni lofa fulani akapata bahati ya kudanganya wengine, wakapotea steps. Huyo tapeli na mzandiki, mjinga, mkabila na asiye na staha hata kidogo.
Kakichaa kanapingana na wataalam wa afya wa dunia nzima...Gwajiboy anamtukana Rais indirect kwa kumtumia Waziri wake, na serikali inatumia kanuni ya ukitaka kumchinja kobe lazima umulie timing
Atakuwa mdogo mda si mrefu ka piritoniKakichaa kanapingana na wataalam wa afya wa dunia nzima...
Mkuu, mada ni ya gwajima squared, ni vema unapotoa comment iainishe kama unayemuongelea ni gwaji gani, gwajiboy au gwajigirl[emoji38][emoji38]!Unaweza kuthibitisha Gwajima anapotosha vipi umma , Na si serikali ndiyo inapotosha umma ?