Ngoja nikueleze kitu bwana mkubwa, hakuna mwanadamu asiye na haya...halafu hivi vitu vinafanyika public sio mafichoni ushawishi wa gwajima ni mkubwa isitoshe sio mtu wa hovyo ( Ameelimka) na anajua kuitumia elimu yake ipasavyo, anajua kujenga hoja...naweza kusema wanajipanga namna nzuri ya kumwingia bila kuharibu image ya kisiasa isitoshe gwajima yupo upande wao (CCM) kwa hiyo kama watachanga karata zao vibaya watajikuta wanapoteze imani kubwa kwa wananchi ogopa sana binadanu aina ya gwajima anaweza kukusumbua kuliko gaidi. Wako wachache sana, kiufupi jamaa kawazidi maarifa, BBB serikali wakitumia nguvu tu...wameumia[emoji4]